Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #81
Taasisi zinatakiwa kuwa macho zaidi. Hata matangazo yao kwenye TV ingekuwa ni mbegu ya kuanza uchunguzi wa kina😂😂hakuna taasisi iliyolala, kalynda walikuwa na legal business kwa mjibu wa brela sema walichofanya ni tofauti na kile walichosajilia, mtu anakwenda kufanya investment ya hela kubwa kwa kuambiwa tu bila kujiridhisha kila idara ya uhalali wao