kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 9,229
- 11,531
Ndio maana wenyeji wa huko wote wamekimbilia Dar wameshaondoka kwao, ndio nyie hamtaki tena kurudi kwenu.Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.
Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo...
Acheni kurundikana Dar, kila Raia anataka akae Dar aone madaraja.
Rudini kwenu nyie mkapaendeleze, nyumbani ni nyumbani tu hata kama ni porini😝
Mbona wachaga wanawekeza kwao na husikii wakipaponda nyumbani.
Nyie makabila mengine ndio mna matatizo sana yasiyoisha.