Kuna mstaafu mmoja ambae tunaiva sana kazini, ni boss wangu lakini nilimbembeleza kama vile namshurutisha kwenda kuchanja baada ya Mimi kuchanja. Huyu mzee alikubali kwenda kuchanja kwa shingo upande huku akinung'unika na kuninung'unikia. Leo hii ananipongeza kupita kiasi baada ya kupata corona na kuugulia nyumbani kwake hadi kupona bila kuhitaji kulazwa hospitali. Baada ya kupona akawasomba mkewe, watoto na wajukuu zake kwenda kuchanjwa lakini bahati mbaya wakakuta chanjo kwenye kituo kile zilikwisha na kuambulia dozi moja TU kituo Cha jirani.
Wako watu watakuja kujutia uzembe wao huko mbeleni. Watakujajihukumu wao wenyewe kwa kosa walilojifanyia na kufanyia wengine waliokosa chanjo.
Huwezi kupigana na sayansi wewe kapuku kwa kutumia hisia na maono.
Kwa taarifa yako baada ya mazingira kuharibiwa sana, misitu kuondoka, makelele (noise pollution) mengi, joto jingi na dhiki mbalimbali nyingi hakuna mwenye maono tena. Hakuna mwenye kulala na kuota ndoto zenye afya na maono tena. Imebaki syansi TU basi
Tuiombe serikali iingize chanjo za kutoka china zinazotumiwa na wachina. Why?
Wazungu wanaituhumu China kuwa ilitengeneza COVID kwenye maabara zao. Kama tuhuma zao ni za kweli basi china Ina chanjo Bora kuliko wazungu. Baada anaejuwa kuroga anajua kuopoa.
Tuiombe serikali iingize chanjo za kutoka china zinazotumiwa na wachina. Why?
Wazungu wanaituhumu China kuwa ilitengeneza COVID kwenye maabara zao. Kama tuhuma zao ni za kweli basi china Ina chanjo Bora kuliko wazungu. Baada anaejuwa kuroga anajua kuopoa.
Ni muda Sasa tangu nichanjwe covid-19, najisikia bukheri wa afya kabisa. Watu waliosita kuchanja walikuwa wanaomba watu wote waliochanja wageuke kenge mwezi mmoja TU baada ya kuchanjwa. Wametahari, juzi kwa macho yangu nilimuona mhubiri mmoja kaja kuchanja kwa Siri ili kuepuka kuonekana msaliti kwa wafuasi wake. Nikamuuliza imekuaje mzee nawe kuchanja? Akasema nataka kusafiri lakini "wajinga" hawanipi VISA eti hadi waone cheti Cha kuchanjwa.
Waumini wameachwa solemba. Akili za kuambiwa changanya na zako.
Mimi nilisafiri kwenda vijijini kuhakikisha mimi na wapendwa wangu wa huko uswekeni tunachanjwa (bila mtu kupotoshwa) kama sehemu ya utalii wa ndani.
Tulijiandikisha kama ilivyohitajika siku kama ilivyotangazwa. Tukasubiri maelekezo hadi walipokuwa tayari nasi tukachanjwa.
Ilikuwa siku ya uzinduzi kwenye eneo husika. Wachanjwa tulikuwa wengi (kwenye 300).
Haya ndiyo yaliyonisibu:
Nilichanjwa bega la kushoto. Yafuatayo ni niliyoyaona au kuyahisi kwa siku 3 tokea nilipochanjwa.
1. Muda mfupi baada ya kuchanjwa nilianza kusikia kiu, kilichoendelea bila kukoma, pamoja na kuongeza kiwango cha maji ambacho hunywa kwa kawaida.
3. Sense ya balance ilikuwa compromised kwa kiasi cha kutosha kwa kipindi chote.
4. Nilipata maumivu makali ya kichwa yasiyopungua mfululizo tokea muda kidogo baada ya kuchanjwa.
5. Mwili ulikuwa si wangu. Viungo viliniuma na mwili kulegea.
6. Nilibakia ndani mgonjwa kitandani kwa muda wote.
7. Mwili ulikuwa ukihisi baridi kuliko kawaida.
8. Palikuwa na hali ya kichefu chefu.
Ningali ninajifanyia tathmini kuhusiana na hali yangu yote leo kujilinganisha na ile ya mapema.
Sina majuto yoyote kwa kupokea chanjo hii. Ninayo furaha kuwa hatimaye nilipata. Ninaamini kuwa faida za chanjo ni kubwa kuliko madhara.
Niko tayari kuendelea kuleta mrejesho wa wazi kuhusiana na muendelezo wote, kulingana na hali yangu yote.
