Nilipotaka kuingia mkenge wa kununua bidhaa Ali -express

Nilipotaka kuingia mkenge wa kununua bidhaa Ali -express

Dah! Mzee mwenzangu hapa nnavoandika imeshafika Tz na nilimuagizia mtu
Hii thread yako imekua kama mwiba kwangu[emoji24]
Wajinga hawajawahi kuisha duniani halafu ndio wengi kuliko wajanja........
 
Wale wazoefu wa unuaji vitu mtandaoni huwa wanazingatia vitu vitatu kabla ya kununua
iterm description specification comments za wanunuaji wengine ziada ni additional comment za watumiaji baada ya kununua bidhaa hiyo

Vitu vingine ambavyo tunajichanganya sisi ni kutojua baadhi ya terms/maneno yanayotumika huwa yanaanisha nini mfano mtu ananunua nguo na anaona nguo ni nzuri sana ila hajui hajui zile material za nguo ni za aina gani mpaka aisheke so online hapo lazima ulie ka SHISHI na gauni lake la harusi, kikubwa ni kujitahidi kujua size, weights,colour, na vingine muhimu ambavyo vinatofautisha bidhaa husika
Weka picha ya shishi na shela lake
 
Hivi huwa ukinunua bidhaa aliexpress....unatumia freeshiping au huwa unalipia?
vitu kama flash,simu,saa huwa mnatumia makampuni gani kuvisafirisha na mpaka kukufikia huchukua muda gani?
 
Mm naagiza sana alixpress,ebay na hata amazon masoko yapo mengi ila hayo ndio yamezoeleka.

Kwanza wakuu weka akilini kuwa rahisi ni ghali japo wengi tunapenda rahisi.
Pili usihadaike na picha kwani walo vizuri kqa matangazo wenzetu.
Tatu kutazama kiti unachotaka kukinunua specs zake,item descr,comments za walionunua na picha walizopoat baada ya bidhaa kuwafikia zoom picha utizame ni quality japo wengine wanatoa reviews za uongo hata km wao wameingizwa mkenge na wanaingiza wenzao mkenge.

Hizi flash niliziona kqa kweli hata sikushawishika hata kufungua kutizama maana nilishafahamu huwez pata flash ya 2tb kwa bei hiyo lbd kwa miaka ijayo sana.

Nilijua hii ni ile rahisi ghali japo vipo vya rahisi japo sio sana ila sio vyote hakuna anaetaka kufaidisha watu bila yeye kufaidika.

Kuweni makini kabla ya kununua fahamu unataka kununua nini.
Fanya research masoko tofauti bei zao na brands zilizopo na usiwe na haraka kununua inaweza kuchakua hata siku nzima kufuatilia mwisho wa siku utakua mjuzi.
 
Hivi huwa ukinunua bidhaa aliexpress....unatumia freeshiping au huwa unalipia?
vitu kama flash,simu,saa huwa mnatumia makampuni gani kuvisafirisha na mpaka kukufikia huchukua muda gani?
Zipo bidhaa unalipia pia zipo ulipii zinakuja bure
Muda zinachuku mwezi kwa uzoefu wangu japo zingne ata kabla ya mwezi zinafika
Makampuni ya kusafirisha ni pale unaponunua bidhaa utaona na unaweza kuchagua kama zipo mbili na zaidi.
 
Zipo bidhaa unalipia pia zipo ulipii zinakuja bure
Muda zinachuku mwezi kwa uzoefu wangu japo zingne ata kabla ya mwezi zinafika
Makampuni ya kusafirisha ni pale unaponunua bidhaa utaona na unaweza kuchagua kama zipo mbili na zaidi.
kuna makampuni wana recomend kutumia kama dhl unakuta gharama ni kubwa zaidi ya bei ya bidhaa,hapo huwa unafanyaje?
kikuu nimeona bidhaa nyingi ni free shipping je kuna ukweli?
 
