Nilisema wakati unakuja kila kitu kitaanikwa hadharani

Nilisema wakati unakuja kila kitu kitaanikwa hadharani

Bro makusanyo kuongezeka pia hutokana na gharama za uzalishaji kuongezeka. Pamoja na makusanyo hayo bado matumizi yatakua makubwa.

Mfano rahisi. Nondo kwa sasa inauzwa sh 27000 kwa mikoani. Kabla ilikua sh 17000. Unategemea hapo makusanyo ya serikali hayataongezeka?

Kila raisi atayekuja makusaanyo yataongezeka sababu gharama za uzalishaji pia zinaongezeka. Makusanyo ya mkapa yalikua chini ya kikwete, ga kikwete yalikua chini ya Magufuli, ya Magufuli yapo chini ya Samia na atayekuja ya Samia yatakua chini.

Hivyohivyo na matumizi, enzi za mkapa darasa moja tulijenga kwa mil 3, sasa hivi darasa moja mil 20, atayekuja mbeleni huko darasa moja litajengwa kwa mil 40
Nondo gani hiyo ya 27,000 ambayo ilikuwa 17,000?

Pia usishau kwamba Mkoani bato ya rangi gage 30 ni 430,000-450,000 kabla ya hapo ilikuwa 500,000 Kwa bandle,so leta hoja nyingine..

Mwisho Kati ya mifano yote uliyoitoa hakuna awamu ambayo Makusanyo yaliongezeka mara 2 ya nyingine isipokuwa ya Samia Kwa sababu amefanya vizuri kuliko Mwendazake..

Na takwimu zipo zinaonesha kwamba miaka 5 ya Mwanzo Kwa Kila Rais ,awamu ya Magufuli Kasi ya GDP ilipungua sana kama unabisha sema nikupe ushahidi..

Usitafutize sababu mfu kutetea failure
 
Wacha inyeshe tuone panapovuja! Truly kama Taifa tulipita kweny kipind kigumu mnoo!! NB; kusema ukwel sio dhambi ingawa wanadam hawataki kusikia ukwel!

View attachment 2559074
Huyu mchange na kijigazeti chake Jamvi la Habari ndio alikuwa anaongoza kusifu na kuabudu. Leo anazugia kwa Mama ili aendelee kula.

Kama una pesa haramu huwezi ziweka benki. Hizi mambo nyingi za kutunga.

Kama pesa hazikuwa benki mbona mabenki yalikuwa yanatangaza faida kila mwaka?

Endeleeni kumzuga mama huku mnatumiwa na mafisadi.
 
na hivyo ndivyo ilivyo kwa sasa walamba asali wamekazana kuichafua awamu ya 5 kwa sababu tu mambo yao yanaenda na huku wananchi kwa ujumla wao wanateseka kwenye mambo mengi kuanzia kula mlo mmoja kwa siku.

nimemsikia nnape akisisitiza kulinenea mema Taifa kwa sababu yeye yuko kwenye neema kwa sasa ila alipopigwa na dhiki wakati ule yeye na genge lake ndio walikuwa wa kwanza kuikosoa serikali ya awamu ya tano mitandaoni
Wewe mataga na muimba pambio wa awamu ya 5 si upo? Isafishe Sasa kama inachafuliwa.
 
Huyu mchange na kijigazeti chake Jamvi la Habari ndio alikuwa anaongoza kusifu na kuabudu. Leo anazugia kwa Mama ili aendelee kula.

Kama una pesa haramu huwezi ziweka benki. Hizi mambo nyingi za kutunga.

Kama pesa hazikuwa benki mbona mabenki yalikuwa yanatangaza faida kila mwaka?

Endeleeni kumzuga mama huku mnatumiwa na mafisadi.
Banks kubwa hazikuwahi kutangaza hasara ila faida Yao ilishuka sana na pia mikopo Mingi waliyokopesha watu walishindwa kulipa Kwa sababu biashara zilikuwa haziendi..

Faida yanayopiga Kwa Sasa ni mara 3 zaidi ya walichopata miaka ya Mwendazake,usijitoe ufahanu..

Mwisho banks ndogo ndogo nyingi sana zilikufa na zingine kuwa merged out.
 
Wewe mataga na muimba pambio wa awamu ya 5 si upo? Isafishe Sasa kama inachafuliwa.
inajisafisha yenyewe bila hata kutumia nguvu kwa mambo makubwa yaliyofanyika wakati ule ambayo kwa sasa mnamalizia viporo na hamna jipya lolote na mnapokosea mapya hamjatuonyesha bali mnatamani myafute yale mzauri makubwa ila hamuwezi na hapo ndipo aibu inapowapata na ndipo mnapofeli

in short haichafukiki 😃

ingekuwa dhaifu kwa uchafu huo mnaoupata ingekuwa ishachafuka lakini mnafeli kila siku mmejaa hasira kwa sababu mambo ya kusifia yanaonekana dhahiri basi hamna raha kabisa mmebaki kuponda tu
 
Wanaondika huu ujinga ni wale wanalipwa na hao wakwepa kodi bila kuwaza kwamba ugumu utawajia pia kwa kukosa mahitaji muhimu kama Maji,hosiptal na Umeme wa uhakika.
Wewe ni looser wa mwisho kabisa,Rais wako yupi aliwahi fikia rekodi ya maji kama hii ya Samia hapa 👇



 
Naona haya mambo wakati mwingine yana uzuri na ubaya wake, uzuri ni pale ambapo mtu analipwa kile anachostahili kilicho haki yake bila kudhulumiwa.

