Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Yesu ni nani mpka akiriwe ? Ni Mungu Muumba mbingu na ardhi au ?UNABISHANA NA MTU MWENYE ROHO NGUMU ANA UWEZO WA KUBEBA BOMU AKAJIRIPUA
WATU KAMA HAWA NI WA KUKUTANA NA YESU USO KWA USO HUYU NI MFANO MZURI WA SAUL
NA KABLA YA KUMALIZA MWENDO DUNIANI WEWE LAZIMA UMKIRI YESU KWA KINYWA CHAKO YA KWAMBA ALIKUFA MSALABANI KWAAJILI YA KIBURI CHAKO NA KWA KUPIGWA KWAKE DUNIA NZIMA IMEPONA
AMEN
Ni mkristoIkiwa unapingana na hoja ya kwamba usafi wa mwanamke haingiliani na dini, naomba kujua dini ya mama yako mzazi ili nikuulize kitu.
Hiyo ni typing error ila nilikuwa namaanisha mbona kuna wakristo wanaoa mabinti wa kislamu?Sijaelewa ulichokiandika.
InaumaNa kuapa una apa tena bibie ?
Kama mtoto mjinga mjinga unamfanyaje ? Kwani alilazimishwa kufanya hayo aliyo yafanya ? Wazazi wako sahihi na Mola awalipe kheri kwa msimamo wao.
Watoto wa kike wana upendo wa kijinga wa Tamthiliya, hapo huenda wazazi walimpa sana nasaha lakini kwa kupenda kwa watoto wa kike akakaidi na huenda aliwajibu mbovu sana wazazi wake.
Wengi wanahisi hakuna maisha baada ya kupenda na kuzaa, bali kuna maisha baada ya kifo na mengineyo unaandaa nini huko unakoenda.
Allah awaepushe mtihani huu mabinti zangu na awahifadhi pia.
Nyote mmelostika kufuata dini za watu zisizo na mashiko kwetu Waafrika. Waafrika tulikuwa hatubaguani kabla ya kuja upuuzi wa hizi dini za watu wa mashariki ya kati, tumekuwa wajinga kupindukia na hatutaki kusoma historia kujuwa ukweli wa hizi dini. Tunasikitisha mno kwa ujinga tulionao.Yeyeakiwa ni Muislam na mie Mkristo;
Alikuwa pisi haswa, mtoto mkaree kila angle na anayajua mapenzi haswa, nikasema tabu za nini hasa ukizingatia binti mwenyewe ananitii kila nnalomwambia, sikuwa na upinzani wowote kwake, najipigia mwenyewe tu ki uhakika.
Sasa nilivyotangaza tu kumuoa na kuwaambia ndugu na jamaa kwamba kuna sehemu nimenasa na sasa nabeba jiko jumla hapo sasa ndio vita vikazuka, mwanzo nikaona ni mambo ya kawaida "jamaa wanaingilia maisha ya watu tena, hawa hawanijui hawa?" Lakini nikashangaa wazazi wote pande mbili wanapinga, wajomba wameshika mabango kwamba watu wa dini ile nyingine hakuna kabisa hawafai, nikasema eeh maji mazito kuliko damu ya mtume?
Binti alikuwa so so down, hana mzuka kabisa, mie nafosi bibie tulia wala usiwe na hofu dini tumeletewa na mabeberu tu, lakini ikamshinda nguvu maskini binti wa watu analia, maza ake nae kaja juu anasema kijana mkristo hakanyagi hapa kwangu, huba likakosa connection kabisa kimzaa mzaa tu, tukawa tunakulana tu na binti akawa anasema haoni future sa itakuaje? Nikamwambia basi tuzae tu wataelewa, akasisitiza mtume alishapinga kuzaa nje ya ndoa, basi ikaishia hivyo tu na sasa binti yupo na shekhe wake msoma visomo.
Hivi huwa kuna bifu la chini chini kati ya hizi dini mbili? Na raia huWa hawasemi au ni nini? Why wakule ni wakule na wa huku ni wa huku, hakuna kuingiliana?
allah is dead already. I always tell them.allah is dead.Son of Mutah, nilisha kwambia Mungu Jehovah ni spirit na mungu Allah ni physical being usichanganye unapo uliza swali
Mungu hafi , human flesh inakufa
Kwa logic ya mungu Allah ukileta kwa Yesu haiwezekani maana yeye Allah ni object inayoonekana ina mguu mmoja , jicho ,mikono miwili upande mmoja na penis
Dini ya kuletewa unamtenga mwanao wa kumzaa huo ndio uchizi dini mnasema upendo na amani lakini matendo ni ya chuki na kibaguzi. Halafu Waafrika kutooana kisa dini ni ufala mtupuNa kuapa una apa tena bibie ?
