Nilipofika Wilaya za Kishapu, Maswa, Meatu, Magu, Busega, Bunda, Tarime na Butiama nilishukuru sana kuishi Dar

Nchi kubwa hii chief bado hujafika Ileje.
 
Nilipita Kiangazi Na Kuna Shida Ya Maji Sana
Nilipita Kishapu, Meatu, Maswa, Itilima, Simiyu, Busega, Bunda, Serengeti, Tarime, Rorya, Mara, Nikarudi Mwanza, Ilemela, Misungwi ?Ngudu, Ukerewe
Mwanangu umeichakaza kanda ya ziwa[emoji1544]
 
ur talking yourself man no one understand what ur talking about here
 
Usiweke hisia kali sana yeye kazungumzia maendeleo ambapo ni kweli hata mimi nimewahi pita huko umaskini uliopo si wa kifichika unaposema huko kuna watu wenye salio sasa kama una salio na unakaa maeneo mabovu salio lako linafaida gani si bora waswahili wa dar wanajulikana ni maskini ila wanaweza badili maziingira hizo sehemu zilizotajwa aloo hata kama kuna mwenye pesa basi hakai huko.
 
Embu niambie pale Mwanuzi au Meatu hayo maisha ya maana ulikuwa na maana gani?

Kutoka Bariadi kwenda Magu kupitia Mbiti, Ngulyati, Nyanguge mpaka Kisori Kuna maisha gani?

Maji shida, mto Simiyu una tabia za kukauka.

Wamekonda Ng'ombe mpaka Binadamu

Unyafuzi kila Kona au michembe ndio itawaokoa!?

Tukubali ukweli maana sio udhaifu pia
 
Unaishi Dar ukitaka kwenda kunya ni kwa foleni nyumba za kupanga uswazi huko,halafu unajimwambafai nipo Dar[emoji1745]ni unasindikiza wenzako

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Kama vile Mwanza, Arusha hamna wanaokunya kwa foleni. Hivi nyie huko shamba mna hela?
Hamli ugali hadi mkasage mashineni. Sisi tunanunua ready made.
Nyie mnakunya kwa foleni, mnakula vumbi, mnakunywa majitaka, hamna huduma bora za afya, usafiri wenu bodaboda kwenda Mwanhuzi makao makuu ya Wilaya Meatu, mnarogana, watoto wanatembea pekupeku. You guys are psychologically tortured more than DSM people.
 
Sawa ila wana nguvu za kiume sio kama Dar
 
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Umekasirika sana
 
Kwanza ushalipwa pesa zako na mysol?
Mtu wa Simiyu unajua nini wewe?
 
Utakuta wewe unayeponda unaishi Msimbazi bondeni. Kama huna akili hata ukienda kuishi New York ni kazi bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…