#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

#COVID19 Nilivyojisikia baada ya kuchanjwa chanjo ya COVID-19

So you seriously believe the C-19 so called vaccines are safe?Unajidanganya,they are deadly.Hata wazazi waliochanja are strongly adviced not to have children!The following very recent report shows how children born of mother's vaccinated by the "fake vaccines" are dying.

How credible is the source? Mkuu, kwanini una mashaka na chanjo hii ya UVIKO-19 kuliko zile tulizochanjwa utotoni kama ndui na surua?
 
How credible is the source? Mkuu, kwanini una mashaka na chanjo hii ya UVIKO-19 kuliko zile tulizochanjwa utotoni kama ndui na surua?
This is very credible information.Halafu Infantry Soldier,hii ni taarifa ambayo wala sio ngeni,It is a known fact in the Independent Scientific World.It is however the most recent report I know.
 
Very credible.Halafu Infantry Soldier,hii ni taarifa ambayo wala sio ngeni,It is a known fact in the Independent Scientific World.It is however the most recent report I know.
Sawa mkuu, lakini kuna swali langu moja bado hujanijibu kuhusiana na chanjo za surua na ndui.
 
Chanjo inakusaidia nini we kichaa mavi?
Imenisaidia kujua kumbe watanzania ni wajinga sana. Wananyeshwa mafuta ya korie na wapuuzi kwa kuambiwa ni mafuta ya upako yanaponya nguvu za kiume, kupata utajiri na kupona maradhi. Mjinga mmoja anawaaminisha watu wake ameambiwa na Mungu kwamba ukichanja utakufa au kugeuka zombie. Afya ya akili ni shida kubwa sana.
 
How credible is the source? Mkuu, kwanini una mashaka na chanjo hii ya UVIKO-19 kuliko zile tulizochanjwa utotoni kama ndui na surua?
Afya ya akili ni tatizo kubwa sana kuliko tunavyofikiria. Dalili kubwa za afya ya akili ni mtu kudai kuwa Mungu amemwambia kitu, kusikia sauti ambazo watu wengine hawazisikii, kujitenga, hasira nyingi hata kwa mambo madogo tu, kusema kitu ambacho wengine hawakielewi, kukojoa kitandani, kuona watu na vitu ambavyo wengine hawavioni, kuhisi kuwa watu ni wabaya wanataka kukudhuru na kukuua kwa chanjo, kisu, panga, bunduki, moto, uchawi, kurudia mara nyingi kusema au kufanyan kitu hichohicho, nk.
 
Imenisaidia kujua kumbe watanzania ni wajinga sana. Wananyeshwa mafuta ya korie na wapuuzi kwa kuambiwa ni mafuta ya upako yanaponya nguvu za kiume, kupata utajiri na kupona maradhi. Mjinga mmoja anawaaminisha watu wake ameambiwa na Mungu kwamba ukichanja utakufa au kugeuka zombie. Afya ya akili ni shida kubwa sana.
Mlivochanja mkajiona nanyi mmekuwa wazungu kabisa...bora mafuta hayo yanayokupa imani kuliko chanjo ya voda fasta
 
Afya ya akili ni tatizo kubwa sana kuliko tunavyofikiria. Dalili kubwa za afya ya akili ni mtu kudai kuwa Mungu amemwambia kitu, kusikia sauti ambazo watu wengine hawazisikii, kujitenga, hasira nyingi hata kwa mambo madogo tu, kusema kitu ambacho wengine hawakielewi, kukojoa kitandani, kuona watu na vitu ambavyo wengine hawavioni, kuhisi kuwa watu ni wabaya wanataka kukudhuru na kukuua kwa chanjo, kisu, panga, bunduki, moto, uchawi, kurudia mara nyingi kusema au kufanyan kitu hichohicho, nk.
Mkuu, kwa hiyo mimi nina tatizo la afya ya akili? Basi ninaomba solution ili nipone badala ya kunisimanga.
 
Mkuu, kwa hiyo mimi nina tatizo la afya ya akili? Basi ninaomba solution ili nipone badala ya kunisimanga.
siwezi kusema ndio au hapana kwakuwa mlolongo mrefu kidogo (mental status evaluation) kabla ya kumwambia kuwa mtu ana tatizo kubwa la akili, ingawa hakuna mtu hata mmoja asiyekuwa na tatizo la akili hata kidogo angalau kwa muda.
 
siwezi kusema ndio au hapana kwakuwa mlolongo mrefu kidogo (mental status evaluation) kabla ya kumwambia kuwa mtu ana tatizo kubwa la akili, ingawa hakuna mtu hata mmoja asiyekuwa na tatizo la akili hata kidogo angalau kwa muda.
Sawa mkuu. Basi ngoja nijitahidi niembe hospitali ya Milembe kule Dodoma.
 
Sawa mkuu. Basi ngoja nijitahidi niembe hospitali ya Milembe kule Dodoma.
Nenda ukafanyiwe mental health evaluation, haiwezekani uwe suspicious kwa kiwango hiko. Yaani mtu akuue wewe kwa kutumia tu chanjo ya covid 19 wakati zipo chanjo nyingine ambazo umezikubali ambazo angeweza kupitishia huko ulozi wake huo.
 
