Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania

Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania

Shida ipo kwa Mayele au TFF watunga kanuni za mashindano.

Mbona msimu uliopita waliwekwa wazi why naow wana vigugumizi.Wee umeona mfungaji bora mpaka wadiscuss wakati msimu uliopita ilikuwa direct sababu kanuni zilikiwepo.
Mwaka jana hawakulinganaa, Mpole alizidi bao 1.
Mwaka huu wamelingana na saidoo ndo kazi ilipo.

Afu wamesema kanuni zilibadilika huu mwaka.
 
Mwaka jana hawakulinganaa, Mpole alizidi bao 1.
Mwaka huu wamelingana na saidoo ndo kazi ilipo.

Afu wamesema kanuni zilibadilika huu mwaka.
Ila kanuni si ilikuwepo? Why now msimu huu hamna hiyo kanuni.

Yaani bongo mpaka mfungaji bora mnadiscuss.
 
Hata ulaya wana discus,
Nani kakwambia, ulaya mechi ya mwisho ikiisha mfungaji bora tayari kishajulika. We unazani ulaya wanaendesha ligi bila kanuni kama kwenu huku au nitajie igi moja ulaya mfungaji bora alipatikana baada ya chama chao cha soka kukaa na kudiscuss.
 
Nani kakwambia, ulaya mechi ya mwisho ikiisha mfungaji bora tayari kishajulika. We unazani ulaya wanaendesha ligi bila kanuni kama kwenu huku au nitajie igi moja ulaya mfungaji bora alipatikana baada ya chama chao cha soka kukaa na kudiscuss.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpira wetu kivyetu vyetu. Kwan hujui??
 
Msije sema amechukua kiatu cha CAF sababu CAF hawanaga tuzo ya mfungaji bora wa Shirikisho (kombe la waliofeli)
Zawadi ni for appreciations tu, and not otherwise. CAF kutokuwa na golden boot kwa shirikisho, haimuondolei Mayele nafasi yake ya kuwa mfungaji bora.

Alaf pia yeye kukosa kiatu Cha NBC msimu uliopita, au ku-tie na Saidoo msimu huu, hakumfanyi yeye awe mchazaji wa kawaida au overrated. Ili bandiko la Jemedari limeandikwa kwa hasira au chuki.

Mshindi wa Golden boot last season yuko wapi?. Mayele alicompete last season, amecompete this season. Hii kimpira tunaita consistency, then huyo Jemedari anamu undervalue sababu ya personal issues zake na Yanga.

Ubovu uliopo, ajenda kama hizi zitakuwa pushed sababu ya Usimba na Uyanga, ila in reality ni pointless.

Kama Mayele ni overrated, mwambieni huyo Jemedari na wanaomuunga mkono, walist majina ya strikers kwenye hii ligi ambao wako juu ya Mayele kiuwezo
 
Watanzania ni wajinga kuanzia kwenye bandari mpaka kwenye soka, kwa io washabiki wa Simba ndo faraja mnayopata sio? Mo atakua anacheka sana, Raha sana kuongoza mijitu isiyojielewa
Ulikuwa hujui ujinga wa watanzania?
 
Zawadi ni for appreciations tu, and not otherwise. CAF kutokuwa na golden boot kwa shirikisho, haimuondolei Mayele nafasi yake ya kuwa mfungaji bora.

Alaf pia yeye kukosa kiatu Cha NBC msimu uliopita, au ku-tie na Saidoo msimu huu, hakumfanyi yeye awe mchazaji wa kawaida au overrated. Ili bandiko la Jemedari limeandikwa kwa hasira au chuki.

Mshindi wa Golden boot last season yuko wapi?. Mayele alicompete last season, amecompete this season. Hii kimpira tunaita consistency, then huyo Jemedari anamu undervalue sababu ya personal issues zake na Yanga.

Ubovu uliopo, ajenda kama hizi zitakuwa pushed sababu ya Usimba na Uyanga, ila in reality ni pointless.

Kama Mayele ni overrated, mwambieni huyo Jemedari na wanaomuunga mkono, walist majina ya strikers kwenye hii ligi ambao wako juu ya Mayele kiuwezo
Sio tu wa list strikers ktk nbcpl bali hata afrika kwa ujumla wake, kwa rekodi zake bado Mayele ni striker mzuri na hatari
 
Ndio maana siku Ile pale ikulu kwenye hafla ya yanga alikuwa kavimba kama 🪱🪱
😂😂😂😂😂
FyP6VF-WwAAmaXy.jpeg
 
Hamna straika hapo kama na simba ingekua na mfumo wa kumtengenezea mtu mmoja ufalme mayele sio lolote maana anatafutiwa mipira lakini viazi
 
Sio tu wa list strikers ktk nbcpl bali hata afrika kwa ujumla wake, kwa rekodi zake bado Mayele ni striker mzuri na hatari
Chuki na hasira ni mambo mabaya sana. Yanaweza kumfanya mtu timamu aonekano hana akili kabisa.
 
