Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
🛑JEMEDARI SAIDI
Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania, nadhani kila mtu ameshuhudia jinsi alivyo wa kawaida sema anapambwa tu na Gongowazi FC.
Msimu wa pili mfululizo sasa Mayele anakosa kiatu cha ufungaji bora NBCPL, mwaka jana kwa George Mpole mwaka huu kwa Saidoo Ntibazonkiza.
Msije sema amechukua kiatu cha CAF sababu CAF hawanaga tuzo ya mfungaji bora wa Shirikisho (kombe la waliofeli)
Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania, nadhani kila mtu ameshuhudia jinsi alivyo wa kawaida sema anapambwa tu na Gongowazi FC.
Msimu wa pili mfululizo sasa Mayele anakosa kiatu cha ufungaji bora NBCPL, mwaka jana kwa George Mpole mwaka huu kwa Saidoo Ntibazonkiza.
Msije sema amechukua kiatu cha CAF sababu CAF hawanaga tuzo ya mfungaji bora wa Shirikisho (kombe la waliofeli)