Nilisema wakati unakuja kila kitu kitaanikwa hadharani

Nilisema wakati unakuja kila kitu kitaanikwa hadharani

vipya vyenu viko wapi au mnafanya BAU tu hamna jipya kwa kweli na tatizo lenu ni uchawa na unafiki
Kwanza tumalize viporo vilivyowashinda ndio tuulizane Vipya maana viko kama utitiri.

Another kiporo
20230319_204426.jpg
 
hakuna jipya hapa Covid mwamba ndio aliwatoa kimasomaso hizo scintific way zenu za chanjo njoo na takwmu hapa inayoonyesha ni watanznia wangapi wamechanja 🙁
Mwamba wako ndio alileta chanjo? Bila chanjo Nchi Yako ilishaanza kutengwa Kwa kuambukiza wenzie 🤣🤣

Fukua taarifa zote unazozijua wewe Kwa Mwendazake ukipata habari kama hii hapa nitag

 
alete chanjo kwani unadhani alikuwa bendera fata upepo kama nyie,soma vizuri tatizo lenu hamuelewi mnakimbilia kujibu
Bendera fuata upepo ndio Leo hii imetuletea wonders zifuatazo 👇
20230320_151926.jpg
20230320_151858.jpg
20230320_152022.jpg
20230320_152054.jpg


Soma taratibu au niongeze nyama? 🔥🔥
 
Nondo gani hiyo ya 27,000 ambayo ilikuwa 17,000?

Pia usishau kwamba Mkoani bato ya rangi gage 30 ni 430,000-450,000 kabla ya hapo ilikuwa 500,000 Kwa bandle,so leta hoja nyingine..

Mwisho Kati ya mifano yote uliyoitoa hakuna awamu ambayo Makusanyo yaliongezeka mara 2 ya nyingine isipokuwa ya Samia Kwa sababu amefanya vizuri kuliko Mwendazake..

Na takwimu zipo zinaonesha kwamba miaka 5 ya Mwanzo Kwa Kila Rais ,awamu ya Magufuli Kasi ya GDP ilipungua sana kama unabisha sema nikupe ushahidi..

Usitafutize sababu mfu kutetea failure
Nimekutolea mfano tu mmoja wa nondo, unataka kusema nondo hii bei ya 27000(mm 12) ilikuwa toka miaka ya zamabi?
Pia unasema bati imepungua bei? Nadhani hadi hapa sipaswi kuendelea na chochote ulichoandika
 
basi kama Samia alikua hakusanyi kodi kama huyo niloyemjibu alivyokuwa anasema makusanyo yangebaki yaleyale Magufuli aliyoacha au yangeshuka

Halafu makusanyo ya kodi kwa kiasi kikubwa yanatokana na net income, mfano kampuni ikiwa na gharama za uzalishaji kidogo faida ndio inakuwa kubwa hivyo kodi ambayo inatolewa kwenye faida inakuwa kubwa
Kodi inakusanywa vizuri tu, japo bado kuna mianya ipo wazi.

Najua pia Kodi hutoka kwenye njia nyingi ikiwemo hiyo net income, lakini kwa nchi zetu hizi huko kwenye net income wanapigwa sana uhalisia. Tegemeo kubwa limebaki kwenye VAT
 
uongo ntupu huu ni mwendelezo wa sera na mazingira mazuri yaliyowekwa awamu ya tano chini ya mwamba makini JPM
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa hiyo sera zilikuwa zinamsubilia Samia si ndio? Kwa nini sera hazikufanya kazi miaka 6 mliyokuwa madarakani?
20230320_151918.jpg
20230320_152004.jpg
20230320_152040.jpg
20230320_152130.jpg


Utaweweseka Hadi ukome.Naendelea kukutandika soma taratibu Ukiwa umekunywa maji.
 
Naona haya mambo wakati mwingine yana uzuri na ubaya wake, uzuri ni pale ambapo mtu analipwa kile anachostahili kilicho haki yake bila kudhulumiwa.

Lakini ubaya ni pale tunapoona kuna ukwepaji mkubwa wa kodi halali ya serikali, kwasababu tu mtawala aliyepo sasa ni "mama mpole na msikivu".

