Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nia yangu ilikuwa kusema jinsi yeye yeye alinishobokea na yeye yeye aliniavoid. Pajama ni linguo likubwa likubwa tu halina issue.

Tumuite Keegan aje aendeleze mastori.

Haujaelewa wanachotaka ueleze hustle ulizofuata ukisema ulienda tu kutembea wana hawakuelewi wakati bado wanatafuta tobo wewe unaleta story za pajama mixer kutembea wanaona howcome
 
Haujaelewa wanachotaka ueleze hustle ulizofuata ukisema ulienda tu kutembea wana hawakuelewi wakati bado wanatafuta tobo wewe unaleta story za pajama mixer kutembea wanaona howcome
Sikuenda kuhustle nilienda kutembea, au siruhusiwi kukoment kama sikuenda kuhustle? Mi nimehadithia maana nilishangaa tu mtu kunitaka maongezi halafu baada ya hapo akafunga vioo, nikajiongeza kuwa ni ule ule utamaduni wa wabongo kuogopana tukikutana nje.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ khumbuuu!!!
 
tuletee ushuhuda wako mrembo humu ndani.
 
tuletee ushuhuda wako mrembo humu ndani.
Kiukweli sina ushuhuda wowote wa msingi, zaidi nilivyosoma stori ya mtoto wa Makonda nami nikakumbuka tu. Ni kawaida mtu akizungumzia kitu unachoweza kurelate.

Sina stori maana nilienda kutembea/kupumzika, hivyo kazi ni kula kulala na kuzurura, Sina cha msingi cha kuhadithia mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…