Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania

Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania

Kiukweli Jemedari hapa amepepesa na amemkosea heshima Mayele. Kwa misimu hii miwili Mayele ndiye amekuwa na mwendelezo wa ufungaji magoli katika ligi yetu ya ndani na msimu huu ameongeza kitu kwa kufunga katika mashindano ya Afrika. Kama ambavyo kulikuwa na enzi za Kagere, Okwi, Ambani, Mogela, Mohamed Huseein "Chinga one", na wengineo basi tukubali ukweli tu kuwa hii misimu miwili ilikuwa ni enzi ya Mayele.

Aliye karibu na Jemedari amwambie tu ukweli kuwa chuki kubwa aliyoitengeneza kwa Yanga inamuharibia sasa kiasi hata mambo yaliyo wazi kabisa anajaribu kuyapotosha kiasi anaanza kuonekana sasa kama mwandishi wa hovyo. Kwa kuwa tu ana ugomvi na baadhi ya viongozi wa Yanga basi hata yale mazuri anajaribu kuyapotosha yaonekane mabaya. Kila mtu amemuona Mayele kwa misimu yote miwili na kwenye kombe la shirikisho amefanya vizuri halafu Jemedari anasema eti mshambuliaji wa kawaida.

Kama Jemedari anamuona Mayele ni mshambuliaji wa kawaida atuambie ni mshambuliaji gani hatari kwenye ligi yetu hapa nchini kwa misimu hii miwili baada ya Kagere kumaliza enzi yake. Kwa tuliomwona Jemedari wakati anacheza hakuwa na uwezo hata robo tu ya uwezo wa Mayele alionao. Sasa anapata wapi ujasiri wa kuandika hayo anayoyandika.?

Jemedari apunguze wivu na chuki kazi yake ya uandishi itaenda vizuri tu kama zamani.

Ni mtizamo tu.
 
👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿 Wacha aseme hivyo maana Ana uhuru wa kusema atakalo lakini ukweli hautajificha utakuwa wazi
Nilipomuona tu mwamba Peter Shalule nikajua mchongo, ikabidi nirudi kuangalia heading nilipokutana na title CAF Champions league halafu nikaona jina la Mayele nikajua nahangaika na cha kubumba!!


NB:scoring in CAF Champions league is not for everybody
 
👏🏿👏🏿👏🏿wacha aseme lakini ukweli unajulikana
 

Attachments

  • 7D33E6C1-9DF6-41B6-8716-EF4E8178D1BF.jpeg
    7D33E6C1-9DF6-41B6-8716-EF4E8178D1BF.jpeg
    190.7 KB · Views: 3
[emoji1630]JEMEDARI SAIDI

Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania, nadhani kila mtu ameshuhudia jinsi alivyo wa kawaida sema anapambwa tu na Gongowazi FC.

Msimu wa pili mfululizo sasa Mayele anakosa kiatu cha ufungaji bora NBCPL, mwaka jana kwa George Mpole mwaka huu kwa Saidoo Ntibazonkiza.

Msije sema amechukua kiatu cha CAF sababu CAF hawanaga tuzo ya mfungaji bora wa Shirikisho (kombe la waliofeli)

View attachment 2652322
Ngoja akusikie yule mrombo demu wa Engineer
 
🛑JEMEDARI SAIDI

Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania, nadhani kila mtu ameshuhudia jinsi alivyo wa kawaida sema anapambwa tu na Gongowazi FC.

Msimu wa pili mfululizo sasa Mayele anakosa kiatu cha ufungaji bora NBCPL, mwaka jana kwa George Mpole mwaka huu kwa Saidoo Ntibazonkiza.

Msije sema amechukua kiatu cha CAF sababu CAF hawanaga tuzo ya mfungaji bora wa Shirikisho (kombe la waliofeli)

View attachment 2652322
Halafu huyu jamaa mbona ana fanana na Mtemi Deo Kisandu!! aka Don Nalimison, aka Civilian Coin!
 
Kiukweli Jemedari hapa amepepesa na amemkosea heshima Mayele. Kwa misimu hii miwili Mayele ndiye amekuwa na mwendelezo wa ufungaji magoli katika ligi yetu ya ndani na msimu huu ameongeza kitu kwa kufunga katika mashindano ya Afrika. Kama ambavyo kulikuwa na enzi za Kagere, Okwi, Ambani, Mogela, Mohamed Huseein "Chinga one", na wengineo basi tukubali ukweli tu kuwa hii misimu miwili ilikuwa ni enzi ya Mayele.

Aliye karibu na Jemedari amwambie tu ukweli kuwa chuki kubwa aliyoitengeneza kwa Yanga inamuharibia sasa kiasi hata mambo yaliyo wazi kabisa anajaribu kuyapotosha kiasi anaanza kuonekana sasa kama mwandishi wa hovyo. Kwa kuwa tu ana ugomvi na baadhi ya viongozi wa Yanga basi hata yale mazuri anajaribu kuyapotosha yaonekane mabaya. Kila mtu amemuona Mayele kwa misimu yote miwili na kwenye kombe la shirikisho amefanya vizuri halafu Jemedari anasema eti mshambuliaji wa kawaida.

