Easy kufungua akaunti, unapewa kadi siku io ioNafikiria kufungua acount equity maana hz local banks naona zna ujima mwingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Easy kufungua akaunti, unapewa kadi siku io ioNafikiria kufungua acount equity maana hz local banks naona zna ujima mwingi sana
Mkuu kile ki WiFi kidogo cha kutembeaAh unajua mitandao ya simu nayo imekuwa na gharama kuliko mabenki. Siku izi mawakala wa benki kila chochoro, bora uwe na akaunti benki tu.
Mimi Equity wananipiga kwenye exchange rate only kama ni foreign currency. Waliniuza GBP 1 kwa 3400!! Card yangu nimeunganisha na Paypal, sasa kuna time bidhaa ata kama ipo in USD au GBP lakini nikataka kufanya malipo nikiingia paypal, ile amount inakuwa converted in TZS na paypal wenyewe, ikitokea ivo basi huwa nalipa exact amount ilionesha paypal (rate afadhali) ila sijui kwanini siku izi paypal haibadili currency.
Wanaonekana wako vzur nmeangalia site yao wanahtaji ktambulisho cha taifa tu. Mm sna national ID nategemea kwenda na leseni ya udereva. A hope it'll workEasy kufungua akaunti, unapewa kadi siku io io
Niliviona vipo kuanzia dola 20 kwenda juu. unatia simcard tuMkuu kile ki WiFi kidogo cha kutembea
Nacho kinafika shingap huko AliExpress
Dhaaaa hicho ntakihitaj aiseeNiliviona vipo kuanzia dola 20 kwenda juu. unatia simcard tu