Nilitembelea Uwanja wa Fisi, Buguruni, Rambo, Kimboka na kwingineko siku za hivi karibuni nimelia machozi

Nilitembelea Uwanja wa Fisi, Buguruni, Rambo, Kimboka na kwingineko siku za hivi karibuni nimelia machozi

Sasa umelia alafu hatua gani ikafuata?

Nilidhani baada ya hapo ukaanzisha harakati za kuwasaidia kwa kuwapatia namna mbadala ya kupata kipato wakatokana na hiyo adha.
 
Mtu mzima akilia hakika ujue kuna jambo. Majuzi nililia njia nzima mpaka kufikia kushindwa ku drive vizuri. Roho inaniuma mpaka muda huu ninaoandika hapa.

Dada zetu wamechoka, dada zetu wana hali mbaya. Ni mabinti wa miaka 15 mpaka 25 wengi wao, ila sura zinakataa, sura zimechoka, sura za kizee[emoji24][emoji24][emoji24]

Nilifikiria mengi. Wamekata tamaa ya maisha na je, miongoni mwao angekuwepo dada au ndugu yangu yeyote?

Nilikuwa naingia vyumbani(kwa Wahaya) as if nataka huduma, nauliza bei then namlipa mara mbili yake na kutoka nje. Nilifanya hivi kwa wale malaya walioonekana kuwa na umri mkubwa mno[emoji24] naumia sana.

Na hata kwa vibinti nilifanya vivyo hivyo, Kimboka nilitoa machozi, Lubumbashi, River Side, Kitambaa cheupe n.k japo kwa siku tofauti tofauti.

Naumia sana[emoji24][emoji24][emoji24] daaaah, kumbe kuna watu wanateseka hivi? Roho inaniuma mno.

Naomba nisiendelee tafadhali[emoji24].
Ungewahubiria neno la Mungu, ili wajue Mungu anawapenda sana na hapendi wateseke kuliko kutoa sadaka kwenye vyumba vyao na kuondoka huku unalia.
 
Anzisha asasi ya kiraia ya kuwasaidia wanawake waliokumbwa na kadhia hiyo mkuu. Naimani ukiandaa proposal nzuri na kupeleka kwenye organizations zinazohusiana na women empowerment unaweza ukapata donors wakueleweka na kutimiza ndoto zako za kuwasaidia.
[emoji16]
 
Anzisha NGO tuangalie jinsi ya kuwasaidia. JF ina watu wengi wenye huruma. Tunaweza kuchanga kidogo tukawawezesha Walio teyari kutoka huko. Kulia akusaidii sana.
 
Kuna kitu kinanishangaza Sana. Utakuta MTU ana mke nyumbani lkn akiwa bar kwenye chobingo utamkuta anamnawa mwanamke wa bar au Malaya,,halafu huyo mwanamke akitoka kidogo tu utamuona mwamba ananusa huo mkono huku akiinjoi. Swali. Kwanini asimnawe mke wake?
Pili. MTU analala na mke wake wakiwa uchi, Sasa mkute MTU huyo huyo akiwa Tabata kwenye hii bar ambayo Kuna wanawake wamevaa sidiri@ na chupi tu uone wanaume tunavyo furahi. Kipi kinatuzuia kwenda kumuangalia mama watoto ambae uko free naye?
Hii tabia ya kupenda kushikwa nyeti zetu na wanawake wa bar , kwanini tusishikwe nyumbani na wake zetu?
Mwisho, kwanini bar zenye wahudumu wa kiume ambao Ni watoto sio rizki zinajaza Sana watu wenye uwezo kifedha?
Ndio maana tunarogwa kirahisi.
 
Ila huwezi ukaweka makaa ya moto kwenye kifua na nguo zako zisiungue!! Hayo ni maneno ya hekima ya mfalme Sulemani. Sasa wewe unatuambia umeweka makaa ya moto kwenye kifua na nguo zako hazikuungua!!! Sema tu ukweli HUDUMA ULIPATA!! japo hukuwa unafuata huduma ila kanuni ya kuweka makaa ya moto kwenye kifua yakakupelekea kupata huduma (nguo kuungua). Uasherati unaushinda kwa kuukimbia na siyo kuufuatilia na kuutazama, tusidanganyane!!

Kuna muda Ili tue WATU BORA hatuna budi ku tembelea kwenye watu wenye uhitaji....hii ita tushepu sana kwenye eneo la Imani yako ya dini...
 
Sasa hao ni wanawake.

Umepita maeneo ambayo wanaume wenzetu wananadi trako?

Hali si muhali
 
Unashindwa kuwaonea huruma wakina mama wanaotembeza maji juani huku wamebeba watoto mgongoni unawaonea huruma hao malaya wanaoshirikiana na boda boda kufanya utapeli na wizi
 
Unashindwa kuwaonea huruma wakina mama wanaotembeza maji juani huku wamebeba watoto mgongoni unawaonea huruma hao malaya wanaoshirikiana na boda boda kufanya utapeli na wizi
OMG ni ya kweli haya? Kumbe ni wezi/matapeli? How?
 
Anzisha NGO tuangalie jinsi ya kuwasaidia. JF ina watu wengi wenye huruma. Tunaweza kuchanga kidogo tukawawezesha Walio teyari kutoka huko. Kulia akusaidii sana.
Naweza kuanzisha NGO ila si kwa ajili ya makahaba
 
ungelijua hata hao wa maofisini, tena wengine wanaendesha na magari kabisa jinsi wanavyosulubishwa, wanavyowapanga wanaume kadhaa kwa zamu, ungelia zaidi. dunia imeisha. hao uliowaona ni wale ambao hawana uwezo kujificha, wanaofanya sirini makubwa zaidi ya hayo ni wengi zaidi. siku hizi hata kulala guest ni shida, makelele ya mapenzi usiku na mchana.
 
Kwa wahaya huwezi toka room moja na kuingia nyingine wanakuangalia tu
 
Kwanini hukwenda hosptali?
Kutoa sadaka yako?

Unawapa ao wasukuma , wasiojitambua wanafanya Uzinzi ambao Ni dhambi kubwa
 
Back
Top Bottom