Kama Jemedari anamuona Mayele ni mshambuliaji wa kawaida atuambie ni mshambuliaji gani hatari kwenye ligi yetu hapa nchini kwa misimu hii miwili baada ya Kagere kumaliza enzi yake. Kwa tuliomwona Jemedari wakati anacheza hakuwa na uwezo hata robo tu ya uwezo wa Mayele alionao. Sasa anapata wapi ujasiri wa kuandika hayo anayoyandika.?

Jemedari apunguze wivu na chuki kazi yake ya uandishi itaenda vizuri tu kama zamani.

Ni mtizamo tu.
Huyo ni shoga, achana nae.
 
Watanzania ni wajinga kuanzia kwenye bandari mpaka kwenye soka, kwa io washabiki wa Simba ndo faraja mnayopata sio? Mo atakua anacheka sana, Raha sana kuongoza mijitu isiyojielewa
Mmesahau nyinyi mnaojifanya kusheherekea ubingwa ili watu wahamishe mjadala kwenye kuuzwa bandari
 
Jibiidishe na kazi, na utoke na jasho, ukiona hauchoki na bado una mda wa umbea na majungu, jaribu hata kukimbia jioni.
 
UTARATIBU WA FIFA UPO KAMA IFUATAVYO.

1.Wanaangali mchezaji aliyefunga MAGOLi mengi zaidi kwenye mashindano.

2.kama wachezaji wamefungana wame( tie) MAGOLi aliyecheza MICHEZO MICHACHE ndio anapewa ufungaji Bora.

3.kama wote WAMECHEZA michezo sawa wanaangalia Mchezaji MWENYE Asisist nyingi.

KAMA TUNGEKUWA TUNAFUATA SHERIA ZA FIFA SAIDO ANGEKUWA MFUNGAJI BORA NBC 2022-2023.
 
UTARATIBU WA FIFA UPO KAMA IFUATAVYO.

1.Wanaangali mchezaji aliyefunga MAGOLi mengi zaidi kwenye mashindano.

2.kama wachezaji wamefungana wame( tie) MAGOLi aliyecheza MICHEZO MICHACHE ndio anapewa ufungaji Bora.

3.kama wote WAMECHEZA michezo sawa wanaangalia Mchezaji MWENYE Asisist nyingi.

KAMA TUNGEKUWA TUNAFUATA SHERIA ZA FIFA SAIDO ANGEKUWA MFUNGAJI BORA NBC 2022-2023.
FIFA ya wapi hio? Kila tournament inaruhusiwa kuweka kanuni zake ina maana NBC ni ligi ya FIFA?
 
UTARATIBU WA FIFA UPO KAMA IFUATAVYO.

1.Wanaangali mchezaji aliyefunga MAGOLi mengi zaidi kwenye mashindano.

2.kama wachezaji wamefungana wame( tie) MAGOLi aliyecheza MICHEZO MICHACHE ndio anapewa ufungaji Bora.

3.kama wote WAMECHEZA michezo sawa wanaangalia Mchezaji MWENYE Asisist nyingi.

KAMA TUNGEKUWA TUNAFUATA SHERIA ZA FIFA SAIDO ANGEKUWA MFUNGAJI BORA NBC 2022-2023.
Kuna sheria 17 kumi na saba za mpira ambazo hazibadiliki na kanuni zinazo ongoza mashindano.Msimu uliopita moja ya kanuni ilikuwa kama wachezaji wakitie basi mchezaji mwenye magoli machache ya penati ndio atakuwa mfungaji bora.

So msimu huu sijui hawa kutunga kanuni naona wanaenda kudiscuss wampe nani (vichekesho),ila base on kanuni za TFF za mashindano ya ligi ya Tanzania ambazo zipo mpaka sasa Mayele ndio mfungaji bora,labda watunge mpya siku hizi mbili.

Ktk swala la mfungaji bora kila mashindano ya kanuni zake za kuamua mfungaji bora.
 
Kuna sheria 17 kumi na saba za mpira ambazo hazibadiliki na kanuni zinazo ongoza mashindano.Msimu uliopita moja ya kanuni ilikuwa kama wachezaji wakitie basi mchezaji mwenye magoli machache ya penati ndio atakuwa mfungaji bora.

So msimu sijui hawa kutunga kanuni naona wanaenda kudiscuss wampe nani (vichekesho),ila base on kanuni za TFF za mashindano ya ligi ya Tanzania ambazo zipo mpaka sasa Mayele ndio mfungaji bora,labda watunge mpya siku hizi mbili.

Ktk swala la mfungaji bora kila mashindano ya kanuni zake za kuamua mfungaji bora.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mayelee anashindwa kufunga sana kuepusha mgogoro, mbna wenzake kina kagere na tambwe walikua hawapati shidaa, why yeye??

Ajitathimini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mayelee anashindwa kufunga sana kuepusha mgogoro, mbna wenzake kina kagere na tambwe walikua hawapati shidaa, why yeye??

Ajitathimini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shida ipo kwa Mayele au TFF watunga kanuni za mashindano.

Mbona msimu uliopita waliwekwa wazi why naow wana vigugumizi.Wee umeona mfungaji bora mpaka wadiscuss wakati msimu uliopita ilikuwa direct sababu kanuni zilikiwepo.
 
Back
Top Bottom