ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwanza tumalize viporo vilivyowashinda ndio tuulizane Vipya maana viko kama utitiri.vipya vyenu viko wapi au mnafanya BAU tu hamna jipya kwa kweli na tatizo lenu ni uchawa na unafiki
SImsingizii..!! Maana hao wote (Kesy, Ngonya na Ndugai) tuliwasikia kwa kauli zao tena bungeniYule aliswichiwa Ili aanzishe usimsingizie maana alikuwa anawaambia hakuna wa kutekeleza miradi kama yeye πππππ
Walitumwa ndio hoja yanguSImsingizii..!! Maana hao wote (Kesy, Ngonya na Ndugai) tuliwasikia kwa kauli zao tena bungeni
hakuna jipya hapa Covid MWAMBA ndio aliwatoa kimasomaso hizo scientific way zenu za chanjo njoo na takwimu hapa inayoonyesha ni watanzania wangapi wamechanja πKwanza tumalize viporo vilivyowashinda ndio tuulizane Vipya maana viko kama utitiri.
Another kiporo View attachment 2559187
Mwamba wako ndio alileta chanjo? Bila chanjo Nchi Yako ilishaanza kutengwa Kwa kuambukiza wenzie π€£π€£hakuna jipya hapa Covid mwamba ndio aliwatoa kimasomaso hizo scintific way zenu za chanjo njoo na takwmu hapa inayoonyesha ni watanznia wangapi wamechanja π
alete chanjo kwani unadhani alikuwa bendera fata upepo kama nyie,soma vizuri tatizo lenu hamuelewi mnakimbilia kujibuMwamba wako ndio alileta chanjo? Bila chanjo Nchi Yako ilishaanza kutengwa Kwa kuambukiza wenzie π€£π€£
Fukua taarifa zote unazozijua wewe Kwa Mwendazake ukipata habari kama hii hapa nitag
Bendera fuata upepo ndio Leo hii imetuletea wonders zifuatazo πalete chanjo kwani unadhani alikuwa bendera fata upepo kama nyie,soma vizuri tatizo lenu hamuelewi mnakimbilia kujibu
Nimekutolea mfano tu mmoja wa nondo, unataka kusema nondo hii bei ya 27000(mm 12) ilikuwa toka miaka ya zamabi?Nondo gani hiyo ya 27,000 ambayo ilikuwa 17,000?
Pia usishau kwamba Mkoani bato ya rangi gage 30 ni 430,000-450,000 kabla ya hapo ilikuwa 500,000 Kwa bandle,so leta hoja nyingine..
Mwisho Kati ya mifano yote uliyoitoa hakuna awamu ambayo Makusanyo yaliongezeka mara 2 ya nyingine isipokuwa ya Samia Kwa sababu amefanya vizuri kuliko Mwendazake..
Na takwimu zipo zinaonesha kwamba miaka 5 ya Mwanzo Kwa Kila Rais ,awamu ya Magufuli Kasi ya GDP ilipungua sana kama unabisha sema nikupe ushahidi..
Usitafutize sababu mfu kutetea failure
uongo ntupu huu ni mwendelezo wa sera na mazingira mazuri yaliyowekwa awamu ya tano chini ya mwamba makini JPMBendera fuata upepo ndio Leo hii imetuletea wonders zifuatazo πView attachment 2559201View attachment 2559202View attachment 2559203View attachment 2559204
Soma taratibu au niongeze nyama? π₯π₯
Kodi inakusanywa vizuri tu, japo bado kuna mianya ipo wazi.basi kama Samia alikua hakusanyi kodi kama huyo niloyemjibu alivyokuwa anasema makusanyo yangebaki yaleyale Magufuli aliyoacha au yangeshuka
Halafu makusanyo ya kodi kwa kiasi kikubwa yanatokana na net income, mfano kampuni ikiwa na gharama za uzalishaji kidogo faida ndio inakuwa kubwa hivyo kodi ambayo inatolewa kwenye faida inakuwa kubwa
π€£π€£π€£π€£π€£ Kwa hiyo sera zilikuwa zinamsubilia Samia si ndio? Kwa nini sera hazikufanya kazi miaka 6 mliyokuwa madarakani?uongo ntupu huu ni mwendelezo wa sera na mazingira mazuri yaliyowekwa awamu ya tano chini ya mwamba makini JPM
Point is hayati alikuwa anachungulia akaunti za watu na kupora pesa zaoNaona haya mambo wakati mwingine yana uzuri na ubaya wake, uzuri ni pale ambapo mtu analipwa kile anachostahili kilicho haki yake bila kudhulumiwa.
