Nilitaka kupigwa Kalynda ila nikastukia

Yote ilibuma? 😄😄😄 Ukiweka ela nyng kwenye mkeka hiyo ndio siku unapigwa
 
Kuna jamaa alisema serikali ya Tanzania ukilipa kodi unaweza hata ikawa unaua raia wake wala serikali haijali wao wanaangalia kwenye mfumo kodi inaingia tu wanakenua
 
Kuna jamaa alisema serikali ya Tanzania ukilipa kodi unaweza hata ikawa unaua raia wake wala serikali haijali wao wanaangalia kwenye mfumo kodi inaingia tu wanakenua
Kweli mkuu
 
Yaani hapa mimi naona kama hekima yako imeyumba tu kidogo. Ingependeza zaidi kama ungeamua kukakaa kimya tu kuliko kuja na taarifa kama hizi kwa jambo la aibu kama hili. Kuna uwezekano wapo wengi tu walionusurika kama wewe na wameamua kukaa kimya kwa sababu ni aibu kubwa mno kwa mtu mwenye akili timamu hata kule kuonekana tu kuwa alikuwa anafikiria kucheza ujinga huu!
 
Huu ni ushuhuda kama wanavyotoa makanisani,kwaiyo nadhani umepigwaaa mkuu pole
 
Et mlitoka nje ya Tanzania uko ulaya na china haya mambo yapo????
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole sana
Nilishapoa kabisa,ila hizi biashara za namna hii ukiwahi mwanzo mwanzo unarudisha hela yako na faida,sababu mm niliwekaga kama milion 4 ikarudi milioni 2.7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…