Nilivyokula kuber mara ya kwanza

Nilivyokula kuber mara ya kwanza

oya ubobo kaanzisha mtandao wake nimejiunga na yeye ndio Moderator 🤣 ye34nbe
https://www.tantalk.great-site.net
😊
Inaishiaga njian hii, kumiliki forums sio jambo dogo
Hii siwezi ishia njiani nimejipanga sana
kwanza anatumia wordpress 😂
Ndio nimetumia wewe unaproject ambayo ulishawahi tengeneza
Changamoto ya kwanza hiyo
Mkuu Katika kuunda forum ninaujuzi wa kutumia software ambazo niliwahi tumia sana
Mf.Xenforo, phpbb, vbulletin na simple machine

Nimeamua kuanza na WordPress sababu forum za mwanzo nilifeli kwenye hosting so nataka nipate base kisha nirukie xenforo ambayo software yake ninayo


ni moto lakini, akikua ataacha
We nimjinga sana ficha upumbavu wako
Uboboh mtandao wako umeishia njian?
Mbona upo, mkuu nimekujibu kule
 
😊

Hii siwezi ishia njiani nimejipanga sana

Ndio nimetumia wewe unaproject ambayo ulishawahi tengeneza

Mkuu Katika kuunda forum ninaujuzi wa kutumia software ambazo niliwahi tumia sana
Mf.Xenforo, phpbb, vbulletin na simple machine

Nimeamua kuanza na WordPress sababu forum za mwanzo nilifeli kwenye hosting so nataka nipate base kisha nirukie xenforo ambayo software yake ninayo



We nimjinga sana ficha upumbavu wako

Mbona upo, mkuu nimekujibu kule
mbona mtandao wako hauna mzuka? reply zake za kidwanzi alafu mpaka uzipitshe wew🤣

dah Isa wewe kweli ni mkoloni🤣
 
Nilitapika sana na mimi nilikuwa darasa la sita hilo hilo na ze same year
 
Back
Top Bottom