Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Mkuu pole, najifunza sana habari hii. Japo nilisafiri majuu bila misukosuko kama hii yako lkn naona kweli bongo maisha ni kupambana. Ulaya ni mteremko sana. Nilikwenda mwenyewe kwa ramani tu.

Wakuu naanza kusoma michango yenu dada. Story tamu jamaa nitag, ukitaka nihagi..lkn usiniduuu

Acha kudanganya watu hiyo ulaya ya mteremko ni ipi? Only uende kama mwekezaji mwenye mtaji au expert hapo tutakuelewa lakini mteremko kwa kua umefuga virasta na kuvizia vibibi vya beach vinavyokuja kwenye sex tourism hapo hapana
 
Huu uzi ungeuanzisha ijumaa mapema dahh ss weekend ndo basi tena
 
Mkuu niingilie story yako inamaana stand ya harare mliyoshukia inaitwa Roadpot haujutoka nje hata kidogo?
 
Mleta mzi mjanja sana..uliishawahi kwenda kanisani. Unakuta mtu anauza dawa, anaaza na manenooooo mazuriii..then anagawa bure huduma anayotoa, baadae mnaanza kuchangia..

Huu itaishia ukitaka muendelezo wa stori utume elfu 3000
 
Mleta mzi mjanja sana..uliishawahi kwenda kanisani. Unakuta mtu anauza dawa, anaaza na manenooooo mazuriii..then anagawa bure huduma anayotoa, baadae mnaanza kuchangia..

Huu itaishia ukitaka muendelezo wa stori utume elfu 3000
Hapana Mkuu, siwezi kufanya hivyo, tena nitajitahidi mpaka kesho iwe imekwisha.
 
Back
Top Bottom