Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Sentensi hii ni mwiba mkali kwa watu fulani.Msije sema amechukua kiatu cha CAF sababu CAF hawanaga tuzo ya mfungaji bora wa Shirikisho (kombe la waliofeli)
Changia hata sahivi, mbna unajistukiaa sanaaa.Nasubiri comment ya Wenye akili ndo nichangie.
Wakati ligi ina anza malengo ni nusu fainali CAF, makombe yote ya ndani mwisho wa msimu mnageuka kua wanaharakati wa Feisal na kiatuInabidi tuishauri TFF ili mechi mfungaji bora zichezwe moja tu kwenye neutral ground. Alisikika utopolo mmoja akifoka kwenye kijiwe cha kahawa
Kama kweli kasema hivyo sasa naamini huyu jamaa Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga analiwa kiboga.🛑JEMEDARI SAIDI
Niliposema Mayele ni overrated na ni striker wa kawaida mlidhani natania, nadhani kila mtu ameshuhudia jinsi alivyo wa kawaida sema anapambwa tu na Gongowazi FC.
Msimu wa pili mfululizo sasa Mayele anakosa kiatu cha ufungaji bora NBCPL, mwaka jana kwa George Mpole mwaka huu kwa Saidoo Ntibazonkiza.
Msije sema amechukua kiatu cha CAF sababu CAF hawanaga tuzo ya mfungaji bora wa Shirikisho (kombe la waliofeli)
View attachment 2652322
Atuoneshe source ya habari yake, muongo huyo, Jemedari hajasema hivyo.Kama kweli kasema hivyo sasa naamini huyu jamaa Jemedari Said Kazumari mbwiga wa mbwiga analiwa kiboga.
Kwani hujui JEMEDARI anafanya kaz kituo ganiAtuoneshe source ya habari yake, muongo huyo, Jemedari hajasema hivyo.