Niliumizwa sana nashindwa kusahau

Asante nafanya kazi nashukuru na maisha yanaenda
Hehe welcome to the team... MI nimekuwa kilema kabisa siwez kuwa na mahusiano Zaid ya kuchat kwa [emoji336].... Na siwez sogelea mwanaume.....nishaweka akili yangu... hivyo nimetoa kipengele cha mwanaume sababu naogopa the maumivu.. life goes on happy And busy no stress...
 
Ni pm tafadhal
 

ubinafsi huo....azae alafu baba mtoto asepe tena
 
Basi naomba turudiane tu maana naona unazidi kuumia tu jamani.
 
Miaka 12 mpaka leo hutaki kupiga moyo konde.. pole sana..
 
Pole sana dada
 
Hayo ni mapito tu kma yeye alikutenda sio kila mwanaume ni mbaya....unajiumiza roho kuishi mwenyewe istoshe hata wazazi wetu wamepitia magumu kuliko hayo ila ndoa zao zimedumu.....anza upya utapata akupendae huyo hakua wako
 
Pole sana kwa yaliyokupa miaka 12 iliyopita..kwanza nikusifu tu kwakujitahidi kumlea mwanao vizuri na unaendelea kumsomesha.. Ukweli ni kwamba sio wanaume wote wako hivyo.. Na kwa umri ulionao sikushauri ukae bila mwanaume...naamini kuna mwanaume Mungu aliyekuandalia mzuri na atakaekupenda.. Mwombe Mungu na ujaribu kusahau yaliyopita...ukibaki mwenyewe utajikuta unazini tu na kumkosea Mungu wako.
Mwombe Mungu na achia mawazo yako yawe na dira mpya ktk mapenzi..Naamini utapata atakaye kudeserve..
Good luck na Mungu akupe moyo mpya.
 
single mothers wamekua wakisema wamesuswa na walio wazalisha,inaweza ikawa sawa ila chanzo hamki weki wazi.inatokea mwanaume anakuja kumjulia hali mwanae na matumizi ila mama(single mother)ananza drama na kukumbushia ya kale bila kujali haki ya mtoto wake anaeitaji malezi ya pande mbili.

sijamaanisha alieomba ushauri anahusika na baba kumtelekeza mtoto ila namaana muwe pia mnasema unahisi nini itakua sababu ya baba kumtelekeza mwana.

mwanaume aliepitia hali hii anajua nataka kusema nini.
unakuta mwanaume kajiludi kwa mzazi mwenzake walee mtoto ila mwanamke anavo anza drama oooh uliniacha nimesha zoea ntamlea peke angu mwanangu,namaneno mengi ya shombo na kudhalilisha.unakuta mwanamke anamwekea ugumu baba kumsaidia mwana ila kwa watu huyo mama atatangaza ametelekezwa Na analea pekeee....ili iweje?

mwanamke unaumri 35 na umepata mtoto mkubwa yupo sekondari,bado unatafuta mpenzi kweeeli! mbona unamtia aibu mwanao ni aibu kumtambulisha mwanao baba mpya kila mwaka.

kwanini usifanye kazi nikipi ujakifanya adi umothers.

samahani kwanilicho kiandika kinaweza kisieleweke hasa kwa mtu ambae hakuwa kuona lawama za uongo za hawa single mothers

mpaka Leo nimekutana na single mothers wengi kwahiyo na kiamini nacho kiandika .kwangu Mimi kati ya single mothers kumi wanaodai wametelekezwa, mmoja kati yao yeye ndio sababu(hasa single mothers wenye vipato)
kwanini wanafanya ivi?subili yakufike.


#tuwe wakweli tunapo changia hoja kama hizi tuangalie sana katika jamii zetu ukweli upo,tusiwe tunangalia keyboard ilete maneno

mwisho nawaonea huruma sana single mothers waliotelekezwa Mungu awape riziki muwalee watoto.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Kweli ww mfitinishaji ila mawazo yako yameheshimika ila sijawahi mtambulisha mwanangu baba yeyote na hapa sijaja kwa ajili ya kutelekezwa wala kutafuta bwana kama una matatizo yako weka wazi watu wakushauri usimalizie hasira kwangu mkuu,soma vizuri ninaomba msaada niweze kusahau siyo kutafuta bwana mpya [emoji23]
 
Kwanza nakupa pole sana.

Pili nasikitika kama mmeachana miaka 12 iliyopita ila mpaka sasa huna mwenza kwani umri sahihi wa kubeba mimba kwa mujibu wa wataalamu wa afya ya uzazi kwako umefika mwisho.
 
Jamani nahitaji jinsi ya kuendelea na maisha na kusahau maumivu siyo kumsahau bwana nlishamchukia na sina mapenzi nae na naomba tuelewane wapendwa sitafuti mwenza mwingine wala mtoto kikubwa ni kwamba nahitaji KUSAHAU NA MAISHA YAKASONGA MAKE SIFICHI SIAMINI WANAUME YEYOTE CHINI YA JUA
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] oh watu wengine huwa Waajabu Sana ameandika maneno teeeele
 
[emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] upo the nje ya Mada ya mleta post anzisha uzi
WAKO wa Hiki ulichoandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…