Nilivyokuwa najiona mjanja, nikaishia kutapeliwa Milioni 42

Uzur wa askar wanakamua pande zote

Ww wamekukamua na hao wezi na wamekamuliwa
 
Enzi hizo ku "deep" (ku beep imekuja juzi tu)ilikuwa sh. 100 kupiga unahesabiwa dakika aisee
Na ikatoka kamba unaning'iniza simu shingoni ilikuwa unyama sana,[emoji1787],, mkuu shusha uzi wahenga tunakuelewa hawa watt waloveshwa "pampasi" hawawezi kuelewa vitabisha tu
 
Enzi hizo.kijijini unawatumia vocha ya buku 5.
Then.wanaenda.kuiuza
Hakukuwa cha mpesa Wala tigo pesa
 
Labda sio Azania ,pugu na shule zinazofanana na hizo sisi simu ikiibwa hakuna ku report popote utajua namna ya kuitafuta,Kila mwanafunzi wa advance ruksa kuwa na simu,ikiita darasani teacher anachukua weka simu silence ,na o level waliokuwa hostel wanapitia mwanya huo kuwa na simu,hakuna kuhesabiwa,darasani kuingia ni hiari,pared wanahuhuria form six na form four wakiwa kwenye mitihani,Kila mwanafunzi utamkuta kwenye chimbo anapiga msuli(soma Kwa bidii),unapishana na teacher unaenda tution yeye anaingia shuleni ,Kuna wanafunzi wanakuja na magari wakitoka nyumbani haswa week end na wanayapaki karibu na gari la mkuu wa shule,naongelea 2000-2006
 
Mwanzoni wa miaka ya 2000 ni kuazia lini hadi lini?

Anyway hii story sio kuwa ni ya uongo kwa sababu ya bei ya chakula pekee, kukopesha wanafunzi 5000 wakulipe 15000 ndio niliposema uongo umekithiri, ila unaweza kuamua kuamini kama unataka sio kesi
Mwanafunzi anayekopeshwa yeye hafanyi biashara akirudi baada ya likizo analipa mbona ni jambo la kawaida
 
Kwel man anatuzungusha na kistory kisicho na maana ili tumuone mjanja tusahau yy n mshamba na wajanja walmchapa mil 40Β£
 
shule nzima uliwezaje kuhakikisha Kila mwanafunzi Hana simu? Mtandao kwenye kijiji ilipo shule yenu ulikuwepo? Mimi Form one 2000 na nilikua na simu, simu zilikuwepo Ila chache sana
 
shule nzima uliwezaje kuhakikisha Kila mwanafunzi Hana simu? Mtandao kwenye kijiji ilipo shule yenu ulikuwepo? Mimi Form one 2000 na nilikua na simu, simu zilikuwepo Ila chache sana
Sema wenzetu wengine mlikuwa wakishua unajua hii miaka unanunua simu unaweka ndani unatafuta hela kununua line(simu card) nakumbuka nilikuwa primary shule nzima simu alikuwa nayo mwalimu mmoja tu limche la sabuni lilikuwa likaa kwenye gari tunaenda kulichungulia tu kwenye vioo
Sasa akaja kuibiwa sijui ni pupils ndio waliipiga staff wenzie shule nzima tuliitwa assembly tukatangaziwa hiyo mikwala yake sasa yaani uuuuwiiiiii mixer kutishia kwa mganga lkn aliambulia hamna!!!
 
nawaomba asilaumiwe huyu ndo uwezo wake kufikiria umeishia hpa
 
Na ilikuwa haiitwi vocha iliitwa "dola" [emoji1787] ...nikikumbuka zile shiva jero jero nachoka zaidi enzi za buzz ni bomba , ...simu iliitwa longa longa ......
Airtel sijui walikuwa na jina gani aisee, kabla hawajatulia na jina lao hili walikuwa wanabadili badili majina ya brand zao kila mara. Mambo ya buzz ni bomba aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
shule nzima uliwezaje kuhakikisha Kila mwanafunzi Hana simu? Mtandao kwenye kijiji ilipo shule yenu ulikuwepo? Mimi Form one 2000 na nilikua na simu, simu zilikuwepo Ila chache sana
Ht mm mwaka huo form one na nilikuwa namiliki simu na nimedumu nayo mpk chuo ndio nikabadilisha. Na hiyo simu nilipewa na mzazi.
 
Na ilikuwa haiitwi vocha iliitwa "dola" [emoji1787] ...nikikumbuka zile shiva jero jero nachoka zaidi enzi za buzz ni bomba , ...simu iliitwa longa longa ......
Airtel enzi hizo ni celtel jamani hahahhahahaha
 
Punguza ubishi we jamaa, walimu tumeona vingi
 
Mleta uzi km angesoma shule yenu pengine hu uzi tusingeufaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…