cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jitusue unuse nguo ya ndani ya mwenye gono au chlamydia uone kama hutoacha huo uraibu kwa vundo utakalokutana nalo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jitusue unuse nguo ya ndani ya mwenye gono au chlamydia uone kama hutoacha huo uraibu kwa vundo utakalokutana nalo.
Marahaba mdogo wangu. Una buku hapo?shikamoo kaka😂
ndio 😂Marahaba mdogo wangu. Una buku hapo?
oya ubobo kaanzisha mtandao wake nimejiunga na yeye ndio Moderator 🤣 ye34nbe IamBrianLeeSnrndio 😂
ye34nbe kashakula banoya ubobo kaanzisha mtandao wake nimejiunga na yeye ndio Moderator 🤣 ye34nbe
https://www.tantalk.great-site.net
Inaishiaga njian hii, kumiliki forums sio jambo dogooya ubobo kaanzisha mtandao wake nimejiunga na yeye ndio Moderator 🤣 ye34nbe
https://www.tantalk.great-site.net
kwanza anatumia wordpress 😂Inaishiaga njian hii, kumiliki forums sio jambo dogo
kwanza anatumia wordpress 😂
ni moto lakini, akikua ataachaChangamoto ya kwanza hiyo
Stimu lake lilikuwaje mkuu?Bora bangi asee kuber ilikuwa balaa
Nilizima full, asubuhi ndio nakumbuka jana nilipewa kuberStimu lake lilikuwaje mkuu?
😊oya ubobo kaanzisha mtandao wake nimejiunga na yeye ndio Moderator 🤣 ye34nbe
https://www.tantalk.great-site.net
Hii siwezi ishia njiani nimejipanga sanaInaishiaga njian hii, kumiliki forums sio jambo dogo
Ndio nimetumia wewe unaproject ambayo ulishawahi tengenezakwanza anatumia wordpress 😂
Mkuu Katika kuunda forum ninaujuzi wa kutumia software ambazo niliwahi tumia sanaChangamoto ya kwanza hiyo
We nimjinga sana ficha upumbavu wakoni moto lakini, akikua ataacha
Mbona upo, mkuu nimekujibu kuleUboboh mtandao wako umeishia njian?
mbona mtandao wako hauna mzuka? reply zake za kidwanzi alafu mpaka uzipitshe wew🤣😊
Hii siwezi ishia njiani nimejipanga sana
Ndio nimetumia wewe unaproject ambayo ulishawahi tengeneza
Mkuu Katika kuunda forum ninaujuzi wa kutumia software ambazo niliwahi tumia sana
Mf.Xenforo, phpbb, vbulletin na simple machine
Nimeamua kuanza na WordPress sababu forum za mwanzo nilifeli kwenye hosting so nataka nipate base kisha nirukie xenforo ambayo software yake ninayo
We nimjinga sana ficha upumbavu wako
Mbona upo, mkuu nimekujibu kule
.Ndio nimetumia wewe unaproject ambayo ulishawahi tengeneza
Kazi yako kuanzisha misemo ya kidwanzi online
huyo dogo nimemshindwa, sipendi vitaKazi yako kuanzisha misemo ya kidwanzi online