Bahati mbaya sioni watu wakikemea hili, bado naona wengi wamejibanza kwenye kivuli cha kumsema vibaya marehemu, hawa wanaweza kuwa ndio wakwepaji wa kodi wanaotuzubaisha na hizi nyimbo za ubaya wa marehemu, ili waendelee na michezo yao michafu.

Sasa naona vyema tujitazame kwa makini tusiwe wajinga, tunaoibiwa huku tunashangilia kwa mapambio pamoja na wezi, wapo wanaofaidi isivyo halali kwa sasa, waliowekeza kwenye kutuzubaisha kunsema vibaya marehemu ili wapate mwanya wa kuendelea kufanya mambo yao.
Point is hayati alikuwa anachungulia akaunti za watu na kupora pesa zao
 
Naona haya mambo wakati mwingine yana uzuri na ubaya wake, uzuri ni pale ambapo mtu analipwa kile anachostahili kilicho haki yake bila kudhulumiwa.

Lakini ubaya ni pale tunapoona kuna ukwepaji mkubwa wa kodi halali ya serikali, kwasababu tu mtawala aliyepo sasa ni "mama mpole na msikivu".

Bahati mbaya sioni watu wakikemea hili, bado naona wengi wamejibanza kwenye kivuli cha kumsema vibaya marehemu, hawa wanaweza kuwa ndio wakwepaji wa kodi wanaotuzubaisha na hizi nyimbo za ubaya wa marehemu, ili waendelee na michezo yao michafu.

Sasa naona vyema tujitazame kwa makini tusiwe wajinga, tunaoibiwa huku tunashangilia kwa mapambio pamoja na wezi, wapo wanaofaidi isivyo halali kwa sasa, waliowekeza kwenye kutuzubaisha kunsema vibaya marehemu ili wapate mwanya wa kuendelea kufanya mambo yao.
Yote umemaliza mkuu,sina la kuongeza
 
Nimekutolea mfano tu mmoja wa nondo, unataka kusema nondo hii bei ya 27000(mm 12) ilikuwa toka miaka ya zamabi?
Pia unasema bati imepungua bei? Nadhani hadi hapa sipaswi kuendelea na chochote ulichoandika
Fala wewe mm 12 bei ya mwisho ilikuwa 22,000 mikoani,imeongezeka 5,000 tuu so acha uzushi ujenzi ndio field yangu hakuna utanidanganya..

Mwisho kama mazao yaneongezeka bei, biashara zinatoka so vipato vimeongezeka ndio maana unakuta speed ya ujenzi ni kubwa sana Toka Samia kaingia au nalo unabisha?
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwa hiyo sera zilikuwa zinamsubilia Samia si ndio? Kwa nini sera hazikufanya kazi miaka 6 mliyokuwa madarakani?View attachment 2559213View attachment 2559214View attachment 2559215View attachment 2559216

Utaweweseka Hadi ukome.Naendelea kukutandika soma taratibu Ukiwa umekunywa maji.
ukatubu leo kwa uongo huu unaokusanya wa kujikomba na wabongo mlivyowazuri wa kujikomba

habari za gazeti la mwannchi lililijaa uongo ndi unaniletea hapa kwanza klitashitakiwa kwa kuripoti habari za uongo kuhusu CRDB Bank Chato
 
ukatubu leo kwa uongo huu unaokusanya wa kujikomba na wabongo mlivyowazuri wa kujikomba

habari za gazeti la mwannchi lililijaa uongo ndi unaniletea hapa kwanza klitashitakiwa kwa kuripoti habari za uongo kuhusu CRDB Bank Chato
😁😁😁😁😁 Hadi aibu,kama huamini nenda hospital,soon nahamia Tamisemi nikunyooshe vizuri..

Kazi nzuri ya mama connection soma hapa 👇



 
😁😁😁😁😁 Hadi aibu,kama huamini nenda hospital,soon nahamia Tamisemi nikunyooshe vizuri..

Kazi nzuri ya mama connection soma hapa 👇




hamna kitu hapo unafiki mtupu

hizi porojo zenu ni kwa ajili ya nyinyi wenye access na hayo magazeti mwananchi wa kawaida kule Kaliua hata hajui haya

mfano hayo mambo ya wizara ya afya yamechukuliwa hospitali ya Taifa mwanachi wa nanjilinji huku atabaki anashangaa asijui hata kama kuna kitu na namna hiyo kwa sababu wilayani kwake hamna

muogopeni Mungu
 
Back
Top Bottom