Niliposema hapa hapa JamiiForums kuwa Simba SC isipoteze muda Kucheza na Yanga SC na iwape tu Points zao 6 nilikosea au nilikuwa sawa?

Niliposema hapa hapa JamiiForums kuwa Simba SC isipoteze muda Kucheza na Yanga SC na iwape tu Points zao 6 nilikosea au nilikuwa sawa?

Tabu Simba haikubali kua young Ina uwezo mkubwa zaidi hivo inahitaji kucheza kwa mbinu zaidi na sio kwa kukamia.
Haya unakamia alafu wenzako Wana relax wanakutia pressure unajiweka,

Young Ina play kwa mbinu na sio kujikomoa kukamia mchezo.

Rudi nyuma tazama Ile yanga ya kipindi kile Cha bakuli, derby waliiheshimu na wakati mwngi hawakua na muda wa kuchezea mpira wao ni defense na kushtukiza mashambulizi.
 
Na leo narudia tena kusema hicho hicho kuwa Simba SC iwaombe TFF iwape Yanga SC alama (points) zao Sita (6) kwani kamwe kwa aina ya Viongozi Wanafiki na Virusi Watano walioko Klabuni akiwemo Msemaji Ahmed Ali Simba SC haitoifunga kamwe Yanga SC.

Kwa kujiamini kabisa leo narudia tena kusema kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ali ni Kirusi Kikubwa kilichojificha ndani ya Simba SC ila ameshawateka Akili Mashabiki Wapumbavu wanaomtetea na kudhani ni Mwenzao. GENTAMYCINE sijawahi Kukosea kwa nikisemacho.

Mnamlaumu Mwenyekiti Mangungu kuwa anatuumiza huku mkiwa mmewasahau Wengine akiwemo Kocha Msaidizi Matola, Mratibu wa Timu Abbas, Salim Abdallah "Try Again" na Msemaji wenu Ahmed Ali. Haya njooni tena hapa Mnitukane na bahati nzuri hata leo nilisema katika Uzi wangu mwingine kuwa Simba SC itafungwa.

Kudadadeki......!!!
ITOSHE TU KUSEMA WEWE NI GENIUS...ULIWASHAURI WAKUPE HELA UWANUNULIE WACHEZAJI HUKO UGANDA WAKABISHA SASA WATAKIPATAPATA PALE KWENYE NAFASI YA PILI DHIDI YA AZAM NA SINGIDA
 
Na bado Kudadadeki.....!! Si huwa wanajifanya Kunidharau GENTAMYCINE pale nikiwa nawaambia mambo yaliyojificha!!
Mifumo au system ya simba imedukuliwa..wajipange watengeneze timu..ila jana mkeka umetik weekend yangu ipo freesh!
 
Back
Top Bottom