Kama mtoto mjinga mjinga unamfanyaje ? Kwani alilazimishwa kufanya hayo aliyo yafanya ? Wazazi wako sahihi na Mola awalipe kheri kwa msimamo wao.
Watoto wa kike wana upendo wa kijinga wa Tamthiliya, hapo huenda wazazi walimpa sana nasaha lakini kwa kupenda kwa watoto wa kike akakaidi na huenda aliwajibu mbovu sana wazazi wake.
Wengi wanahisi hakuna maisha baada ya kupenda na kuzaa, bali kuna maisha baada ya kifo na mengineyo unaandaa nini huko unakoenda.
Allah awaepushe mtihani huu mabinti zangu na awahifadhi pia.
Shida akili huna.Dini ya kuletewa unamtenga mwanao wa kumzaa huo ndio uchizi dini mnasema upendo na amani lakini matendo ni ya chuki na kibaguzi. Halafu Waafrika kutooana kisa dini ni ufala mtupu
Hilo ni kosa.Hiyo ni typing error ila nilikuwa namaanisha mbona kuna wakristo wanaoa mabinti wa kislamu?
Hili hamna uwezo nalo nyote mpaka wakubwa zenu.Tillikua na jukwaani la dini nondo zilishushwa kibao kule wamelifuta
Hata hapa tukiamza shusha nondo uzi utafungwa na wengine kula ban
So kama unataka nenda katafute uone mwenyewe ya kwamba hao watu wawili tofauti
Akili unazo,nguvu unazo na uwezo unao usituchoshe
Naona huna hoja. Ukiwa na hoja nijulishe.Mutah boy una majini tena yenye nguvu sana , najua jina Yesu huwa mna lisema humu tu ila mnajua wazi Koran hakuna jina Yesu
Koran ni kakitabu hakana faida yoyote , ka kitabu ambacho ukileta kwenye biblia kanaishia pale panaposema yaliyomo, mashahiri yasiyo eleweka na kikubwa ni kitabu majini yameandikwa surah nzima ,
Nilipo Cheka unakuta Allah anaongea Aya tatu kashamaliza surah πππππ
Sasa Yesu si mnasema ni Mungu ? Mbona alikuwa ana miguu, mikono, kichwa vile navyo ni roho ? Wakristo mazwazwa sana.Son of Mutah, nilisha kwambia Mungu Jehovah ni spirit na mungu Allah ni physical being usichanganye unapo uliza swali
Mungu hafi , human flesh inakufa
Kwa logic ya mungu Allah ukileta kwa Yesu haiwezekani maana yeye Allah ni object inayoonekana ina mguu mmoja , jicho ,mikono miwili upande mmoja na penis
Nitajie wanne tu Wakristo walioandika Qur'aan. Yaani kuna muda unaandika mambo ambayo hata tukikuomba ushahidi unajua huna.Mutah boy Ni wengi walimsaidia kuandika, ila wakristo ndio asilimia kubwa wameandika Koran na kumuingiza chaka Muhammad
Mtu anazaliwa hajui chochote zaid ya kunyonya huyo Mola kafanyaje kwenye maisha ya mtu. Waafrika tuamke dini ni utapeli wa wakoloniShida akili huna.
Mola wetu hapendi watu wajinga wenye kuendekeza hisia na upendo wa kijinga. Dini kwa ajili ya watu wote ndiyo maana ikawa sharti ili ufaulu na kufikia kilele cha kuumbwa kweko lakini upite njia hii na ndiyo DINI hiyo.
Yohana 14:6Sasa Yesu si mnasema ni Mungu ? Mbona alikuwa ana miguu, mikono, kichwa vile navyo ni roho ? Wakristo mazwazwa sana.
Yesu mnasema ni Mungu mbona alikufa na mnasema akafufuka ? Nani alimfufua mungu wenu aliye kufa ?
Halafu kwanini maandiko yenu yote yenye utata ndiyo mnaingiza maana za kuwa yanasema Yesu ni mungu ila maandiko yaliyo nyooka yanayo thibitisha kuwa siyo mungu mnayapuuza ? Akili zenu haziko sawa.
Sasa si ndiyo uweke ushahidi kijana unashindwa wapi ? Shida yenu hamsomi yaani mmekaa kimbeya mbeya sana mkisikia jambo mnalichukua hamlifanyii utafiti.Mutah boy , hafs kawapa Koran unayosoma na hafs ni miaka zaidi ya 200 baada ya Muhammad kufa kwa sumu
Hoja yako iko wapi hapo ? Ndiyo umethibitisha Yesu ni mungu au ni njia ?Yohana 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Nilirudi kundini baadaeπ¬Ulizama moja kwa moja au ulirudi kundini baadae?
SawaUkianzisha uzi wake nitag