WANAKUJA WAHUSIKA KUKUPA MWONGOZO MKUU!!!!Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.
Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo.
...
😭😭😭Upo Sahihi Sehemu Zote Ulizotaja Nami Nimepita Hali Bado Sana Sana
Ingawa Tunashangaa Serikali Hii Na Wabunge, Mawaziri Wanaiba Cash Wanatazamwa Tu
Hapo Shinyanga Kiwanda Cha Jambo Panaitwa MaganzoUtakuta mbunge, mkuu wa wa mkoa, mkuu wa wilaya husika ni wana magari ya milioni 400+ huko
JF legend since 2009Hii thread bila hata picha ni kama kulishwa pulau kwa harufu tu.
Nimemwangalia bongozozo anapita barabara za vumbi Migombani huko Malaysia, Singerpole na Japan, kupita kwenye barabara ya vumbi haimaanishi umasikini, haya yale madanguro ya Mwananyamala si bora ya maisha ya Kishapu.Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.
Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo...
Kuishi kwako Dar una Salio shilingi ngapi kwenye Akaunti yako ya Bank au ndio walewale walamba lips kusindikiza wengine?Hayo maeneo ni vijiji vya ajabu kabisa. Ni aibu kuiita miji. Yaani maisha ni duni na ya kale sana.
Sikuwahi kujua kwamba Tanzania ina maeneo yapo nyuma kiasi hiki katika maendeleo...
Mimi leo na PhD yangu kichwani lakini Dar nakuja kikazi tu na kurudi Mkoani kwa sababu Mkoani ndio kila kitu, kumbuka Ajira nilianzia Dar hapo na nina uwekezaji wa nyumba kadhaa lakini leo ukiniambia nirudi Dar kuishi ni mbinde.Kuishi kwako Dar una Salio shilingi ngapi kwenye Akaunti yako ya Bank au ndio walewale walamba lips kusindikiza wengine?huko unakokukandia ndiko kuna watu darasa la Saba tu au Form Four lakini akikuonyesha balance yake Bank unaweza ukajikojolea,acha ushamba wa kudhani Dar ndio kila kitu
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Japo mafuriko lakini maendeleo yapo na hakuna anayelala njaa.Ushukru pia kwa mafuriko mnayoendelea kupambana nayo huko jiji chafu.
Kwa mikoa ya Tanzania ni kweli Dar ndio kila kitu usibishe, kwani huoni hata wabunge wenu mkisha wachagua wanakuja kuishi Dar.Kuishi kwako Dar una Salio shilingi ngapi kwenye Akaunti yako ya Bank au ndio walewale walamba lips kusindikiza wengine?huko unakokukandia ndiko kuna watu darasa la Saba tu au Form Four lakini akikuonyesha balance yake Bank unaweza ukajikojolea,acha ushamba wa kudhani Dar ndio kila kitu
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
I got that pull of Sammy the BullJF legend since 2009
Legendary 🏆 since 2009I got that pull of Sammy the Bull
Stopping fools with half tank
All the way to the bank, not even full
Abrasive, Jurassic, aim like Luca Brasi
With double decker rhymes I'm passing Causing a stink, to the brink of the ring king
Cause I'm fasting while farting in Farsi
Rumi to roomies, Baba T groomed me
Til I "Who me'd? Houmid like I'm the Mardi Gras Mahdi
Til I Don Vito, incognito, records like Beatles
Hotter than Cheetos
Standing higher than Quito
Ecuadorian keto through the keyhole
I'm in effect, keeping tribes in Czech
Non aligned I move like Nyerere and Tito
Don't catch my drift, hey, such a rift?
I suggest you roll spliff and take a toke for a lift
I Sayonara, with gems like sonara
I bid you adieu from Bora Bora to Kimara
Good lookin' out my dude.You already know.