ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe umeishiwa 😀😀😀😀hamna kitu hapo unafiki mtupu
hizi porojo zenu ni kwa ajili ya nyinyi wenye access na hayo magazeti mwananchi wa kawaida kule Kaliua hata hajui haya
mfano hayo mambo ya wizara ya afya yamechukuliwa hospitali ya Taifa mwanachi wa nanjilinji huku atabaki anashangaa asijui hata kama kuna kitu na namna hiyo kwa sababu wilayani kwake hamna
muogopeni Mungu
Hater unahangaika sana Kwa wivu na maumivu 😁🙄Wewe chawa tu,kila kitu hakiendi hawamu hii miradi imekwama,uliwai sikia wapi Rais ananua magori badala ya madawa,madawati,mishahara bora?
team praise tu hamna lolote augue aend e hospitali ya wilaya Kaliua akute theatre kama ya Muhimbili acha uongo weweUsiwe unasema miradi imekwama Taja hata mmja uliokwama ukianza na hapo Mkoani kwako 🤣🤣
Kwenye kodi zinazokusanywa na TRA Income tax ni kubwa kuliko VATKodi inakusanywa vizuri tu, japo bado kuna mianya ipo wazi.
Najua pia Kodi hutoka kwenye njia nyingi ikiwemo hiyo net income, lakini kwa nchi zetu hizi huko kwenye net income wanapigwa sana uhalisia. Tegemeo kubwa limebaki kwenye VAT
Team mapambio leteni vya kwenu awamu ya 5 tuvione.team praise tu hamna lolote augue aend e hospitali ya wilaya Kaliua akute theatre kama ya Muhimbili acha uongo wewe
Hizi zimejengwa kuanzia awamu ya tanoTeam mapambio leteni vya kwenu awamu ya 5 tuvione.
Awamu ya 6 tunaseleleka kama ifuatavyo [emoji116]View attachment 2559283View attachment 2559284View attachment 2559285
Haya mambo yalianzishwa awamu ya 5Wewe umeishiwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asijue kwani ameugua akaenda hospital akashindwa kuona?
Maendelea kukutandika na wonders za Samia Kwa miaka 2,zamu ya Tamisemi View attachment 2559233View attachment 2559234View attachment 2559235
Walihitaji miaka mingapi kumaliza?Hizi zimejengwa kuanzia awamu ya tano
Mambo gani yaliyoanzishwa awamu Yako ya 5? YatajeHaya mambo yalianzishwa awamu ya 5
Na maisha ya watu yalikuwa rahisi sana. Sasa hivi mfumuko wa bei, ufisadi mkubwa.Banks kubwa hazikuwahi kutangaza hasara ila faida Yao ilishuka sana na pia mikopo Mingi waliyokopesha watu walishindwa kulipa Kwa sababu biashara zilikuwa haziendi..
Faida yanayopiga Kwa Sasa ni mara 3 zaidi ya walichopata miaka ya Mwendazake,usijitoe ufahanu..
Mwisho banks ndogo ndogo nyingi sana zilikufa na zingine kuwa merged out.
Watu gani hao unaowasemea? Maisha yangekuwa rahisi ungesikia vyuma kukaza na Biashara kufunga?Na maisha ya watu yalikuwa rahisi sana. Sasa hivi mfumuko wa bei, ufisadi mkubwa.
Kwani benki zikipata faida ndogo na maisha ya watu takeaway nafuu kuna ubaya gani?
Welfare of the people ni muhimu kuliko wachache kupata faida kubwa huku maisha yakiwa duni.