Niliumizwa sana nashindwa kusahau

Niliumizwa sana nashindwa kusahau

Kweli ww mfitinishaji ila mawazo yako yameheshimika ila sijawahi mtambulisha mwanangu baba yeyote na hapa sijaja kwa ajili ya kutelekezwa wala kutafuta bwana kama una matatizo yako weka wazi watu wakushauri usimalizie hasira kwangu mkuu,soma vizuri ninaomba msaada niweze kusahau siyo kutafuta bwana mpya [emoji23]
nimekwelewa,nimesema simaniishi wewe ndivyo ulivyo apana ila nimetumia nafasi hiyo kusema nachokiamini japo sio sehemu sahihi ila so mbaya.

#kwakua umesema huitaji mme ila kumsahau aliepita nakushauri kuwabize na kazi pamoja na Mungu.


wanaume tumechafukwa sana,na anaeweka tegemeo kwetu kwakweli namshangaa sana
 
nimekwelewa,nimesema simaniishi wewe ndivyo ulivyo apana ila nimetumia nafasi hiyo kusema nachokiamini japo sio sehemu sahihi ila so mbaya.

#kwakua umesema huitaji mme ila kumsahau aliepita nakushauri kuwabize na kazi pamoja na Mungu.


wanaume tumechafukwa sana,na anaeweka tegemeo kwetu kwakweli namshangaa sana
wamechwafukwa na nini mkuu ? mbona unajumlisha wote? ....
 
Ndugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.

Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
Nipigie nikushauri utapona tu 0715268499
 
Pole sana. Unahitaji ushauri nasaha dada yangu. Tatizo lako ni la afya ya akili lililosababishwa na huo uzoefu wako mbaya wa kimapenzi/kimahusiano uliopita na linaitwa Post-traumatic Stress Disorder (PTSD). Inawatokea wengi kwa kiwango na athari tofauti tofauti kwasababu pia watu wako tofauti. Ukipata tiba sahihi ambayo inakuaga psychotherapy (inahusiana na counselling), utapona kabisa. Utakuwa wa kawaida tena!!

Lakini haimaanishi kuwa baada ya kupona basi uanze kupenda penda ovyo. Hapana. Jifunze kutokana na past yako. Wewe ni binadamu...una mahitaji ya mwili. Ila lazima uwe makini sana usije ukavuruga maisha yako uliyoyatengeneza tayari na ya mtoto wako plus ndoto zako nyingine. Kwa kuwa una mtoto tayari, chukulia hiyo ndio familia yako na priority yako. Mwanamme atakayekuja awe supplementary tu...but umheshimu!!!
 
Pole sana. Unahitaji ushauri nasaha dada yangu. Tatizo lako ni la afya ya akili lililosababishwa na huo uzoefu wako mbaya wa kimapenzi/kimahusiano uliopita na linaitwa Post-traumatic Stress Disorder (PTSD). Inawatokea wengi kwa kiwango na athari tofauti tofauti kwasababu pia watu wako tofauti. Ukipata tiba sahihi ambayo inakuaga psychotherapy (inahusiana na counselling), utapona kabisa. Utakuwa wa kawaida tena!!

Lakini haimaanishi kuwa baada ya kupona basi uanze kupenda penda ovyo. Hapana. Jifunze kutokana na past yako. Wewe ni binadamu...una mahitaji ya mwili. Ila lazima uwe makini sana usije ukavuruga maisha yako uliyoyatengeneza tayari na ya mtoto wako plus ndoto zako nyingine. Kwa kuwa una mtoto tayari, chukulia hiyo ndio familia yako na priority yako. Mwanamme atakayekuja awe supplementary tu...but umheshimu!!!
Wapi naweza pata hiyo cancelling!? Naomba maelekezo tafadhali
 
Wapi naweza pata hiyo cancelling!? Naomba maelekezo tafadhali

Inategemea unaishi wapi kwa sasa bidada. Hospitali nyingi kubwa zinatoa hiyo huduma...hata hivyo kwa baadhi ya hospitali service hiyo inakuwa on demand (unapoihitaji unapewa mtu wa kukusaidia kukupa psychotherapy pale pale au kukupa referral) wakati katika hospitali nyingine counselling iko structured kama moja ya huduma zinazotolewa na kwa kawaida inakuwa chini ya Idara ya Afya/Magonjwa ya Akili. Kwenye miji mikuu kama Dar zipo taasisi nyingine zisizo za kiserikali na zisizo hospitali ziñazotoa huduma hiyo pia.
 
Sasa mnavosema alee mtt aachane na wanaume haja za kimwl anaztuliza vp
 
Ndugu zangu mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 35. Niliumizwa sana na mwenzangu baba wa mtoto wangu na nimeachana nae miaka 12 iliyopita.

Mtoto yuko Form One, baba hana hata habari nae, lakini nashukuru mungu nimejitahidi na nitajitahidi apate elimu. Tatizo ni kwamba kila nikiingia kwenye uhusiano mpya nakuwa muoga na sana imefikia hatua sihitaji tena kuwa na mwanaume. Yaani naogopa vitu vilivyonitokea mwanzo na mwisho nahisi sijui kumpenda mtu yaani kuubwaga moyo nakuwa na wasiwasi na kushindwa kujiachia.

Naombeni ushauri nifanyeje ili niwe sawa na wanawake wengine
Usiyalilie mapenzi, mlilie Mungu.
 
Back
Top Bottom