Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nimejifunza katika maisha unapaswa kuwa na uthubutu na pia uwekezaji[emoji123][emoji3590][emoji1666][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mm sikua najua raha yakr aisee siku 1 nilijaribu toka ifakara to rock city acha kbs yaani..raha mno! Sema inataka mapene

Afu Roadtrip inakua tamu kama hamjazidi watatu hivi, huku mko kwenye hata defender ina tent lenu juu, ndani mna soft drinks plus maboksi ya ceres kibao, unagonga huku unachungulia grants zako kwa jicho la mafanikio, maji katoni kadhaa, ngoma inaanzia songea inapumua kidogo makambako unachoma kuku kizushi then inajaza mafuta, gari inawekwa kwa mexisons inapigwa povu kiaina, ikikamata highway inakuja kusimama Dom kidogo, inanunua wine za bei ya jumla, inaamsha kwenye nyama bahi kidogo unakula mbuzi na whisky funda mbili tatu, ngoma inaenda kulala manyoni kuna lodge za maana, hapo asubuhi inakamta supu ya kuku wa kienyeji then inatembea vumbi vumbi inakuja kula Tinde hapo unapumzika gari unafungua milango yote ipate hewa vizuri, baadae. Ikitoka tinde ngoma inasound hadi kahama unashangaa phantom kidogo unapita masumbwe, Ushirombo, Runzewe ngoma inapandisha Bwanga, inakula geita unaenda kulala hapo kwanza unasoma upepo haya mbele utaendelea mwenyewe
 
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Hahah imagine kati ya mambo yote wameona pajama tu. Nafahamu sana walichokuwa wanataka nami sijataka kuwapatia!

Mpigie simu keagan aje basi.....
keagan kasusa sijui........


em endelea na story yako bana tusimulie mazuri ya huko kitu gani ulikipenda sana huko??


kitu gani kilikuboa huko......???


tuende na sisi kihisia....Bwana keagan anatuchelewesha

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Utaniponza kwa hakika 😀 Tuvute subira tumsubiri Mtoto wa mstaafu arudi.
 
Mkuu endelea basi na mambo ya pajama, maana keagan kakimbia, wewe endelea tu pale mlipopishana umevaa pajama lako mwenyewe unaenda dukani hauna habari vipi ulivuka barabara na pajama lako au ilikuaje?
Hahah msubiri keagan atakuja, kuwa mvumilivu ndugu. Halafu mimi sikwenda dukani, sikwenda mbali wala sikutoka nje, nilikwenda floor ya chini. Nachelea kusema haukunielewa.
 
Hawa jamaa huwaga wakisifiwa wanakula kona...
inatakiwa wamwage story kama bujibuji....
bujibuji akilianzisha mpaka mnakoma na story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…