Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #41
Hii dunia ina watu wakatili sanaUnashangaa maiti hiyo, mie niliona mga maji akitolewa ziwani kwa kutumia kokoro akiwa hana ngozi pamoja na macho. Watu wakawa wanasema macho yake yameliwa na samaki, kumbuka kwenye kokoro kulikiwa na samaki wengi cha ajabu nilicho kiona mimi ni namna watu walivyo kimbilia samaki na kuuacha mwili.
Mbona kawaida tu hiyo vipi na wale wanaosafisha vidonda vya kisukari,kansa nk unawaambiaje wanatoka hapo wanakula nyama,wanakula ugali nk kitu ambacho ukiambiwa wewe tu uingie kwenye kile chumba chao na kushuhudia hutakula nyama mwaka mzimaWaungwana kwema ?
Kweli ukiyashangaa ya Musa, usije kusahau kuwa kuna ya Firauni(Farao).
Kuna rafiki yangu alifiwa na ndugu yake wa karibu huko Temeke hospital yapata miaka 2 sasa. Ile namsindikiza mortuary kukamilisha hatua za kukabidhiwa mwili wa marehemu tulishikwa na mshangao jinsi maiti zilivyojaaa siku ile mpaka zingine kuwekwa chini.
Ile siku ndugu yetu mmoja mtumishi wa Temeke hospital anasema ndio siku iliyoongoza kwa vifo vingi kwa kipindi chote cha miaka 4 ya utumishi wake. Hiyo haikuwa takwimu rasmi ila alihisi tu kwa jinsi alivyotazama miili ikielekezwa mortuary.
Sasa cha kushangaza tunamwona mhudumu mmoja wa kiume akivuta jokofu na kutoa embe dodo kubwa bila wasiwasi kutoka kwenye jokofu lenye maiti. Bila wasiwasi alimwambia mwenzake kuwa embe lake limepoa na liko tayari kwa kuliwa.
Jamaa salute kwako, mpaka leo najiuliza hivi yule mtu kweli au zimwi, maana sio kwa ukatili ule.
Ahahahaha. Unataka waniweke kwenye jokofu kiurahisiUngeweka na picha ingesaidia tukaamini.
Mmh hii ngumu kumeza nimefanya kazi mochwari.. Nimefanya vituko vingi lakini hilo hapana kwakuwa linahusisha afya na miili kwenye jokofu huwa imepigwa formalin hivyo ni ngumu kuweka chakula mule na kumbuka pia kuna harufu ya maiti na mauti ndani ya jokofu... Na hata kama mhudumu atafanya vituko sio mbele ya watu wa kawaidaWaungwana kwema ?
Kweli ukiyashangaa ya Musa, usije kusahau kuwa kuna ya Firauni(Farao).
Kuna rafiki yangu alifiwa na ndugu yake wa karibu huko Temeke hospital yapata miaka 2 sasa. Ile namsindikiza mortuary kukamilisha hatua za kukabidhiwa mwili wa marehemu tulishikwa na mshangao jinsi maiti zilivyojaaa siku ile mpaka zingine kuwekwa chini.
Ile siku ndugu yetu mmoja mtumishi wa Temeke hospital anasema ndio siku iliyoongoza kwa vifo vingi kwa kipindi chote cha miaka 4 ya utumishi wake. Hiyo haikuwa takwimu rasmi ila alihisi tu kwa jinsi alivyotazama miili ikielekezwa mortuary.
Sasa cha kushangaza tunamwona mhudumu mmoja wa kiume akivuta jokofu na kutoa embe dodo kubwa bila wasiwasi kutoka kwenye jokofu lenye maiti. Bila wasiwasi alimwambia mwenzake kuwa embe lake limepoa na liko tayari kwa kuliwa.
Jamaa salute kwako, mpaka leo najiuliza hivi yule mtu kweli au zimwi, maana sio kwa ukatili ule.
[emoji16][emoji16][emoji16] Duuh we jamaa nawewe umepitia mambo mengi ama ndio ulikua unafanyia mambo yako ya uganga? Ilikua bongo ama sauzi.Mmh hii ngumu kumeza nimefanya kazi mochwari.. Nimefanya vituko vingi lakini hilo hapana kwakuwa linahusisha afya na miili kwenye jokofu huwa imepigwa formalin hivyo ni ngumu kuweka chakula mule na kumbuka pia kuna harufu ya maiti na mauti ndani ya jokofu... Na hata kama mhudumu atafanya vituko sio mbele ya watu wa kawaida
dah kudadekiAcha kuingilia kazi za watu. Je, nikikwambia kuwa nilikwisha mfanyia operesheni mwanaume ambaye alikuwa anatumia tango kujipa raha kwa njia ya haja kubwa kwa bahati mbaya likatumbukia ndani. Baada ya kulitoa manesi walilimenya tukala hapo hapo theatre/chumba cha upasuaji. Of course lilisafishwa kwa maji kwanza kabla ya kumenywa. Lilikuwa kubwa kiasi kwamba sikula chakula cha jioni siku hiyo. Kazi ilikuwa kuamka kwenda msalani kukojoa.