Sio tu wa list strikers ktk nbcpl bali hata afrika kwa ujumla wake, kwa rekodi zake bado Mayele ni striker mzuri na hatari
Mala ya kwanza anazidiwa na katoto tena timu ya mbali leo anazidiwa na kiungo hamna mchezahi hapo labda kwasababu una mahaba na timu fikiria kama saido angeanza na simba angekua na magoli mangapi
 
Mimi ni mshabiki kindakinda wa yanga ila kiukweli Mayele hamna kitu anapata nafasi nyingi ila anaweza funga chache au asifunge.Yanga kuna njeketu nyingi zinazopewa sifa ila hamna kitu mfano Mayele,Azizi kii,Mammodou,kibwana,Mwamnyeto,Yanick hawa wote ni kupiga chini wasepe.Yaani na mingine ambayo inajulikana kama Ngushi,Ambundo yapo mengi michezaji ambayo haina tija iachwe ikalime huko tuache kupamba kuwa wanajua ilihali hawawezi kucheza kwao kwa kubahatisha
 
Mala ya kwanza anazidiwa na katoto tena timu ya mbali leo anazidiwa na kiungo hamna mchezahi hapo labda kwasababu una mahaba na timu fikiria kama saido angeanza na simba angekua na magoli mangapiView attachment 2653048
Mkuu jaribu kuongea kwa hoja, huku ukitumia utashi wako binafsi.

Hizo tuzo ni Kwa ajili ya appreciations tu, ila bila hata tuzo, aliyebora atakuwa bora.

Huyo dogo aliyechukua tuzo msimu uliopita, unaweza kuniambia yuko wapi?

Kwenye mpira kuna kitu tunaita consistency. Mayele msimu uliopita alikuwa na goli 16, msimu huu ana 17, hata bila tuzo bado ubora unajionesha.

Unaposema Saidoo hakuanza na Simba, ila amefikisha 17, vipi kama angeanza nao? Nikukumbushe jambo moja, kilichotokea kwa Saidoo ni kwamba baada ya kupata zile goli 5 na Polisi, ikawa rahisi kwake kukamia mechi moja iliyobaki. Ila kwa upande wa Mayele, goli zake zimetokana na nomo game plans tu. Mfano ile game na Polisi, Saidoo angefunga magoli mawili, alaf gape likabaki magoli 5, wala asingekuwa na nguvu za kujituma sana kwenye mechi ya mwisho.

Ukitaka kuona tofauti ya magoli 17 ya Mayele, na magoli 17 ya Saidoo, subiria msimu ujao.

Consistency matters
 
Mimi ni mshabiki kindakinda wa yanga ila kiukweli Mayele hamna kitu anapata nafasi nyingi ila anaweza funga chache au asifunge.Yanga kuna njeketu nyingi zinazopewa sifa ila hamna kitu mfano Mayele,Azizi kii,Mammodou,kibwana,Mwamnyeto,Yanick hawa wote ni kupiga chini wasepe.Yaani na mingine ambayo inajulikana kama Ngushi,Ambundo yapo mengi michezaji ambayo haina tija iachwe ikalime huko tuache kupamba kuwa wanajua ilihali hawawezi kucheza kwao kwa kubahatisha
Kwa striker kukosa magoli mengi, ilo ni kawaida. Maana mipira mingi anapelekewa yeye. Unaposema Mayele anakosa sana magoli, hatufai. Hebu pendekeza mshambuliaji kwa hapa Afrika asiyekosa magoli mengi, unayeona anaweza kuchukua nafasi ya Mayele,
 
Shida ipo kwa Mayele au TFF watunga kanuni za mashindano.

Mbona msimu uliopita waliwekwa wazi why naow wana vigugumizi.Wee umeona mfungaji bora mpaka wadiscuss wakati msimu uliopita ilikuwa direct sababu kanuni zilikiwepo.
Kama angekuwa amefunga 20+ unafikiri huu mjadala ungekuwepo? Mayele ni mchezaji mzuri tukiweka ushabiki pembeni ila anakosa magoli mengi mno kutokana na nafasi anazozipata.

Kama atasalia ktk ligi hii msimu ujao anayo nafasi ya kujiuliza tena ni wapi anakosea na kisha atasahihisha makosa yake.
 
Back
Top Bottom