Lakini ubaya ni pale tunapoona kuna ukwepaji mkubwa wa kodi halali ya serikali, kwasababu tu mtawala aliyepo sasa ni "mama mpole na msikivu".
Bahati mbaya sioni watu wakikemea hili, bado naona wengi wamejibanza kwenye kivuli cha kumsema vibaya marehemu, hawa wanaweza kuwa ndio wakwepaji wa kodi wanaotuzubaisha na hizi nyimbo za ubaya wa marehemu, ili waendelee na michezo yao michafu.
Sasa naona vyema tujitazame kwa makini tusiwe wajinga, tunaoibiwa huku tunashangilia kwa mapambio pamoja na wezi, wapo wanaofaidi isivyo halali kwa sasa, waliowekeza kwenye kutuzubaisha kunsema vibaya marehemu ili wapate mwanya wa kuendelea kufanya mambo yao.
kweli? uwazi mwingine umefichwa na giza!Leo kila kitu wazi.
Yote umemaliza mkuu,sina la kuongezaNaona haya mambo wakati mwingine yana uzuri na ubaya wake, uzuri ni pale ambapo mtu analipwa kile anachostahili kilicho haki yake bila kudhulumiwa.
Lakini ubaya ni pale tunapoona kuna ukwepaji mkubwa wa kodi halali ya serikali, kwasababu tu mtawala aliyepo sasa ni "mama mpole na msikivu".
Bahati mbaya sioni watu wakikemea hili, bado naona wengi wamejibanza kwenye kivuli cha kumsema vibaya marehemu, hawa wanaweza kuwa ndio wakwepaji wa kodi wanaotuzubaisha na hizi nyimbo za ubaya wa marehemu, ili waendelee na michezo yao michafu.
Sasa naona vyema tujitazame kwa makini tusiwe wajinga, tunaoibiwa huku tunashangilia kwa mapambio pamoja na wezi, wapo wanaofaidi isivyo halali kwa sasa, waliowekeza kwenye kutuzubaisha kunsema vibaya marehemu ili wapate mwanya wa kuendelea kufanya mambo yao.
Fala wewe mm 12 bei ya mwisho ilikuwa 22,000 mikoani,imeongezeka 5,000 tuu so acha uzushi ujenzi ndio field yangu hakuna utanidanganya..Nimekutolea mfano tu mmoja wa nondo, unataka kusema nondo hii bei ya 27000(mm 12) ilikuwa toka miaka ya zamabi?
Pia unasema bati imepungua bei? Nadhani hadi hapa sipaswi kuendelea na chochote ulichoandika
ukatubu leo kwa uongo huu unaokusanya wa kujikomba na wabongo mlivyowazuri wa kujikombaπ€£π€£π€£π€£π€£ Kwa hiyo sera zilikuwa zinamsubilia Samia si ndio? Kwa nini sera hazikufanya kazi miaka 6 mliyokuwa madarakani?View attachment 2559213View attachment 2559214View attachment 2559215View attachment 2559216
Utaweweseka Hadi ukome.Naendelea kukutandika soma taratibu Ukiwa umekunywa maji.
πππππ Hadi aibu,kama huamini nenda hospital,soon nahamia Tamisemi nikunyooshe vizuri..ukatubu leo kwa uongo huu unaokusanya wa kujikomba na wabongo mlivyowazuri wa kujikomba
habari za gazeti la mwannchi lililijaa uongo ndi unaniletea hapa kwanza klitashitakiwa kwa kuripoti habari za uongo kuhusu CRDB Bank Chato
hamna kitu hapo unafiki mtupuπππππ Hadi aibu,kama huamini nenda hospital,soon nahamia Tamisemi nikunyooshe vizuri..
Kazi nzuri ya mama connection soma hapa π
Wewe chawa tu,kila kitu hakiendi hawamu hii miradi imekwama,uliwai sikia wapi Rais ananua magori badala ya madawa,madawati,mishahara bora?Wewe ni looser wa mwisho kabisa,Rais wako yupi aliwahi fikia rekodi ya maji kama hii ya Samia hapa π