Nilishindwa kumuoa sababu ya mahari waliyohitaji wazazi wake

Mwanangu kusema ukweli yule manzi sio bikra ndio maana inaniuma kishenz kutoa hizi miti mitatu(3M), alafu istoshe wakati namfukuzia alikua bado na utando mamen,

Kwenye Harakati za kupotezana kama miaka mitatu hivi alipata mchizi wa umri wake mimi kwake nimemzid age miaka 10 kwahyo kashabomolewa ukuta yeye alikiri hilo mwenyewe, swezi toa hiyo hela yote

Nikaona sio kesi kwasababu karidhia niende kwao, kufika wazazi wa kikinga wakadinda mkuu wanataka 3M, na protocol zote za sherehe🥶
 
Mkuu hiyo ilikuwa inaenda kuwa big lose nakwambia.

Hao wazazi walitaka hela ya kuongeza mtaji duka lao la nguo za kichina pale Congo tu hawana lolote.mill 3 halafu kopo?watu wamechafua shuka chini ya hiyo leo bila aibu wanakomaa kunadi makopo achana nao,bahati mbaya sana wapo wanaopigwa kwa style hii.
 
Hongera mkuu!move forward quick, you are the winner.
 
Ni kweli kimtindo Huyu demu kwao yuko njema mafao yapo si unajua tena wakinga.
Mkuu Saint Anno II kwao wako njema mboga saba mzee ila I feel like vitu vyenye cost sana kama kudumu ni mbinde
 
Nilimwambia akasema ndoto Kila mtu anazo nayeye haja kulia kwenye maisha ya kukosa Kila alichoomba wazazi walimpa Ila sio kwamba mm nina maisha ya shida kiivo hapana
Hapo kuna shida!!
 
Sijutii Huyu binti Nilianza kumfukuzia akiwa Chuo mwaka wa kwanza! Mimi nipo kwny mishe zangu kipind hcho akaniambia yeye bado mdogo nmuache focus kwny masomo kamaliza chuo nikaja kumfuata

Mahari ndo ikaja hivo
Alafu pia mahali Huwa hailipwi yote
 
Mpe kishika uchumba (Mimba) baadae watakuita wenyewe mwongee na ukiona wanakaza unampa nyingine, yaani watakuita wenyewe na kukuliza una shilingi ngapi?Hapo sasa ww ndiye unakuwa mpanga mahali.
 
Ongea naye kwa kina ,mahari haijawa tatizo la kuzuia mtu kuoa,Ongea vizuri na wazazi wa Binti watakuelewa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…