Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Nilitahadharisha hapa kuwa 'Kesi' imemkalia vibaya 'Mwamba' na hachomoki kirahisi nikaishia Kushambuliwa

Mwamba wao aanze sasa taratibu kufanya Mazoezi ya kuyaanza Maisha mapya ya Kukaa Jela ambayo yanamjia kwani kwa Kilichotokea 'Mvua' ya kati ya mwaka Mmoja mpaka Mitatu haiepukiki Kwake. Ni suala la muda tu.
Dunia hii,,,,mbaya sana
 
Nilitukanwa sana hapa na Wafuasi wake wakati GENTAMYCINE nilikuwa na nia njema nae tu ili asaidiwe Kiushauri na Kimawazo na Wadau mpaka Wataalam wa Kisheria.

Sasa kuanzia leo tutaheshimiana vizuri.

Genta hamna ushauri wowote ambao ungetoa wenye kusaidia maana hiyo kesi haijali sheria, bali ni kesi ya hila na siasa chafu. Na kutaka kujua kwamba hilo jambo liko nje ya mipaka ya kisheria, majaji wanajitoa maana wanalazimishwa kutoa hukumu isiyoendana na ushahidi unaotolewa. Tuna uwezo wa kujua hizo kesi za kihuni maana ni marudio tu hakuna jipya hapo.

Ushauri wa bure, baki na ushauri wako maana hauna msaada wowote, kwani huko mahakamani kinachoendelea ni mabishano ya kisheria kwenye jambo la kutunga.
 
Mkuu tena nakumbuka niliwaambia kuwa kama Sabaya atafungwa basi na Mwamba wao atafungwa na akiachiwa Huru nae Mwamba ataachiwa na kuwapa sababu ya 'Kimkakati' juu ya hili wakaacha Kunielewa na Kunitusi na Kunishambulia tu hapa.

Haya leo kiko wapi? Nikionya kinakuja.
Naona mnalazimisha kuchanganya maamuzi ya kesi ya Mbowe na Sabaya, mkiamini kabisa hatujui tofauti yake. Kesi ya Sabaya ni mashitaka ya dhahiri tena na mashahidi wa unyama ule wasiotiliwa shaka.

Kesi ya Mbowe ni ya kubambikizia mmoja wapo wa waliotengeneza hiyo kesi ni Sabaya, ambaye leo hii ni mfungwa kwa ushahidi usioacha shaka, chini ya jeshi la polisi linalotumika na serikali kutekeleza unyama.

Ndio maana unaona kila jaji sasa anaikimbia kesi hiyo ya Mbowe, maana serikali inalazimisha hukumu isiyoendana na ushahidi. Imeisha hiyo.
 
Nongwa ya kuondokewa na mwendazake lazima ihamie kwa chama pendwa cha kizazi hiki!!Wanahitimisha zama za chama kuwika kiende na mwenye nacho!!!RIP mwamba!!tutakukumbuka daima!!
 
Kesi mkakati kivipi? alitumwa kufanya huo upuuzi wake? mlikuwa mnaomba kesi iishie hatua za awali ili kuficha uovu wa Mwamba sasa tukae mkao wa kula kusikiliza ushahidi dhidi ya makosa aloyatenda Mbowe na sio kila siku kupiga mayowe humu aachiwe wakati hamjasikiliza upande wa pili...haki itendeke, hakuna alokuwa juu ya sheria.
 
Haki haijawahi kushindwa dhidi ya uovu ni suala la muda tu. Hapa tatizo ni katiba mpya kitu ambacho watawala hawataki kusikia Wana wa Israel walitembea kwa miaka arobaini kufika kwenye nchi ya ahadi licha ya changamoto na vikwazo walivyopitia ndivyo vivyohivyo kwa watanzania
 
sio kesi imekalia vibaya, sema RAIS SAMIA AMEMKALIA VIBAYA>>>NA ALIONGEA MAJIBU YA KESI MAPEMA BBC AKISEMA WENZAKE WALISHA HUKUMIWA>>>>NDIYO JAJI ANAENDELEA NA KESI AKAMPA CHEO CHA UJAJI KIONGOZI>>>>HUU UJINGA KILA MWENYE AKILI ALIUTAMBUA>>>>BOGUS KABISA>>>>KUJIDAI WACHA MUNGU>>>>OVYO PLUS>>>>HAKUNA MTU HAPO
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.

Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
Duuuuh!!!hii mpya aisee
 
JAMII FORUMS WHERE WE DARE TO TALK OPENLY............hivi ni great thinkers au great fingers? AU none of the above.😳😳😳😳😳😳
 
Huyo Sabaya angepelekwa mahakamani au asipelekwe, matendo yake tuliyaona, na ushahidi wa unyama wake uko. Na sio yeye tu, viongozi wengi walifanya unyama chini ya utawala wa Magufuli na ushahidi upo. Kwa hiyo usidhani hukumu ya Sabaya ilitufanya tuone mahakama ziko huru, zaidi ya kushangaa mahakama imewazaje kumfunga kiongozi aliyekuwa anatekeleza amri za kiongozi muovu.

Halafu ni mtu mjinga tu mnaweza kumpoteza maboya kwa kutolea mfano hukumu ya Sabaya, na haya maamuzi ya leo ya mahakama dhidi ya kesi ya Mbowe. Na hata mahakama yenyewe inajiaabisha kwa kutoa maamuzi kwa lengo la kutaka kubalance mitazamo ya kisiasa. Ukweli tunaujua, na wala hatutegemei kuupata ukweli huo mahakamani, maana mahakama ni sehemu ya taasisi za umma zilizoharibiwa na mfumo mbovu wa utawala uliopo. Madai yetu ya katiba mpya yanazidi kupata nguvu kwa mambo ya aina hii.
Kipindi sabaya anafungwa,mahakama ilikuwa huru? Tusijisahau makamanda.
 
Kesi ya kupangwa na hukumu ya kupangwa inafuzu vipi hata kuwekewa angalizo kiasi cha kupangiwa haya?

1. Hachomoki kirahisi
2. Imemwelemea mwamba

Hiiiiii bagosha!

Si wamalize tu walichopanga badala kufanya maigizo mahakamani?

👇

IMG_20211020_174456_902.jpg
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.

Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
Ulikuwepo wakati anamtukana?
 
Naona mnalazimisha kuchanganya maamuzi ya kesi ya Mbowe na Sabaya, mkiamini kabisa hatujui tofauti yake. Kesi ya Sabaya ni mashitaka ya dhahiri tena na mashahidi wa unyama ule wasiotiliwa shaka. Kesi ya Mbowe ni ya kubambikizia mmoja wapo wa waliotengeneza hiyo kesi ni Sabaya, ambaye leo hii ni mfungwa kwa ushahidi usioacha shaka, chini ya jeshi la polisi linalotumika na serikali kutekeleza unyama. Ndio maana unaona kila jaji sasa anaikimbia kesi hiyo ya Mbowe, maana serikali inalazimisha hukumu isiyoendana na ushahidi. Imeisha hiyo.
Majaji wangapi wameikimbia unaposema kila jaji? Jaji wa kwanza mlimkataa, mkaletewa huyu wa Sasa, huyu wa Sasa kapanda Cheo hivyo majukumu yameongezeka, naye nafsi yake imemsuta ameona Kwa majukumu aliyonayo Sasa atachelewesha kesi, Bora aachane nayo! Au mlikuwa mnataka jaji aendelee na kesi na awe anapiga kalenda kila siku kesi iende miaka 2? Haya si ndiyo tumekuwa tunayapinga kila siku, full exaggeration
 
Hakuna kesi pale, itaisha ni swala la muda tuu na Mbowe atatoka bila matatizo, na atakuwa maarufu kuliko sasa, acha wajionyeshe walivyo watupu, yule wa Zambia kishafungwa mara kibao na katoka kawa Raisi, Raila kafungwa mara kibao lakini ndio aliongoza Kenya kufanikiwa kuwa na katiba mpya, wataalam wameshajua siku za CCM zinahesabika ndio maana unaona vikesi kesi uchwara, mara kuzima internet nchi nzima, kujipendekeza na vipesa vya madawati etc vinaongezeka kila siku, CCM mjiandae kuwa chama cha upinzani lakini msiwe na wasiwasi mtakuwa katika mazingira mazuri ya haki na usalama
 
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kuamini kuwa Tanzania kuna mahakama au mifumo ya kutenda haki.

Sabaya anaburuzwa kwa maelekezo kutoka juu kisa alimtukana Chief Hangaya tusi la nguoni enzi za mwendakuzimu alipokuwa hai.Tusi hilo huwezi hata kuliandika hapa,lilikuwa ni tusi la nguoni kwelikweli.
Nadhani hii thread haihusiani na name calling.
 
Back
Top Bottom