Niliumizwa sana nashindwa kusahau

Niliumizwa sana nashindwa kusahau

Asante nafanya kazi nashukuru na maisha yanaenda
Hehe welcome to the team... MI nimekuwa kilema kabisa siwez kuwa na mahusiano Zaid ya kuchat kwa [emoji336].... Na siwez sogelea mwanaume.....nishaweka akili yangu... hivyo nimetoa kipengele cha mwanaume sababu naogopa the maumivu.. life goes on happy And busy no stress...
 
Ndugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.

Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
Ni pm tafadhal
 
kitu LOVE weka pemben jione we ndo baba ndo mama huyohuyo kama pesa zinakusumbua fungua miladi km y ujenzi wa nyumba z kupanga il iwe ya huyo mtoto akimalza chuo maana ajira zenyew adimu,,,,,, penda kujiweka BUSY!!!!!!! ukihsi unataka kuongeza mtoto RUKSA ila bamtoto asepe ulee usimuwazie,,,, lyf is go on.

ubinafsi huo....azae alafu baba mtoto asepe tena
 
Basi naomba turudiane tu maana naona unazidi kuumia tu jamani.
 
Miaka 12 mpaka leo hutaki kupiga moyo konde.. pole sana..
 
Ndugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.

Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
Pole sana dada
 
Sababu ni nyingi alafu nilikuwa na 20yrs baada ya yy kutuacha nilirudi chuo nikapata ya kawaida lkn inanosaidia mm na mtoto yy hata muda na mtoto hana aliyonikosea ni mengi lkn kubwa lilikuwa kutembea na wanawake tena bila kujificha na kuwadharau wazazi wangu na wake pia alipokuwa anaitwa kuulizwa kinginr hakuwa mkweli kazini alikuwa ashachukua michango ya ndoa na kutumia na kuwa anavaa pete ya ndoa job nyumbani anaificha kumbe tulikuwa bado hatujafunga ndoa wakati wa màndalizi ya ndoa rafiki yake akaja kuniambia huku akilalmika ametembea na mke wake pia,ni mengi siwez maliza
Hayo ni mapito tu kma yeye alikutenda sio kila mwanaume ni mbaya....unajiumiza roho kuishi mwenyewe istoshe hata wazazi wetu wamepitia magumu kuliko hayo ila ndoa zao zimedumu.....anza upya utapata akupendae huyo hakua wako
 
Pole sana kwa yaliyokupa miaka 12 iliyopita..kwanza nikusifu tu kwakujitahidi kumlea mwanao vizuri na unaendelea kumsomesha.. Ukweli ni kwamba sio wanaume wote wako hivyo.. Na kwa umri ulionao sikushauri ukae bila mwanaume...naamini kuna mwanaume Mungu aliyekuandalia mzuri na atakaekupenda.. Mwombe Mungu na ujaribu kusahau yaliyopita...ukibaki mwenyewe utajikuta unazini tu na kumkosea Mungu wako.
Mwombe Mungu na achia mawazo yako yawe na dira mpya ktk mapenzi..Naamini utapata atakaye kudeserve..
Good luck na Mungu akupe moyo mpya.
 
Ndugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.

Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
single mothers wamekua wakisema wamesuswa na walio wazalisha,inaweza ikawa sawa ila chanzo hamki weki wazi.inatokea mwanaume anakuja kumjulia hali mwanae na matumizi ila mama(single mother)ananza drama na kukumbushia ya kale bila kujali haki ya mtoto wake anaeitaji malezi ya pande mbili.

sijamaanisha alieomba ushauri anahusika na baba kumtelekeza mtoto ila namaana muwe pia mnasema unahisi nini itakua sababu ya baba kumtelekeza mwana.

mwanaume aliepitia hali hii anajua nataka kusema nini.
unakuta mwanaume kajiludi kwa mzazi mwenzake walee mtoto ila mwanamke anavo anza drama oooh uliniacha nimesha zoea ntamlea peke angu mwanangu,namaneno mengi ya shombo na kudhalilisha.unakuta mwanamke anamwekea ugumu baba kumsaidia mwana ila kwa watu huyo mama atatangaza ametelekezwa Na analea pekeee....ili iweje?

mwanamke unaumri 35 na umepata mtoto mkubwa yupo sekondari,bado unatafuta mpenzi kweeeli! mbona unamtia aibu mwanao ni aibu kumtambulisha mwanao baba mpya kila mwaka.

kwanini usifanye kazi nikipi ujakifanya adi umothers.

samahani kwanilicho kiandika kinaweza kisieleweke hasa kwa mtu ambae hakuwa kuona lawama za uongo za hawa single mothers

mpaka Leo nimekutana na single mothers wengi kwahiyo na kiamini nacho kiandika .kwangu Mimi kati ya single mothers kumi wanaodai wametelekezwa, mmoja kati yao yeye ndio sababu(hasa single mothers wenye vipato)
kwanini wanafanya ivi?subili yakufike.