Niamini mimi mtu mzima hatishi,ukikuta ajali boda boda kavunjwa mguu au mkono damu zinamwagika na ni mzima,kitakachokuumiza ni uchungu tu wa kufikiri mtu kupoteza kiungo,lakini si kuchafukwa nafsi.Mbona kawaida tu hiyo vipi na wale wanaosafisha vidonda vya kisukari,kansa nk unawaambiaje wanatoka hapo wanakula nyama,wanakula ugali nk kitu ambacho ukiambiwa wewe tu uingie kwenye kile chumba chao na kushuhudia hutakula nyama mwaka mzima
Huyo jamaa ni imortal[emoji1][emoji1][emoji1].[emoji16][emoji16][emoji16] Duuh we jamaa nawewe umepitia mambo mengi ama ndio ulikua unafanyia mambo yako ya uganga? Ilikua bongo ama sauzi.
But nigga,whyyyyyyyyyy!!!!!!Hiyo cha mtoto. Mimi nipo Hosp flan hapa Dar siku aliletwa maiti ya bibi kizee wa kihindi. Tukauliza nini chanzo cha kifo chake maana alikuwa ametoa macho kama ngumi. wakasema alikwamwa na Paja la kuku baadaye likashuka lakini ikawa late...
Wadau tulikuwa na njaa tukicheck mfukoni hatuna kitu...basi tulimkamua yule bibi kizee lile paja likatoka njia ya haja kubwa. Tukaosha tukagawana tukala.
Nje ya Africa [emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Duuh we jamaa nawewe umepitia mambo mengi ama ndio ulikua unafanyia mambo yako ya uganga? Ilikua bongo ama sauzi.
Nakumbuka kulikuwa na muhudumu wa mortuary Mawenzi Hospital, Moshi. Alikuwa albino. Aaa! Yule alikuwa kiboko aisee!! Huyo wako ni cha mtoto.Waungwana kwema ?
Kweli ukiyashangaa ya Musa, usije kusahau kuwa kuna ya Firauni(Farao).
Kuna rafiki yangu alifiwa na ndugu yake wa karibu huko Temeke hospital yapata miaka 2 sasa. Ile namsindikiza mortuary kukamilisha hatua za kukabidhiwa mwili wa marehemu tulishikwa na mshangao jinsi maiti zilivyojaaa siku ile mpaka zingine kuwekwa chini.
Ile siku ndugu yetu mmoja mtumishi wa Temeke hospital anasema ndio siku iliyoongoza kwa vifo vingi kwa kipindi chote cha miaka 4 ya utumishi wake. Hiyo haikuwa takwimu rasmi ila alihisi tu kwa jinsi alivyotazama miili ikielekezwa mortuary.
Sasa cha kushangaza tunamwona mhudumu mmoja wa kiume akivuta jokofu na kutoa embe dodo kubwa bila wasiwasi kutoka kwenye jokofu lenye maiti. Bila wasiwasi alimwambia mwenzake kuwa embe lake limepoa na liko tayari kwa kuliwa.
Jamaa salute kwako, mpaka leo najiuliza hivi yule mtu kweli au zimwi, maana sio kwa ukatili ule.
RefrigeratorSasa ukatili upo wapi hapo labda ungesema ujasiri. Jokofu kiingereza ni fridge na fridge hua tunaweka matunda, nyama, mboga, vinywaji etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukatili kutoa embe kwenye jokofu? Wewe ndio katili mkuu.Waungwana kwema ?
Kweli ukiyashangaa ya Musa, usije kusahau kuwa kuna ya Firauni(Farao).
Kuna rafiki yangu alifiwa na ndugu yake wa karibu huko Temeke hospital yapata miaka 2 sasa. Ile namsindikiza mortuary kukamilisha hatua za kukabidhiwa mwili wa marehemu tulishikwa na mshangao jinsi maiti zilivyojaaa siku ile mpaka zingine kuwekwa chini.
Ile siku ndugu yetu mmoja mtumishi wa Temeke hospital anasema ndio siku iliyoongoza kwa vifo vingi kwa kipindi chote cha miaka 4 ya utumishi wake. Hiyo haikuwa takwimu rasmi ila alihisi tu kwa jinsi alivyotazama miili ikielekezwa mortuary.
Sasa cha kushangaza tunamwona mhudumu mmoja wa kiume akivuta jokofu na kutoa embe dodo kubwa bila wasiwasi kutoka kwenye jokofu lenye maiti. Bila wasiwasi alimwambia mwenzake kuwa embe lake limepoa na liko tayari kwa kuliwa.
Jamaa salute kwako, mpaka leo najiuliza hivi yule mtu kweli au zimwi, maana sio kwa ukatili ule.