Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Wadau kwani haiwezekani uzi kufutwa maana kusudi lake halijatimiziwa na haielekei kutimizwa zaidi zaidi unatia hasira tu kwa wale wanaotaka kujifunza halafu story inaishia kati bila taarifa yoyote.

Mnaonaje mods wakafuta nyuzi kama hizi wakianza na huu.

NAWASILISHA
 
Mambo mengine ni ukatili tu, sasa ndo nini hii!
 
@konda msafi nadhani bado hajakumbana na changamato za kwenye Maboda, kwa hiyo hawezi kuelewa hii michezo, ila kikubwa mtu mzuri ni yule anayejipa nafasi ya kujifunza na sio kujifanya unajua kila kitu
Sasa je unamaliza story au umalizi
 
Mimi pia natafuta kazi msaada wenu
Naitwa kassim
Naishi dsm mbagala
Yoyote hata kuuza chips na zingine zisizo na elimu

0714945058
 
Mimi pia natafuta kazi msaada wenu
Naitwa kassim
Naishi dsm mbagala
Yoyote hata kuuza chips na zingine zisizo na elimu

0714945058
U mwaminifu? Usijetuachia manyoya! Tuanzie hapo
 
Mkuu hapa Duniani Hakuna linaloshindikana Ni kweli yote hayo yapo but aliyakwepa na sio kila Sheria inakukamata.Fata story hayupo Cort.
 
Poleee umeandika kwa uchungu zaidi ya ule wa Labor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…