#tuwe wakweli tunapo changia hoja kama hizi tuangalie sana katika jamii zetu ukweli upo,tusiwe tunangalia keyboard ilete maneno

mwisho nawaonea huruma sana single mothers waliotelekezwa Mungu awape riziki muwalee watoto.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
single mothers wamekua wakisema wamesuswa na walio wazalisha,inaweza ikawa sawa ila chanzo hamki weki wazi.inatokea mwanaume anakuja kumjulia hali mwanae na matumizi ila mama(single mother)ananza drama na kukumbushia ya kale bila kujali haki ya mtoto wake anaeitaji malezi ya pande mbili.

sijamaanisha alieomba ushauri anahusika na baba kumtelekeza mtoto ila namaana muwe pia mnasema unahisi nini itakua sababu ya baba kumtelekeza mwana.

mwanaume aliepitia hali hii anajua nataka kusema nini.
unakuta mwanaume kajiludi kwa mzazi mwenzake walee mtoto ila mwanamke anavo anza drama oooh uliniacha nimesha zoea ntamlea peke angu mwanangu,namaneno mengi ya shombo na kudhalilisha.unakuta mwanamke anamwekea ugumu baba kumsaidia mwana ila kwa watu huyo mama atatangaza ametelekezwa Na analea pekeee....ili iweje?

mwanamke unaumri 35 na umepata mtoto mkubwa yupo sekondari,bado unatafuta mpenzi kweeeli! mbona unamtia aibu mwanao ni aibu kumtambulisha mwanao baba mpya kila mwaka.

kwanini usifanye kazi nikipi ujakifanya adi umothers.

samahani kwanilicho kiandika kinaweza kisieleweke hasa kwa mtu ambae hakuwa kuona lawama za uongo za hawa single mothers

mpaka Leo nimekutana na single mothers wengi kwahiyo na kiamini nacho kiandika .kwangu Mimi kati ya single mothers kumi wanaodai wametelekezwa, mmoja kati yao yeye ndio sababu(hasa single mothers wenye vipato)
kwanini wanafanya ivi?subili yakufike.


#tuwe wakweli tunapo changia hoja kama hizi tuangalie sana katika jamii zetu ukweli upo,tusiwe tunangalia keyboard ilete maneno

mwisho nawaonea huruma sana single mothers waliotelekezwa Mungu awape riziki muwalee watoto.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kweli ww mfitinishaji ila mawazo yako yameheshimika ila sijawahi mtambulisha mwanangu baba yeyote na hapa sijaja kwa ajili ya kutelekezwa wala kutafuta bwana kama una matatizo yako weka wazi watu wakushauri usimalizie hasira kwangu mkuu,soma vizuri ninaomba msaada niweze kusahau siyo kutafuta bwana mpya [emoji23]
 
Kwanza nakupa pole sana.

Pili nasikitika kama mmeachana miaka 12 iliyopita ila mpaka sasa huna mwenza kwani umri sahihi wa kubeba mimba kwa mujibu wa wataalamu wa afya ya uzazi kwako umefika mwisho.
 
Jamani nahitaji jinsi ya kuendelea na maisha na kusahau maumivu siyo kumsahau bwana nlishamchukia na sina mapenzi nae na naomba tuelewane wapendwa sitafuti mwenza mwingine wala mtoto kikubwa ni kwamba nahitaji KUSAHAU NA MAISHA YAKASONGA MAKE SIFICHI SIAMINI WANAUME YEYOTE CHINI YA JUA
 
Kweli ww mfitinishaji ila mawazo yako yameheshimika ila sijawahi mtambulisha mwanangu baba yeyote na hapa sijaja kwa ajili ya kutelekezwa wala kutafuta bwana kama una matatizo yako weka wazi watu wakushauri usimalizie hasira kwangu mkuu,soma vizuri ninaomba msaada niweze kusahau siyo kutafuta bwana mpya [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] oh watu wengine huwa Waajabu Sana ameandika maneno teeeele
 
single mothers wamekua wakisema wamesuswa na walio wazalisha,inaweza ikawa sawa ila chanzo hamki weki wazi.inatokea mwanaume anakuja kumjulia hali mwanae na matumizi ila mama(single mother)ananza drama na kukumbushia ya kale bila kujali haki ya mtoto wake anaeitaji malezi ya pande mbili.

sijamaanisha alieomba ushauri anahusika na baba kumtelekeza mtoto ila namaana muwe pia mnasema unahisi nini itakua sababu ya baba kumtelekeza mwana.

mwanaume aliepitia hali hii anajua nataka kusema nini.
unakuta mwanaume kajiludi kwa mzazi mwenzake walee mtoto ila mwanamke anavo anza drama oooh uliniacha nimesha zoea ntamlea peke angu mwanangu,namaneno mengi ya shombo na kudhalilisha.unakuta mwanamke anamwekea ugumu baba kumsaidia mwana ila kwa watu huyo mama atatangaza ametelekezwa Na analea pekeee....ili iweje?

mwanamke unaumri 35 na umepata mtoto mkubwa yupo sekondari,bado unatafuta mpenzi kweeeli! mbona unamtia aibu mwanao ni aibu kumtambulisha mwanao baba mpya kila mwaka.

kwanini usifanye kazi nikipi ujakifanya adi umothers.

samahani kwanilicho kiandika kinaweza kisieleweke hasa kwa mtu ambae hakuwa kuona lawama za uongo za hawa single mothers

mpaka Leo nimekutana na single mothers wengi kwahiyo na kiamini nacho kiandika .kwangu Mimi kati ya single mothers kumi wanaodai wametelekezwa, mmoja kati yao yeye ndio sababu(hasa single mothers wenye vipato)
kwanini wanafanya ivi?subili yakufike.


#tuwe wakweli tunapo changia hoja kama hizi tuangalie sana katika jamii zetu ukweli upo,tusiwe tunangalia keyboard ilete maneno

mwisho nawaonea huruma sana single mothers waliotelekezwa Mungu awape riziki muwalee watoto.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] upo the nje ya Mada ya mleta post anzisha uzi
WAKO wa Hiki ulichoandika
 
Back
Top Bottom