Niliposema hapa hapa JamiiForums kuwa Simba SC isipoteze muda Kucheza na Yanga SC na iwape tu Points zao 6 nilikosea au nilikuwa sawa?

Niliposema hapa hapa JamiiForums kuwa Simba SC isipoteze muda Kucheza na Yanga SC na iwape tu Points zao 6 nilikosea au nilikuwa sawa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na leo narudia tena kusema hicho hicho kuwa Simba SC iwaombe TFF iwape Yanga SC alama (points) zao Sita (6) kwani kamwe kwa aina ya Viongozi Wanafiki na Virusi Watano walioko Klabuni akiwemo Msemaji Ahmed Ali Simba SC haitoifunga kamwe Yanga SC.

Kwa kujiamini kabisa leo narudia tena kusema kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ali ni Kirusi Kikubwa kilichojificha ndani ya Simba SC ila ameshawateka Akili Mashabiki Wapumbavu wanaomtetea na kudhani ni Mwenzao. GENTAMYCINE sijawahi Kukosea kwa nikisemacho.

Mnamlaumu Mwenyekiti Mangungu kuwa anatuumiza huku mkiwa mmewasahau Wengine akiwemo Kocha Msaidizi Matola, Mratibu wa Timu Abbas, Salim Abdallah "Try Again" na Msemaji wenu Ahmed Ali. Haya njooni tena hapa Mnitukane na bahati nzuri hata leo nilisema katika Uzi wangu mwingine kuwa Simba SC itafungwa.

Kudadadeki......!!!
 
Kuna kiongozi anaitwa Magori sijui kapost anamshambulia Camara hadharani kabisa as if amehujumu timu kwa makusudi. Katika kipindi mnachotengeneza timu hizi tuhuma za kuhujumu ni tuhuma kubwa sana kwenye soka popote pale duniani. Kwa makusudi kabisa ameamua kuvunja morali na hali ya kujiamini ya wachezaji.

Sasa naanza kuamini tatizo la Simba lipo kwenye uongozi.
 
Na leo narudia tena kusema hicho hicho kuwa Simba SC iwaombe TFF iwape Yanga SC alama (points) zao Sita (6) kwani kamwe kwa aina ya Viongozi Wanafiki na Virusi Watano walioko Klabuni akiwemo Msemaji Ahmed Ali Simba SC haitoifunga kamwe Yanga SC.

Kwa kujiamini kabisa leo narudia tena kusema kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ali ni Kirusi Kikubwa kilichojificha ndani ya Simba SC ila ameshawateka Akili Mashabiki Wapumbavu wanaomtetea na kudhani ni Mwenzao. GENTAMYCINE sijawahi Kukosea kwa nikisemacho.

Mnamlaumu Mwenyekiti Mangungu kuwa anatuumiza huku mkiwa mmewasahau Wengine akiwemo Kocha Msaidizi Matola, Mratibu wa Timu Abbas, Salim Abdallah "Try Again" na Msemaji wenu Ahmed Ali. Haya njooni tena hapa Mnitukane na bahati nzuri hata leo nilisema katika Uzi wangu mwingine kuwa Simba SC itafungwa.

Kudadadeki......!!!
Shika mbooooooooo sorry shikam.....................
 
Nadhani ni muda muafaka Makolo wakupe ukurugenzi wa benchi la ufundi!😂
 
Binafsi mm timu yotote inayocheza na yanga ikiwa ni mechi ya kimashindano naionea uluma. Sio kwa ubaya ila ni shida sana kuifunga yanga kama ata balekhe mwenyewe hajacheza unamuona anavyo angaika uko benchi.
 
Na leo narudia tena kusema hicho hicho kuwa Simba SC iwaombe TFF iwape Yanga SC alama (points) zao Sita (6) kwani kamwe kwa aina ya Viongozi Wanafiki na Virusi Watano walioko Klabuni akiwemo Msemaji Ahmed Ali Simba SC haitoifunga kamwe Yanga SC.

Kwa kujiamini kabisa leo narudia tena kusema kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ali ni Kirusi Kikubwa kilichojificha ndani ya Simba SC ila ameshawateka Akili Mashabiki Wapumbavu wanaomtetea na kudhani ni Mwenzao. GENTAMYCINE sijawahi Kukosea kwa nikisemacho.

Mnamlaumu Mwenyekiti Mangungu kuwa anatuumiza huku mkiwa mmewasahau Wengine akiwemo Kocha Msaidizi Matola, Mratibu wa Timu Abbas, Salim Abdallah "Try Again" na Msemaji wenu Ahmed Ali. Haya njooni tena hapa Mnitukane na bahati nzuri hata leo nilisema katika Uzi wangu mwingine kuwa Simba SC itafungwa.

Kudadadeki......!!!
Bado tunajenga timu, goli moja siyo mbaya, tumepunguza sana.
Pia wachezaji wetu wanajitahidi kupiga vyenga
 
uko sahihi popoma Ila kwa haraka haraka Ahmed Ally anawajaza ujinga mashabiki kitu ambacho kinawapa mashabiki ujinga wa kujitapa nje ya uwanja that is fact
 
Back
Top Bottom