Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Dubai UAE pesa still upo ukiwa na mtaji , Connection na uaminifu..
Biashara ya magari used,manunuzi ya scrap cars kukata na kuuza vipuri bado yanalipa bongo /Africa.
Kuna bidhaa nyingi Sana kule Abc ninazo ninasubiri kujilipua tuuuu...
 
Ila wewe umezidi kusafiri au unauza ngada mkuu[emoji850][emoji850]..mara niko india mara abudhabi[emoji1787][emoji1787]! Uje kwangu sasa...nikienda sana naishia sirari .hahha..nipe uzoefu wa Kampala mkuu...nzuri sana kutembea aisee

Chelewa kupata pesa, pata faida kidogo, usijaribu habari za unga au kutapeli, wauza ngada na matapeli mwisho wao hua ni mbaya sana sana,
 
Chelewa kupata pesa, pata faida kidogo, usijaribu habari za unga au kutapeli, wauza ngada na matapeli mwisho wao hua ni mbaya sana sana,
Unga kibongo bongo sio ukiotewa unakula nyundo nyingi,Unga inchi Za ulaya kidogo afadhali.
 
Hapana kabisa hizo...hatari sanA..namfikiriaga shamim nakosa raha

Mwisho wa hao watu hua ni mbaya mno, wakati wabongo wengi wanaanguka kwenye unga ilikua sababu hawana mitaji, ni afadhali ukifika south wewe tafuta apple zipo wapi, komaa hata na mzigo wa kuja kuuza khmamwala zambia unapiga kwa mwezi trip mbili unaju kingine kipi cha kufanya, watu sijui hawaonagi hizo fursa wakati hua zipo nje nje tu
 
Unga kibongo bongo sio ukiotewa unakula nyundo nyingi,Unga inchi Za ulaya kidogo afadhali.

Afadhali ukachukue nguruwe sumbawanga ukawauzie watu wa mbeya wala viti moto kuliko hayo madude, mwisho wake hua ni mbaya sana, utatamba kwa muda tu wana kibao wanatumikia vifungo nchi mbali mbali na zaidi utaanza kua muuzaji, baadae unaanza kutumia unaishia kau teja au jela kabisa
 
Tupate wadhamini kidogo ....

Ama stori/hustle za jamaa angu mnaija Dubai ,day one anaingia,ubaguzi wa Philippines ,Polisi wa Dubai,maisha ya Sharjah na fujairah, kuwekwa kizuizini Qatar airport jijini doha...kupata pesa kuanza biashara ya kuuza spare parts used from Dubai to Zanzibar then mpaka kufungua maduka mawili Dar es salaam ..
Kukutana na Recho msanii ,Prof Jay...na wengineo ...kutapeliwa 250 million na wabongo ...
Kuanza from scratch ...
Mpaka kuja kutoboa kupitia vifaa vya simu from China...
The guy is real struggle...

Sasa nakuwa mkuda likes kumi tuu Tuwasikilize wadhamini 😂😂😂😂😂😂
 
UMESHASEMA DADA WA KICHAGA. FULL STOP
 
Hahhhhaaa ilishindwa hata kufanya convention kwenye simu kujua kwcha moja sawa na tsh ngapi? Siku nyingine usivuke boda bila kuchange hela mzee watu wale wKiwa upande wao wanKuwa wasumbufu balaa. Ila ungekuwa upande wa tz ungepewa ushirikiana hata na watoa change wa kibongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…