ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe umeishiwa 😀😀😀😀hamna kitu hapo unafiki mtupu
hizi porojo zenu ni kwa ajili ya nyinyi wenye access na hayo magazeti mwananchi wa kawaida kule Kaliua hata hajui haya
mfano hayo mambo ya wizara ya afya yamechukuliwa hospitali ya Taifa mwanachi wa nanjilinji huku atabaki anashangaa asijui hata kama kuna kitu na namna hiyo kwa sababu wilayani kwake hamna
muogopeni Mungu
Asijue kwani ameugua akaenda hospital akashindwa kuona?
Maendelea kukutandika na wonders za Samia Kwa miaka 2,zamu ya Tamisemi