Lakini ubaya ni pale tunapoona kuna ukwepaji mkubwa wa kodi halali ya serikali, kwasababu tu mtawala aliyepo sasa ni "mama mpole na msikivu".

Bahati mbaya sioni watu wakikemea hili, bado naona wengi wamejibanza kwenye kivuli cha kumsema vibaya marehemu, hawa wanaweza kuwa ndio wakwepaji wa kodi wanaotuzubaisha na hizi nyimbo za ubaya wa marehemu, ili waendelee na michezo yao michafu.

Sasa naona vyema tujitazame kwa makini tusiwe wajinga, tunaoibiwa huku tunashangilia kwa mapambio pamoja na wezi, wapo wanaofaidi isivyo halali kwa sasa, waliowekeza kwenye kutuzubaisha kunsema vibaya marehemu ili wapate mwanya wa kuendelea kufanya mambo yao.
Kwa sasa unaamini kuwa kuna wizi na ukwepaji wa kodi mbona makusanyo yameongezeka bila hata kulazimisha walipa kodi

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
inajisafisha yenyewe bila hata kutumia nguvu kwa mambo makubwa yaliyofanyika wakati ule ambayo kwa sasa mnamalizia viporo na hamna jipya lolote na mnapokosea mapya hamjatuonyesha bali mnatamani myafute yale mzauri makubwa ila hamuwezi na hapo ndipo aibu inapowapata na ndipo mnapofeli

in short haichafukiki 😃

ingekuwa dhaifu kwa uchafu huo mnaoupata ingekuwa ishachafuka lakini mnafeli kila siku mmejaa hasira kwa sababu mambo ya kusifia yanaonekana dhahiri basi hamna raha kabisa mmebaki kuponda tu
Tutaendelea kuwaaibisha Hadi mtie akili..

Mlisema tulijenga reli tunawauliza ziko wapi? Mbona mama anazijenga zenu ziko wapi? Hivyo hivyo kwenye miradi yote
20230315_095426.jpg
 
Bro makusanyo kuongezeka pia hutokana na gharama za uzalishaji kuongezeka. Pamoja na makusanyo hayo bado matumizi yatakua makubwa.

Mfano rahisi. Nondo kwa sasa inauzwa sh 27000 kwa mikoani. Kabla ilikua sh 17000. Unategemea hapo makusanyo ya serikali hayataongezeka?

Kila raisi atayekuja makusaanyo yataongezeka sababu gharama za uzalishaji pia zinaongezeka. Makusanyo ya mkapa yalikua chini ya kikwete, ga kikwete yalikua chini ya Magufuli, ya Magufuli yapo chini ya Samia na atayekuja ya Samia yatakua chini.

Hivyohivyo na matumizi, enzi za mkapa darasa moja tulijenga kwa mil 3, sasa hivi darasa moja mil 20, atayekuja mbeleni huko darasa moja litajengwa kwa mil 40
basi kama Samia alikua hakusanyi kodi kama huyo niloyemjibu alivyokuwa anasema makusanyo yangebaki yaleyale Magufuli aliyoacha au yangeshuka

Halafu makusanyo ya kodi kwa kiasi kikubwa yanatokana na net income, mfano kampuni ikiwa na gharama za uzalishaji kidogo faida ndio inakuwa kubwa hivyo kodi ambayo inatolewa kwenye faida inakuwa kubwa
 
porojo hizi fika sehemu husika usikilizie shida ya maji

ni heri kumuamini shetani kuliko mwanasiasa tena wa siasa hizi uchwara
Kwa nini nyie hamkuzimaliza hizo shida miaka yenu? Mlimsubiria Samia? 🤣🤣
 
Mtupumzisha tumechoka km alkua mbaya kiasi icho mbona hamkumpindua
Momba mlitaka kumfanya awe raisi wa milele
Mbona mlikua mnahama vyama nmaenda kuunga juudi
Mbona mlikua mkipewa teuzi mlikua hamzukatai
Watanzania tulo wengni wanafiki sana
Kuna mengne yamepewa ubunge na udiwani wa bure mbona hamkuukataa
Tuacheni unafiki kaenda ndo kla sku tunamsema vibaya ujinga huo
Kumfanya kuwa Rais wa milele ilikuwa ni kwa Kesy mbunge huko Sumbawanga, Dr. Ngonyani na mwenzao Ndugai..!!
 
Kumfanya kuwa Rais wa milele ilikuwa ni kwa Kesy mbunge huko Sumbawanga, Dr. Ngonyani na mwenzao Ndugai..!!
Yule aliswichiwa Ili aanzishe usimsingizie maana alikuwa anawaambia hakuna wa kutekeleza miradi kama yeye 😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom