Mwanamwaiche
JF-Expert Member
- Apr 13, 2022
- 665
- 968
Kafarijiwe na vibibi viuza gongo aisee!ππππWahenga walisema tamaa iliua fisi. Nyumba imeenda, pesa imeenda. Sijui niwalaumu Brela, sijui niwalaumu Usalama wa taifa? Sijui nimlaumu yule dada aliyekuja kunishawishi?
Mshana Jr, nitafutie ndumba ya kuwafuta wote waliosababisha niwe zuzumagic, mpenda miujiza, niliyejawa na tamaa ya fedha na utajiri wa ghafla bin vuu.
Kwa kweli nimesoma sana hapa JF, kuwa utajiri ni process, utajiri una principles zake, lakini nadhani nilirogwa sehemu.
Jamani niweke wapi lisura langu hili la kizee lililojaa makunyanzi? Kweli mimi leo ni mtu wa kulala kwenye gari kweli?
Kweli mimi ni mtu wa leo kulala njaa? Nimlilie nani mimi? Ni nani wa kunifariji? Ni nani wa kusimama na mimi kipindi hiki kigumu?
Je, ninene kwa lugha gani muujiza utokee nyumba yangu irudi?
Natamani kuurudisha nyuma muda nikarekebishe pale nilipo kosea.
Dah! Nchi hii Wachina wanashirikiana na Watanzania wenzetu kutuachia majonzi na kilio mioyoni mwetu. Nimlilie nani mimi?
Amesikika akilia mwana JamiiForums mmoja
Mshana Jr, nitafutie ndumba ya kuwafuta wote waliosababisha niwe zuzumagic, mpenda miujiza, niliyejawa na tamaa ya fedha na utajiri wa ghafla bin vuu.[emoji23]Wahenga walisema tamaa iliua fisi. Nyumba imeenda, pesa imeenda. Sijui niwalaumu Brela, sijui niwalaumu Usalama wa taifa? Sijui nimlaumu yule dada aliyekuja kunishawishi?
Mshana Jr, nitafutie ndumba ya kuwafuta wote waliosababisha niwe zuzumagic, mpenda miujiza, niliyejawa na tamaa ya fedha na utajiri wa ghafla bin vuu.
Kwa kweli nimesoma sana hapa JF, kuwa utajiri ni process, utajiri una principles zake, lakini nadhani nilirogwa sehemu.
Jamani niweke wapi lisura langu hili la kizee lililojaa makunyanzi? Kweli mimi leo ni mtu wa kulala kwenye gari kweli?
Kweli mimi ni mtu wa leo kulala njaa? Nimlilie nani mimi? Ni nani wa kunifariji? Ni nani wa kusimama na mimi kipindi hiki kigumu?
Je, ninene kwa lugha gani muujiza utokee nyumba yangu irudi?
Natamani kuurudisha nyuma muda nikarekebishe pale nilipo kosea.
Dah! Nchi hii Wachina wanashirikiana na Watanzania wenzetu kutuachia majonzi na kilio mioyoni mwetu. Nimlilie nani mimi?
Amesikika akilia mwana JamiiForums mmoja
Imekwisha hiyoooMshana Jr, nitafutie ndumba ya kuwafuta wote waliosababisha niwe zuzumagic, mpenda miujiza, niliyejawa na tamaa ya fedha na utajiri wa ghafla bin vuu.[emoji23]
Bro tuanue tanga msiba umeshaisha huo
Si ntajikuta nimevioa, vinipe limbwata niyasahau hadi maisha yangu?Kafarijiwe na vibibi viuza gongo aisee!ππππ
Halafu wananzengo walivyo na roho poa watasema "Kila alipo Buji mwenye maendeleo,ujue kuna vikongwe wamempikia uji na viazi vitamu ili ajenge afya"!.ππππSi ntajikuta nimevioa, vinipe limbwata niyasahau hadi maisha yangu?
Wachina ni matapeli international, check hii ya China:Nimejifunza kwamba kuna taasisi zimelala, Mchina anakujaje nchini kutapeli wazawa?
Tusubiri za mwizi 39Imekwisha hiyooo
HaTAri SanaWachina ni matapeli international, check hii ya China:
Ukitaka kujua zimelala kawauliE ACT walitaka kufanya mkutano huko Ruvuma wakaambiwa kuna tishio la Ugaidi leo leo Mwamposa amefurikisha maelufu ya watu huko huko Songea.Nimejifunza kwamba kuna taasisi zimelala, Mchina anakujaje nchini kutapeli wazawa?
Ndio nini hiyo Kalynda?Kuna watu wanalia kimya kimya[emoji28][emoji28]
Ndio kitu pekee wanachokiwezaUkitaka kujua zimelala kawauliE ACT walitaka kufanya mkutano huko Ruvuma wakaambiwa kuna tishio la Ugaidi leo leo Mwamposa amefurikisha maelufu ya watu huko huko Songea.
Na wanajisikia fahari kuwa miongoni mwa wajinga wanaobomoa demokrasia na mwenendo wa maisha/siasa.Ndio kitu pekee wanachokiweza
Usikute na ww mmoja wapo!!?Kuna watu wanalia kimya kimya[emoji28][emoji28]
Nilipopata tetes kuwa mambo yamekuwa si mambo tena....nikamfata kijana aliye taka kunishawishi niingie...nikamkuta amekaa pemben ya ofisi yake na aliotesha fedha za kitanzania 2Mil...nikamwambia nimekuja uniunge na mimi nipige pesa...
Kwa muda huo hakukuwa na umeme kwan Tanesco walishafanya yao...ni mida kama ya saa tisa mchwna...akaniambia sawa akaitoa simu yake mfukon..huku akinena ngoja nikupe utajir chapu kabla sim haijazima charge...
Nimesimama pembeni yake huku akiwa kama anahangaika na simu yake bila kunisemesha...takriban kama dk 2 hivi masikin kijana hajui linalo endelea...nikamsemesha tena..oyaa vipi mbona unachelewa..akanijibu naona mtandao mzito hapa...
Nikacheka afu nikamwambia mkuu hyo issue washasepa na hela zenu...nikaona kaanguka kutoka pale kwenye kiti alichokuwa amekaa mpaka chini....na ghafla akanyanyuka na kusema haiwezekani....
Akasema ngoja simu inazima huku akikimbilia ofisin kwake na kusema ngoja niiweke sim charge...nikamkumbusha mkuu umeme haupo ....akarudi akaniambia hata kama wamenipiga....wamenipiga elfu ishirin tuu...,hajamaliza kuongea akatokea jamaa mwingine ambae aliunganishwa na mwamba...akamtaja jina mkuu umeniponza mil yangu imeenda jamaa akasema si bora ww...mim mil 2 nimetoka kuweka juz...nikamkumbusha tena mbona unaniambia uliweka elfu ishirin...so uliweka elfu ishirin ili uvune 800 ndan ya masaa 48..??
Mwamba akawa kama amechanganyikiwa pesa sio yake...ni ya boss wake...na hapo katika hali ile ile ya kuchanganyikiwa...akaniambia mwanangu nisaidie mil moja...yaan nimuazime...nikamjibu unanilipa lin? Cha ajabu akaniambia mtandao ukirudi tuu...natoa chap na pesa yako nakupa...ππππ
Dah ikanibid nicheke tuu...maana mpaka pale hakuamin kama amepigwa...ππ
Wachache sana yuna ujasiri wa kujianika hadharaniUsikute na ww mmoja wapo!!?
manake wabongo wakikwambia hv wanamaanisha vile!