Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

I got that pull of Sammy the Bull
Stopping fools with half tank
All the way to the bank, not even full
Abrasive, Jurassic, aim like Luca Brasi
With double decker rhymes I'm passing Causing a stink, to the brink of the ring king
Cause I'm fasting while farting in Farsi
Rumi to roomies, Baba T groomed me
Til I "Who me'd? Houmid like I'm the Mardi Gras Mahdi
Til I Don Vito, incognito, records like Beatles
Hotter than Cheetos
Standing higher than Quito
Ecuadorian keto through the keyhole
I'm in effect, keeping tribes in Czech
Non aligned I move like Nyerere and Tito
Don't catch my drift, hey, such a rift?
I suggest you roll spliff and take a toke for a lift
I Sayonara, with gems like sonara
I bid you adieu from Bora Bora to Kimara


Good lookin' out my dude.You already know.
Tafsiri yake basi Mkuu legendary
 
Wewe nawe una majungu tu! Tarime ipi hiyo unaisema ina maisha duni? Mbona hata wilaya ya Busega iko barabara kuu ya Mwanza Musoma ambapo pia kuna mji mdogo wa kibiashara unaitwa Lamadi!
Wilaya ambayo ungeongea nami nikakubaliana na wewe ni wilaya ya Kishapu maana ina tatizo la ukame sana! Ila Wilaya ya Bunda hasa pale mjini pako vizuri tu na kuna lami nyingi!
Tatizo la watu wengi wa Dar ni kujiona wako vizuri zaidi ya watu wa mkoani wakati hata Mwanza tu hapo inaweza kuwa na maendeleo makubwa kuzidi baadhi ya maeneo hapo Dar!
Maisha ni duni sana pande zile ila ni vigumu wewe kuona tofauti kwasababu unaishi huko.
 
Mtoa hoja anaongelea nini uwepo wa lami, ndiyo kigezo? Ungeongelea fursa za watu katika maeneo hayo kupata kipato na kufanya shughuli zao, hali ya usalama, upatikanaji wa huduma za kijamii...

Hayo maeneo yote uliyosema yana sifa za mwanadamu kupata mahitaji yake ... Unless ulikuwa unatafuta lami, naamini hata mtaani kwako hapo Dar hakuna lami...

Unajisifu na lami ya Samora au Bagamoyo road, na maeneo mengine... Lakini mitaa mingi ya Dar hakuna barabara za uhakika zenye lami, mvua zinazonyesha sasa zimeonyesha madhaifu mengine... Maendeleo yanakuja pole pole...

Hayo maeneo unayoyasema hakuna lami, watu wanaishi maisha ya kiwango cha maana sana...Mtoa mada umeonyesha utoto sana.
 
Hii thread bila hata picha ni kama kulishwa pilau kwa harufu tu.
Mojawapo
Screenshot_20231107-165242.jpg
 
Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.

Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo.

Baadhi ya sehemu unapita vumbi na unakuja kukutana na lami uchwara pale wanapoita katikati ya mji.

Safari ya maendeleo bado ni ndefu sana nchi hii.
Na huko ndiko inakopatikana dhahabu kwa wingi hapa nchini
 
Ishi Dar ukiwa na maisha mazuri,sio ugombanie Mwendokasi na Madaladala kila siku,sio uishi Chumba kimoja na majiko na mitungi ya gesi,sio uishi nyumba kwenda kuoga ni kwa foleni,ni kupoteza muda

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Sasa kwani Mkoa hakuna watu wanaishi na hivyo umetaja hapo au zaidi? Wengine wanalala hadi na mifugo....

Au ulitaka kumaanisha nini?
 
Wewe nawe una majungu tu! Tarime ipi hiyo unaisema ina maisha duni? Mbona hata wilaya ya Busega iko barabara kuu ya Mwanza Musoma ambapo pia kuna mji mdogo wa kibiashara unaitwa Lamadi!
Wilaya ambayo ungeongea nami nikakubaliana na wewe ni wilaya ya Kishapu maana ina tatizo la ukame sana! Ila Wilaya ya Bunda hasa pale mjini pako vizuri tu na kuna lami nyingi!
Tatizo la watu wengi wa Dar ni kujiona wako vizuri zaidi ya watu wa mkoani wakati hata Mwanza tu hapo inaweza kuwa na maendeleo makubwa kuzidi baadhi ya maeneo hapo Dar!
Mwanza ipi?
 
Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.

Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo.

Baadhi ya sehemu unapita vumbi na unakuja kukutana na lami uchwara pale wanapoita katikati ya mji.

Safari ya maendeleo bado ni ndefu sana nchi hii.
Nchi hii ni shthole Kaka najuta kuwa na familia laiti nisingekuwa na familia bora ningezamia kama wale Walibya wanafariki majini wakizitafuta ndoto zao kwenda Ulaya harafu nakuta majitu yanaiba pesa nyiiiingi na kukingiana kifua Bungeni.

Nimemwambia mdogo wangu asioe wala kuwa na familia hadi atakapozamia kwenda nje ya nchi na tampa sapoti hadi atokomee very stpd country.

Ukifika uliko mgodi mkubwa wa Dhahabu wa BULYANHULU ukitokea Kahama ni vumbi na mashimo tu barabarani. Yaani nina hasira naweza kuchinja kabisa kiongozi yoyote anayeingia Bungeni Dodoma.
 
Back
Top Bottom