Hivi hii Kalynda Ni Nini? Imefanya Nini watu?
Taarifa juu yake si nyingi
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Taarifa juu yake si nyingi
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina la kusema aiseeeSi uuze na hilo gari? La sio. uza kidogo kidogo, matairi, taa, kioo nk. Halafu waifu alijua mnauza nyumba? Pole!
Kuna mkono wa wakubwa ktk utapeli huu. Haiwezekani mtu apewe kibali cha kuuza vifaa vya kielektroniki halafu achezeshe upatu halafu mamalka zilale tu.Nimejifunza kwamba kuna taasisi zimelala, Mchina anakujaje nchini kutapeli wazawa?
Wabishi sana sana hadi yatokee yakutokea akili ndio inakuwa sawa .. though bado kuna Ponzi schemes nyingi sana zitaendelea kuliza watu hasa wanachuo.Kuna demu aliweka 500k namwita gheto hajibu txt wala nn nmemtokea ndio ananipa mkasa wa Kalynda imebidi nimpooze kwa miti tu.
Kilio kimetapakaa nchi nzima, binamu yangu katoka nyumbani Kakonko nilimuonya hakusikia, kaweka mabulungutu yake sasa amekuwa akinisumbua kwa simu, vipi huko Dar, mtandao umerudi? Mimi namjibu China ni mbali sana ukienda kwa miguu. Mtandao umeenda ChinaBuji bhana wewe hata ungepewa hela ya mtu akaipeleke Kalynda usingeipeleka ungepeleka Bank akutane na hela yake huko sio aje kuanza kulia baadae...ila inavyoonekana waliopigwa huko ni wengi sana ni vile wanalilia ndani tuu..
Aisee si ndio kosa kubwa hilo la kiufundi?''imagine Mchina anaitwa Thomas""
Mtu kama wewe huitwaga watu wa machale[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wengine mazoba yanaingia kichwa kichwa mzima mzimaWewe mjinga! Japo nami nilikuwa kalynda lakini we ujinga umezidi.
Mimi niliweka 20k tu na jumla nimevuna 378,000/ Kwa mtaji wa 20k tu.
Hadi siku inazimwa nilikuwa nimetoa Pesa hizo zote jumla, na acc ilikuwa na 23000 ya kuzugia!! Ndio maana hainiumi Kwa 20k tu nimekula zaidi ya 378k
Nasikia huyo mchina mwenye jina la kizungu hata picha yake hamjawahi kuiona.Nimejifunza kwamba kuna taasisi zimelala, Mchina anakujaje nchini kutapeli wazawa?
Kalynda noma sana. Mchina anaitwa Mr. Thomas. Sijui ni lile li nyau la kwenye katuni?Nasikia huyo mchina mwenye jina la kizungu hata picha yake hamjawahi kuiona.
Ila Bujibuji sidhani kama wewe umepigwa na kalynda maana sio mbumbu
Haa Chini Kuna MotoKalyinda kweli umetufumua marinda
Mambugila nchi hii hawawez kuisha wenye akil wanawekeza kwa vilazaNchii hii ina wajinga wengi sana
Bujibuji ngoja waletewe nyingine
Wapigwe
Ova