Uchaguzi 2020 Nilishawaambia muengueni Tundu Lissu, hamkusikia. Oneni!

Uchaguzi 2020 Nilishawaambia muengueni Tundu Lissu, hamkusikia. Oneni!

😀 😀 😀 😀

Mkuu mbona wanitisha asee!
Robert unataka Zanzibar iwe mkoa wa Tanganyika?!!! Hayo maneno akiongea magu tunampiga mawe hapo hapo sada wewe unabahati hapo ulipo mshukuru muumba wako.
 
Mtu anasema asipotangazwa mshindi safari anakinukisha.

Nashangaa hata Magufuli wanayesema ana roho mbaya anamuacha anaongea pumba, ningekuwa mimi saa hizi angekuwa jela kwa matamshi ya kichochezi.
Nchi inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria tulizojiwekea,si kwa mujibu wa mawazo ya mvuta bangi mmoja anavyojisikia
 
Nchi inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria tulizojiwekea,si kwa mujibu wa mawazo ya mvuta bangi mmoja anavyojisikia
Basi mwambieni huyo mgombea wenu, kukinukisha ni kuvunja sheria pia.
 
Mtu anasema asipotangazwa mshindi safari anakinukisha.

Nashangaa hata Magufuli wanayesema ana roho mbaya anamuacha anaongea pumba, ningekuwa mimi saa hizi angekuwa jela kwa matamshi ya kichochezi.
Mbona unajifanya hamnazo, unajifanya huelewi lugha ya kiswahili na kupotosha anachokisema Lissu. Kama huelewi bora kuka kimya kuliko kupotosha.

Unachokifanya ndio uchochezi wenyewe unaojifanya kuupinga.

Lissu amesema akishindwa kwa haki hana neno na mtu lakini sio vinginevyo.

Sasa wewe kwa kuwa nia yako ni kuleta uchochezi umeamua kupotosha kwa kusema Lissu amesema akishindwa ataingiza watu barabarani.

Acha upotoshaji/uchochezi, madhara yake usidhani wewe yatakupitia mbali.

Jitahidi kuwa matured.
 
Lisu ni adui wa taifa sijui kwanini wanamuacha huyu kiumbe. Umoja na undugu wetu ni muhimu kuliko mpumbavu mmoja
 
Mbona unajifanya hamnazo, unajifanya huelewi lugha ya kiswahili na kupotosha anachokisema Lissu. Kama huelewi bora kuka kimya kuliko kupotosha.

Unachokifanya ndio uchochezi wenyewe unaojifanya kuupinga.

Lissu amesema akishindwa kwa haki hana neno na mtu lakini sio vinginevyo.

Sasa wewe kwa kuwa nia yako ni kuleta uchochezi umeamua kupotosha kwa kusema Lissu amesema akishindwa ataingiza watu barabarani.

Acha upotoshaji/uchochezi, madhara yake usidhani wewe yatakupitia mbali.

Jitahidi kuwa matured.
Atatofautisha vipi kushindwa kwa haki na kusiko kwa haki wakati hakiamini chombo chochote kinachohusika katika usimamizi wa uchaguzi?
 
Kwahiyo wewe Heriel unakubali kwamba Lissu ana mguvu ndogo bara ila ana nguvu kubwa Zanziba! Acha kuwatukanisha tume na kuwafanya watoto
 
Sasa wewe ukiulizwa huo Muungano unafaidika vipi nao utasemaje.
 
thinking is difficulty that is why most people judge
 
Lisu ni adui wa taifa sijui kwanini wanamuacha huyu kiumbe. Umoja na undugu wetu ni muhimu kuliko mpumbavu mmoja
Wewe zako ziko makalioni,TAIFA maana yake unajua?

Watu wa NEC walipoona kwamba amekidhi vigezo na kumruhusu agombee hawana akili,na wala si watanzania?
 
Mtu anasema asipotangazwa mshindi safari anakinukisha.

Nashangaa hata Magufuli wanayesema ana roho mbaya anamuacha anaongea pumba, ningekuwa mimi saa hizi angekuwa jela kwa matamshi ya kichochezi.
Unajua siri ya kimya chote cha Magufuli pamoja na jeuri yake?

Hivi unafikiri mkwara aliopiga Armstedam ni mdogo?
Mtu anasema asipotangazwa mshindi safari anakinukisha.

Nashangaa hata Magufuli wanayesema ana roho mbaya anamuacha anaongea pumba, ningekuwa mimi saa hizi angekuwa jela kwa matamshi ya kichochezi.
Hivi unadhani ni kwanini Magu ametulia kama ananyolewa?

Ni mkwara mzito wa yule mzungu Armstedam!

Kiburi chote cha Magu, kimetulizwa na huyo beberu!
 
Tunataka Zanzibar yetu tuimiliki kwa imaan yetu maana munazidi kujenga makanisa tu mutuachie unguja yetu tumechoka.
Kwa hiyo mkiimiliki znz yenu inamaana makanisa hayatajengwa? Kama ni hivo Bora ccm iendelee Tu. Udini hatuutaki, kila mtu aabudu kile akitakacho.
 
CCM itatoka tu safari hii kama noma na iwe noma zanzbar ni nchi huru tunataka zanzbar yetu
Kwa hiyo mkiimiliki znz yenu inamaana makanisa hayatajengwa? Kama ni hivo Bora ccm iendelee Tu. Udini hatuutaki, kila mtu aabudu kile akitakacho.
 
Sawa mkuu maana naimani wakitoka hawa watu tutapumua ata muungano utakuwa haupo tena maana dah hatupumui
Mwamba kwani CCM ndo inajenga makanisa? Ccm itoeni but makanisa yetu yaacheni kama yalivyo
 
Back
Top Bottom