Hawa jamaa cjui waliwin vipi...nilichogundua mpaka watu wenye kipato cha chin kabisa walifikiwa...jana kuna mtu namfaham kabisaa...uwezo wake kifedha nikakuta wanajadiliana na mwenzie wote ni mabint...eti fulan kapigwa iv mara fulan iv..nikawahoji na ninyi mlishiriki..mmoja akadakia sitak hata kukumbuka kaka...hamsin yangu imeenda hiv hiv...akanyanyuka akaanza kuchechemea na kuondokaKipigo cha mbwa kachoka kinamuhusu.
Hahahah walitesti mitambo hao! Sema elf hamsini hela ya kawaida sana kwa mtu mwenye uchumi wa kueleweka.Hawa jamaa cjui waliwin vipi...nilichogundua mpaka watu wenye kipato cha chin kabisa walifikiwa...jana kuna mtu namfaham kabisaa...uwezo wake kifedha nikakuta wanajadiliana na mwenzie wote ni mabint...eti fulan kapigwa iv mara fulan iv..nikawahoji na ninyi mlishiriki..mmoja akadakia sitak hata kukumbuka kaka...hamsin yangu imeenda hiv hiv...akanyanyuka akaanza kuchechemea na kuondoka
Yes..lakin kwa yule bint ni kubwa sanaa...wanawake ni wepesi sana kushawishika....Niliwah kupigwa na kitu kizito 2015....na ushawish mkubwa niliupokea kwa mwanamke....ingawa nilichanganya na zangu lakin nikajisemea ngoja nione...tokea pale nilihapa..siji pokea deal au kuwekeza popote pale kwa ushawish wa mwanamke...Hahahah walitesti mitambo hao! Sema elf hamsini hela ya kawaida sana kwa mtu mwenye uchumi wa kueleweka.
Walioitangaza mlango wa utajiri unafunguliwa kwa 20k, wengine waliuza hadi kuku, ili waufungue mlango huo na kuuingiaHahahah walitesti mitambo hao! Sema elf hamsini hela ya kawaida sana kwa mtu mwenye uchumi wa kueleweka.
Hana taco nini huyo binti?Yes..lakin kwa yule bint ni kubwa sanaa...wanawake ni wepesi sana kushawishika....Niliwah kupigwa na kitu kizito 2015....na ushawish mkubwa niliupokea kwa mwanamke....ingawa nilichanganya na zangu lakin nikajisemea ngoja nione...tokea pale nilihapa..siji pokea deal au kuwekeza popote pale kwa ushawish wa mwanamke...
😂😂😂😂...Hana taco nini huyo binti?
Kyala atutule nkamu gwangu, I ndalama mbala fijho masiku aghabhafiganile ifya itolo asesyisye fijo
Kipigo cha Kalyanda hadi mnanena kwa lugha kudadadeq! Ndagha fijho 😂😂😂Kyala atutule nkamu gwangu, I ndalama mbala fijho masiku agha
Kyala atutule nkamu gwangu, I ndalama mbala
naloli kalumbu papo kuno tukubhuka kukafuKyala atutule nkamu gwangu, I ndalama mbala fijho masiku agha
Bunge lipi congress!? Tanzania hakuna bunge😅😅😅wamakoma waache itafika bungeni hii kubwa wakubwa wamepigwa pia.
Hata yale magemu ya kichina yangepigwa marufuku tu ni kupalilia umaskini na kulemaza taifa la kesho hayana faida kwa nchi yetu wakacheze huko kwao nonsense.Nimejifunza kwamba kuna taasisi zimelala, Mchina anakujaje nchini kutapeli wazawa?
Hayawafaidishi Watanzania, Mchina ndio mfaidika mkubwaHata yale magemu ya kichina yangepigwa marufuku tu ni kupalilia umaskini na kulemaza taifa la kesho hayana faida kwa nchi yetu wakacheze huko kwao nonsense.
Wahenga walisema tamaa iliua fisi. Nyumba imeenda, pesa imeenda. Sijui niwalaumu Brela, sijui niwalaumu Usalama wa taifa? Sijui nimlaumu yule dada aliyekuja kunishawishi?
Mshana Jr, nitafutie ndumba ya kuwafuta wote waliosababisha niwe zuzumagic, mpenda miujiza, niliyejawa na tamaa ya fedha na utajiri wa ghafla bin vuu.
Kwa kweli nimesoma sana hapa JF, kuwa utajiri ni process, utajiri una principles zake, lakini nadhani nilirogwa sehemu.
Jamani niweke wapi lisura langu hili la kizee lililojaa makunyanzi? Kweli mimi leo ni mtu wa kulala kwenye gari kweli?
Kweli mimi ni mtu wa leo kulala njaa? Nimlilie nani mimi? Ni nani wa kunifariji? Ni nani wa kusimama na mimi kipindi hiki kigumu?
Je, ninene kwa lugha gani muujiza utokee nyumba yangu irudi?
Natamani kuurudisha nyuma muda nikarekebishe pale nilipo kosea.
Dah! Nchi hii Wachina wanashirikiana na Watanzania wenzetu kutuachia majonzi na kilio mioyoni mwetu. Nimlilie nani mimi?
Amesikika akilia mwana JamiiForums mmoja
Bora make hukohuko, msije kabisa huku mwanzo mwa dunia. Kuna stress za kufa mtuSie wengine hua tupo mwisho wa dunia
Hyo kalynda me nmeijua siku mbili kabla ya watu kutapeliwa aisehBora make hukohuko, msije kabisa huku mwanzo mwa dunia. Kuna stress za kufa mtu
😂😂hakuna taasisi iliyolala, kalynda walikuwa na legal business kwa mjibu wa brela sema walichofanya ni tofauti na kile walichosajilia, mtu anakwenda kufanya investment ya hela kubwa kwa kuambiwa tu bila kujiridhisha kila idara ya uhalali waoNimejifunza kwamba kuna taasisi zimelala, Mchina anakujaje nchini kutapeli wazawa?