kuna makampuni wana recomend kutumia kama dhl unakuta gharama ni kubwa zaidi ya bei ya bidhaa,hapo huwa unafanyaje?
kikuu nimeona bidhaa nyingi ni free shipping je kuna ukweli?
Binafsi nikikuta shipping cost ni kubwa naacha naangalia kwa muuzaji mwngne sababu unaweza kuta bidhaa iyo iyo mwingine usafir bure mwngne unalipia apo uchagz ni wako
Zipo bidhaa nying tu free shipping na nyingne unalipia
mfano iyo Nokia apa juu refurbished ni free shipping apo
Screenshot_20210614-001142.jpg



Alafu hii hapa ya chini sawa na iyo ya juu usafiri unalipia elf 12
Screenshot_20210614-001457.jpg
 
Binafsi nikikuta shipping cost ni kubwa naacha naangalia kwa muuzaji mwngne sababu unaweza kuta bidhaa iyo iyo mwingine usafir bure mwngne unalipia apo uchagz ni wako
Zipo bidhaa nying tu free shipping na nyingne unalipia
mfano iyo Nokia apa juu refurbished ni free shipping apo
View attachment 1817961


Alafu hii hapa ya chini sawa na iyo ya juu usafiri unalipia elf 12
View attachment 1817962
Sawa,mkuu nimekuelewa sana,nitafuata maelekezo yako.
 
kusoma description ni muhimu sana, nliwahi kununua projector kwa elf 90, nmeemda kuichukua nmeefungua nmekuta ka projector kadogo balaa, na hakaoneshi picha vizuri, mhhh yani nliwacheki kama watu watano kupatana wakaichomoa, hapo nlikuwa naiuza laki 2, mmoja akaja nae hakuridhika nikaona niiuze laki tu tena hapo nlipoiuza jamaa akaanza kulalamika haioneshi vizuri mi nika mwambia nimesafiri.
 
Hivi ukiweka kwenye Visa card kuna makato ya kununua au wanakata hela ile ile ya kuparchase tu

sent from HUAWEI
 
Hivi ukiweka kwenye Visa card kuna makato ya kununua au wanakata hela ile ile ya kuparchase tu

sent from HUAWEI
Inategemea na kampuni, hayo makato hayafanani baina ya kampuni na kampuni. Voda wanakata around Asilimia 4 ya thamani ya Bidhaa.
 
Hivi ukiweka kwenye Visa card kuna makato ya kununua au wanakata hela ile ile ya kuparchase tu

sent from HUAWEI
Inategemea na benki yako. Mimi natumia Equity, hakuna transaction fees ukinunua bidhaa/service online
 
Inategemea na benki yako. Mimi natumia Equity, hakuna transaction fees ukinunua bidhaa/service online
Natumia m-pesa master card wamenikata km sh 19000 kwa bidhaa za 450,000/-

sent from HUAWEI
 
Inategemea na benki yako. Mimi natumia Equity, hakuna transaction fees ukinunua bidhaa/service online
Nafikiria kufungua acount equity maana hz local banks naona zna ujima mwingi sana
 
Natumia m-pesa master card wamenikata km sh 19000 kwa bidhaa za 450,000/-

sent from HUAWEI
Ah unajua mitandao ya simu nayo imekuwa na gharama kuliko mabenki. Siku izi mawakala wa benki kila chochoro, bora uwe na akaunti benki tu.

Mimi Equity wananipiga kwenye exchange rate only kama ni foreign currency. Waliniuza GBP 1 kwa 3400!! Card yangu nimeunganisha na Paypal, sasa kuna time bidhaa ata kama ipo in USD au GBP lakini nikataka kufanya malipo nikiingia paypal, ile amount inakuwa converted in TZS na paypal wenyewe, ikitokea ivo basi huwa nalipa exact amount ilionesha paypal (rate afadhali) ila sijui kwanini siku izi paypal haibadili currency.
 
Back
Top Bottom