Hofu yangu kubwa kuhusu chanjo ya covid-19 ilikuwa kuganda kwa damu yangu baada ya kuchanja kwakuwa nilisikia kuwa IPO asilimia ndogo sana huko Ulaya waliganda damu, hivyo nilipoamua kuchanjwa nilihakikisha kuwa silali kitandani. Hivyo baada ya kuchanja niliendelea kufanya kazi zangu as if nothing happened, nilirukaruka na kutembea kwa miguu umbali umrefu, nilikunywa maji mengi na aspirin. Lakini kusema ukweli ilikuwa ni hofu isiyokuwa na chanjo Wala sababu za maana.
Tumshukuru sana Mungu kutupatia mama Samia kwa njia anazozifahamu yeye Mungu mwenyewe, kwakuwa nchi yetu huenda tungeingia kwenye mkwano mkubwa dhidi ya dunia kama tungeendelea kukataa kuwa Tanzania hatuna covid-19. Haijulikani kuwa tungesuniri wafe wangapi na nani na nani wakiwemo ili tuseme covid-19 IPO na tunahitaji chanjo.
Napiga picha ingekuwaje kwa timu zetu za mpira kushiriki kwenye mechi za kimataifa bila wachezaji wetu kuchanjwa. Napiga picha namna watu wetu kwenda nje ya Nchi ambavyo wangekwama au kuhangaika kwenda Kenya na Uganda kutafuta chanjo, napiga picha namna utalii wetu ambavyo ungeingia matatani.
Hakuna Mungu kama wewe. Jamani Mungu yupo yupo yupo kabisa.
Nahisi amani tupu, nchi inapata hewa safu na watu wanapumua. Kulia na kucheka zote ni kelele lakini moja ni kelele inayovumilika na nyingine haivumiliki. Sio kwamba chini ya Samia kila kitu Kiko shwari tambarare, HAPANA, lakini....
Wameumbuka vibaya sana, hadi wao wamechanja baada ya kusubiri kuona vifo na mazombi waliochanja covid-19 bila mafanikio. Waliochanja tulikuwepo, tupo na tutakuwepo. Watabiri hawa wa uongo kupata wafuasi ni ushahidi kuwa waumini wengi wanatapeliwa.
Nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa na wasiwasi kuhusu kuchanja chanjo ya covid 19. Hofu yangu kubwa kuliko zote ilikuwa kuganda kwa damu yangu baada ya kuchanja. Lakini Mimi ni miongoni mwa watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais
Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi
2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi
3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi
4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi
5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi
6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana baada ya wiki hivi
7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi
8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana
9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.
10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua
11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.
12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.
Nadhani chanjo Iko poa, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana kwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa na wasiwasi kuhusu kuchanja chanjo ya covid 19. Hofu yangu kubwa kuliko zote ilikuwa kuganda kwa damu yangu baada ya kuchanja. Lakini Mimi ni miongoni mwa watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais
Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi
2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi
3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi
4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi
5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi
6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana baada ya wiki hivi
7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi
8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana
9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.
10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua
11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.
12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.
Nadhani chanjo Iko poa, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana kwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Aisee,hata miaka miwili baada ya kuchanja haijapita umeshajiamianisha kwamba upo salama,ni ajabu sana.Anyway sina maneno mengi ila naomba usome taarifa zifuatayo,halafu uamue mwenyewe kama kweli upo salama kama unavyo dai au laa.Naomba with all due respect niseme hivi,there is something seriously wrong with our upstairs.Hivi mtu unaambiwa kuchanja ni maamuzi yako,ila kama utapata matatizo utajijua,halafu unachanja,kweli!!!!!!!Hivi unataka watumie lugha gani zaidi kukuambia kwamba hiyo chanjo ni hatari na si salama usichanje??????Frankly Wanadamu ni kama tumenyweshwa usembe hiviii....!Unprecedented.I believe the Devil has created new human beings ,the human beings I know are not like this.
VACCINE HOLOCAUST: Hundreds of thousands of “fully vaccinated” people are dying WEEKLY, official government reports indicate
Thursday, September 29, 2022
In case you have not figured it out yet, the real plandemic was never some airborne virus. It has always been the so-called “vaccines,” the contents of which are now killing hundreds of thousands of people weekly, according to the latest government data.
The “fully vaccinated” are the walking dead, carrying around with them a damaged immune system plagued by spike proteins and other deadly toxins that are overwhelming health systems with sick and dying patients.
You will not hear about this on the “news,” of course, because it tells a much different story than the one being propagated by the powers that be, which want us all to believe that the jabs are “saving lives.” The truth is that the jabs are massively depopulating the world right before our very eyes.