Sawa mkuu. Basi ngoja nijitahidi niembe hospitali ya Milembe kule Dodoma.
Usiende mkuu kwani kifo kipo na watu watakufa tu, kuwe na njaa au shibe kufa kupo

Sehemu ninayoishi nimekaa huu mwaka wa 21 bila kuhama na ninajuana na majirani wengine mpaka kwa majina ingawa hatuingiliani
Wengi wetu tumechanja chanjo za mwanzo kabisa na miaka hii tangu tumechanja death rates yetu mitaani nimesikia wazee wanne waliozeeka na chanzo maradhi ya kawaida

Vijana wawili wameuwawa na wenzao jirani pia
Na mwingine alijinyonga kabla ya covid

Ila kuna bibi Kizee mmoja kila wakati ambulance huja kwa sababu ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa karibu sana ni mzee sana

Ila hizi takwimu za kusema watu wanakufa kama kuku wenye kideri baada ya chanjo I don't buy it

Doctors ni lazima waandike sababu ya kifo sio kama kwetu mnazika tu Kama kafia home

Nimechanja
Na nina umri zaidi ya 60 na wanangu wana over 30
Last month nilienda kuchanja ya flu
Na miezi minne iliyopita waliomba kinyesi ili waniangalie kama nina Dalili zozote za cancer na majibu yalirudi niko FIT

Nitakufa siku yangu wala haitawahi wala kuchelewa na yeyote anaepinga alete mkataba wa kuishi hapa na mimi niusaini haha

Nina chanjo ya ndui na TB tangu utotoni
Wakitaka kutumaliza wangewauwa wote waliopo hospital maana kuna wengine wana miaka kibao wamelazwa na kuhudumiwa bure vitanda,chakula , dawa na huduma kibao bure ila bado wanapewa na wanakufa kwa siku zao

Serikali inatumia billions of £s kwa kutuhudumia bure sasa mbona hospital bado wamejaa wagonjwa wazee wengine wanaharisha tu miaka kibao wengine cancer na wengine wanawekewa damu kila baada ya siku kadhaa

Najiuliza sana ila kila mtu ana maoni yake
Na mimi nimetoa yangu wala msinishangae
 
Hapa
Screenshot_20221005-094558_Chrome.jpg
Screenshot_20221005-094435_Chrome.jpg
 
Usiende mkuu kwani kifo kipo na watu watakufa tu, kuwe na njaa au shibe kufa kupo

Sehemu ninayoishi nimekaa huu mwaka wa 21 bila kuhama na ninajuana na majirani wengine mpaka kwa majina ingawa hatuingiliani
Wengi wetu tumechanja chanjo za mwanzo kabisa na miaka hii tangu tumechanja death rates yetu mitaani nimesikia wazee wanne waliozeeka na chanzo maradhi ya kawaida

Vijana wawili wameuwawa na wenzao jirani pia
Na mwingine alijinyonga kabla ya covid

Ila kuna bibi Kizee mmoja kila wakati ambulance huja kwa sababu ni mgonjwa anahitaji uangalizi wa karibu sana ni mzee sana

Ila hizi takwimu za kusema watu wanakufa kama kuku wenye kideri baada ya chanjo I don't buy it

Doctors ni lazima waandike sababu ya kifo sio kama kwetu mnazika tu Kama kafia home

Nimechanja
Na nina umri zaidi ya 60 na wanangu wana over 30
Last month nilienda kuchanja ya flu
Na miezi minne iliyopita waliomba kinyesi ili waniangalie kama nina Dalili zozote za cancer na majibu yalirudi niko FIT

Nitakufa siku yangu wala haitawahi wala kuchelewa na yeyote anaepinga alete mkataba wa kuishi hapa na mimi niusaini haha

Nina chanjo ya ndui na TB tangu utotoni
Wakitaka kutumaliza wangewauwa wote waliopo hospital maana kuna wengine wana miaka kibao wamelazwa na kuhudumiwa bure vitanda,chakula , dawa na huduma kibao bure ila bado wanapewa na wanakufa kwa siku zao

Serikali inatumia billions of £s kwa kutuhudumia bure sasa mbona hospital bado wamejaa wagonjwa wazee wengine wanaharisha tu miaka kibao wengine cancer na wengine wanawekewa damu kila baada ya siku kadhaa

Najiuliza sana ila kila mtu ana maoni yake
Na mimi nimetoa yangu wala msinishangae
Sawa mkuu
 
Nenda ukafanyiwe mental health evaluation, haiwezekani uwe suspicious kwa kiwango hiko. Yaani mtu akuue wewe kwa kutumia tu chanjo ya covid 19 wakati zipo chanjo nyingine ambazo umezikubali ambazo angeweza kupitishia huko ulozi wake huo.
Kuna sehemu nimesema ninataka kuuwawa na chanjo ya UVIKO-19?
 
Imenisaidia kujua kumbe watanzania ni wajinga sana. Wananyeshwa mafuta ya korie na wapuuzi kwa kuambiwa ni mafuta ya upako yanaponya nguvu za kiume, kupata utajiri na kupona maradhi. Mjinga mmoja anawaaminisha watu wake ameambiwa na Mungu kwamba ukichanja utakufa au kugeuka zombie. Afya ya akili ni shida kubwa sana.
Wewe una uhakika gani kwamba unachokiamini ni sahihi.Unaamini tu kwa kuwa somebody has told you it is safe,very unintelligent.Tuanzie hapo.Pili wewe unadhani kwa nini serikali ilitaka usaini kabla hujachanja?Tatu,hivi kwa nini unajiaminisha kwamba Gwajima was the source of the information that C-19 Vaccines are deadly,kumbe wala sio kweli!Mimi ni mtaalamu kwa hiyo najua kwamba mazingira yote ya C-19 management and administration ni unscientific,na hii kwa an intelligent mind should have been enough to deter anyone from taking the shot.

Wewe kama hatumiwi kuhamasisha chanjo,uliingia kwenye mtego wa the NWO psychopaths kichwa kichwa mno.Pole mkuu,you are responsible for whatever will happen to you kama kweli umechanja.Ulipaswa kuwa makini zaidi.
 
Back
Top Bottom