Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mechi zetu NBC L tunashinda kwa michongo; kwa kuwahonga Marefa na wachezaji wa timu pinzani. Hili hapa analisema Kikwete kuwa, tunashinda kwa njia ambazo hazitusaidii kwenye mashindano ambayo hatuna mtu wa kuongea naye.
Tunapohonga timu nyingine ziikamie Simba, tunawanoa Simba zaidi na kujifubaza wenyewe. Tuacheni Utoto. Tuchezeni mpira uwanjani, haya ya kuwatumia marefa na wachezaji wengine kuturahisishia mechi zetu.
"Mnashinda lakini mnashinda kwa maarifa siyo, hayasaidii kutoa mchango wa ninyi kuendelea. Ndiyo maana mnashinda hapa hapa tu, mkiingia huko mkafika round ya kwanza, ya pili, NJE! Ni kwasababu ushindi wenu hautokani na kuwekeza katika kuuendeleza mchezo.
Mkikutana na watu msiyowajua, hamna wa kuzungumza naye basi, moja kwa moja mnafungwa"
Tunapohonga timu nyingine ziikamie Simba, tunawanoa Simba zaidi na kujifubaza wenyewe. Tuacheni Utoto. Tuchezeni mpira uwanjani, haya ya kuwatumia marefa na wachezaji wengine kuturahisishia mechi zetu.
"Mnashinda lakini mnashinda kwa maarifa siyo, hayasaidii kutoa mchango wa ninyi kuendelea. Ndiyo maana mnashinda hapa hapa tu, mkiingia huko mkafika round ya kwanza, ya pili, NJE! Ni kwasababu ushindi wenu hautokani na kuwekeza katika kuuendeleza mchezo.
Mkikutana na watu msiyowajua, hamna wa kuzungumza naye basi, moja kwa moja mnafungwa"