The number of daily calls for ambulances in England, as one example, are now so high in number that the system there is having trouble sending emergency first responders to every case. Hospitals are also becoming overwhelmed with patients suffering from post-jab illnesses, leaving few, if any, hospital beds for anybody else.
CDC: Myocarditis risk 133 times higher among fully jabbed
The National Health Service (NHS), according to a freedom of information request, has confirmed that the number of heart-related emergencies doubled in 2021 compared to 2020 and prior. In 2022 so far, the number is still going parabolic as the long-term impact of the jabs runs its course.
We know from the latest data charts – you can see them at GlobalResearh.ca – that ambulance calls continue to increase month after month with no end in sight.
Many of these calls are for younger people, just to be clear, and not just for the elderly. Young people who would otherwise be fit as a fiddle are now debilitated with a damaged heart, which in many cases results in heart attack or stroke.
Excess deaths are also skyrocketing as injection spike proteins accumulate inside people’s bodies and form clots that, in many cases, end up resulting in death.
Keep in mind that when hospitals first shut down due to the “virus,” what they were actually doing was going on vacation. There was never really an illness outbreak of any considerable magnitude until after Operation Warp Speed was launched, unleashing hell on the world.
Now, thanks to the shots, hundreds of millions of people are walking health time bombs that are going off seemingly at random. And health care systems are unable to handle all of them.
The U.S. Centers for Disease Control and Prevention (CDC) has known about the heart-damaging effects of the shots for quite some time. It published a study back in January highlighting the fact that people who get injected for the Fauci Flu are 133 times more likely than the non-jabbed to develop myocarditis.
“This means Covid vaccination increases the risk of suffering myocarditis by a shocking 13,200%,” reported Global Research.
“Eventually, myocarditis weakens the heart so that the rest of the body doesn’t get enough blood. Clots can then form in the heart, leading to a stroke or heart attack. Other complications of the condition include sudden cardiac death.”
“There is no mild version of myocarditis, it is extremely serious due to the fact that the heart muscle is incapable of regenerating. Therefore, once the damage is done there is no rewinding the clock.”
According to the Office for National Statistics (ONS) in the United Kingdom, excess deaths in the age of Operation Warp Speed are off the charts, specifically among the partially or fully injected. The unvaccinated, meanwhile, show no such effects.
The latest news about Fauci Flu shots can be found at ChemicalViolence.com.
Vaccine Narrative Collapses! Harvard Study Shows Jab More Dangerous than COVID
NATIONHAL TURNER 15 SEPTEMBER 2022 HITS: 6550
As boosters that have not been tested on humans are being rolled out across the country, a new study indicates that the jab is far more dangerous than COVID-19 itself. And the CDC has provided false information regarding their tracking of adverse events linked to the vaccines.
As government officials and mainstream media urges the vaccinated to inject a second so-called “bivalent” booster said to be targeting the Omicron variant, it turns out that this substance hasn’t been tested on humans. And the only animal trial that has been performed included eight mice.
“It hasn’t been proven in a clinical trial, because we don’t have time to do a clinical trial because we need to get the vaccine out now because we have such a situation throughout the world and certainly in the United States, we’re having 400 deaths per day and up to 5,000 hospitalizations a day,” NIAID Dr Anthony Fauci explained in an interview.
CDC Director Rochelle Walensky has also stated that the boosters must be expedited in order to work properly. A delay would potentially render the shots “outdated” as new variants would form, Walensky argues.
STUDY: WORSE THAN THE VIRUS
A new study conducted by scientists from Harvard and Johns Hopkins, currently in pre-print, reveals that the COVID-19 vaccines were up to 98 times worse than the virus itself. The study is critical of the booster requirement for American university students, stating in the abstract: “Using CDC and sponsor-reported adverse event data, we find that booster mandates may cause a net expected harm: per COVID-19 hospitalization prevented in previously uninfected young adults, we anticipate 18 to 98 serious adverse events, including 1.7 to 3.0 booster-associated myocarditis cases in males, and 1,373 to 3,234 cases of grade ≥3 reactogenicity which interferes with daily activities.”
FALSE INFORMATION
As first reported in the Epoch Times, CDC has provided false information regarding their tracking of adverse events caused by the vaccines. At the same time, Walensky admits that there is a causal relationship between the mRNA vaccines and myocarditis:
In a letter dated September 2 from CDC Director Rochelle Walensky to Senator Ron Johnson, the director states that “CDC consistently performs extensive data collection and analysis to detect potential adverse events and safety signals and then communicates this information to the public. For example, VAERS staff conducted assessments showing that causal associations exist between thrombosis with thrombocytopenia syndrome and Janssen’s COVID-19 vaccine and between myocarditis and mRNA COVID-19 vaccination.”
