Niliuza nyumba yangu nikawekeze Kalynda, nikiamini baada ya muda mfupi ningerudi kuinunua tena. Nyumba imeenda, hela imeenda

Niliuza nyumba yangu nikawekeze Kalynda, nikiamini baada ya muda mfupi ningerudi kuinunua tena. Nyumba imeenda, hela imeenda

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Wahenga walisema tamaa iliua fisi. Nyumba imeenda, pesa imeenda. Sijui niwalaumu Brela, sijui niwalaumu Usalama wa taifa? Sijui nimlaumu yule dada aliyekuja kunishawishi?

Mshana Jr, nitafutie ndumba ya kuwafuta wote waliosababisha niwe zuzumagic, mpenda miujiza, niliyejawa na tamaa ya fedha na utajiri wa ghafla bin vuu.

Kwa kweli nimesoma sana hapa JF, kuwa utajiri ni process, utajiri una principles zake, lakini nadhani nilirogwa sehemu.

Jamani niweke wapi lisura langu hili la kizee lililojaa makunyanzi? Kweli mimi leo ni mtu wa kulala kwenye gari kweli?

Kweli mimi ni mtu wa leo kulala njaa? Nimlilie nani mimi? Ni nani wa kunifariji? Ni nani wa kusimama na mimi kipindi hiki kigumu?

Je, ninene kwa lugha gani muujiza utokee nyumba yangu irudi?
Natamani kuurudisha nyuma muda nikarekebishe pale nilipo kosea.

Dah! Nchi hii Wachina wanashirikiana na Watanzania wenzetu kutuachia majonzi na kilio mioyoni mwetu. Nimlilie nani mimi?

Amesikika akilia mwana JamiiForums mmoja
 
Buji bhana wewe hata ungepewa hela ya mtu akaipeleke Kalynda usingeipeleka ungepeleka Bank akutane na hela yake huko sio aje kuanza kulia baadae...ila inavyoonekana waliopigwa huko ni wengi sana ni vile wanalilia ndani tuu..
 
Wahenga walisema tamaa iliua fisi. Nyumba imeenda, pesa imeenda. Sijui niwalaumu Brela, sijui niwalaumu Usalama wa taifa? Sijui nimlaumu yule dada aliyekuja kunishawishi?

Mshana Jr, nitafutie ndumba ya kuwafuta wote waliosababisha niwe zuzumagic, mpenda miujiza, niliyejawa na tamaa ya fedha na utajiri wa ghafla bin vuu.

Kwa kweli nimesoma sana hapa JF, kuwa utajiri ni process, utajiri una principles zake, lakini nadhani nilirogwa sehemu.

Jamani niweke wapi lisura langu hili la kizee lililojaa makunyanzi? Kweli mimi leo ni mtu wa kulala kwenye gari kweli?

Kweli mimi ni mtu wa leo kulala njaa? Nimlilie nani mimi? Ni nani wa kunifariji? Ni nani wa kusimama na mimi kipindi hiki kigumu?

Je, ninene kwa lugha gani muujiza utokee nyumba yangu irudi?
Natamani kuurudisha nyuma muda nikarekebishe pale nilipo kosea.

Dah! Nchi hii Wachina wanashirikiana na Watanzania wenzetu kutuachia majonzi na kilio mioyoni mwetu. Nimlilie nani mimi?

Amesikika akilia mwana JamiiForums mmoja
Si uuze na hilo gari? La sio. uza kidogo kidogo, matairi, taa, kioo nk. Halafu waifu alijua mnauza nyumba? Pole!
 
😅😅😅wamakoma waache itafika bungeni hii kubwa wakubwa wamepigwa pia.
 
Back
Top Bottom