In the same letter, Walensky also stated that the CDC did not analyze certain types of adverse event reports whatsoever in 2021, despite having previously stated that they did start this tracking in February.
Kama unataka kujua kujua more about the Fake Vaccines ili uweze hata kuelimisha wengine Fuata link ifuatayo.
COMMISSION TO EXPOSE EVIL So do not be afraid of them, for there is nothing concealed that will not be disclosed or hidden that will not be made known. What I tell you in the dark, speak in the daylight; what is whispered in your ear, proclaim from the roofs. Do not be afraid of those who kill...
Nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa na wasiwasi kuhusu kuchanja chanjo ya covid 19. Hofu yangu kubwa kuliko zote ilikuwa kuganda kwa damu yangu baada ya kuchanja. Lakini Mimi ni miongoni mwa watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais
Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi
2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi
3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi
4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi
5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi
6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana baada ya wiki hivi
7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi
8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana
9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.
10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua
11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.
12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.
Nadhani chanjo Iko poa, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana kwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
Huu wenyewe ni u-zombie!Rais Samia ameweka wazi kwamba Watanzania tuna shida ya kufikiri,na ameiagiza Wizara ya Afya ifanye Utafiti ili tuweze kujua tatizo hili linatoka a na nini.Niseme wazi mkuu,tatizo la uwezo wa Watanzania kufikiri sana,na kama nothing is done,Tanzania will eventually be a Nation of Zombies,which according to me is already the case.
Wameumbuka vibaya sana, hadi wao wamechanja baada ya kusubiri kuona vifo na mazombi waliochanja covid-19 bila mafanikio. Waliochanja tulikuwepo, tupo na tutakuwepo. Watabiri hawa wa uongo kupata wafuasi ni ushahidi kuwa waumini wengi wanatapeliwa.
Nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa na wasiwasi kuhusu kuchanja chanjo ya covid 19. Hofu yangu kubwa kuliko zote ilikuwa kuganda kwa damu yangu baada ya kuchanja. Lakini Mimi ni miongoni mwa watu waliochanjwa chanjo ya COVID-19 Johnson And Johnson siku ya pili tu baada ya zoezi la kuchanja kuzinduliwa na Rais
Nilijisikia yafuatayo:
1. Nilichanjwa kwenye bega la kushoto, sehemu niliyochanjwa nijisikia maumivu ya sindano kwa siku kama 3 hivi
2. Baada ya kuchanjwa nilijisikia kama kichwa kizito kidogo kwa siku kama 3 hivi
3. Nilijisikia kutaka kupumzika nyumbani nisifanye kazi kwa siku kama tatu hivi
4. Sikutamani kufanya tendo la ndoa kwa siku kama 5 hivi
5. Baada ya wiki moja kupita nikarudi kwenye hali yangu ya kawaida na zaidi
6. Nilijisikia hamu zaidi ya kutaka kujamiiana baada ya wiki hivi
7. Nguvu za kiume ziliongezeka mara tatu zaidi
8. Nilitoa mbegu nyingi kuliko kawaida wakati wa kujamiiana
9. Nikajisikia mtu mwenye nguvu kuliko kabla ya chanjo.
10. Tangu nichanjwe sijawahi kupata kikohozi, mafua
11. Kama Koo likinikereketa ilikuwa lazima nimung'unye lozenges au nimeze antibiotics ili nipone lakini juzi koo linikereketa likatulia lenyewe bila kutumia dawa yoyote.
12. Umakini (concentration yangu na busara zangu nahisi kama vimeongezeka kuliko awali.
Nadhani chanjo Iko poa, unaweza kuja kujutia kama chanjo zitaisha bila wewe kuchanjwa. Maana kwenye foleni tulikuwa na watu raia wa Ulaya na Asia wanahitaji kuchanjwa.
So you seriously believe the C-19 so called vaccines are safe?Unajidanganya,they are deadly.Hata wazazi waliochanja are strongly adviced not to have children!The following very recent report shows how children born of mother's vaccinated by the "fake vaccines" are dying.
Mkuu usitumie nguvu nyingi sana kuwaaminisha watu kuhusu usalama Wa chanjo.
Kumbuka hata mababu zetu walipoletewa ustaarabu wa kujenga vyoo na kujisaidia chooni,
vita vya kupinga kujisaidia chooni ilikuwa kubwa kuliko hili la wapinga chanjo.
Maana walishazowea kujisaidia vichakani.
Mimi nimechoma Pfizer, hadi muda huu nipo okay...
Na hakuna tatizo lolote.
Waache waendelee kupinga,
huku wakiumwa wanakimbilia hospital kwenye dawa za kizungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.