Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee kweli yaani wanapunguza makali na kutupa faraja mzee mzima kapewa kampani flani na kanya mbaka ukaona kama yupo bongo.Wanawake wanaongeza sana utamu wa matukio ya kimaisha.
ok..Fanya yako ndugu yangu wanaotaka kufanya umalaya waache. Kila mtu apambane na hali yak
Hatuzuiwi...zamani ilikua ninnadra sana mwanamke kumiliki ardhi...hapa niko kukumbushana na wanawake wenzangu mkuu tusiishie kununua wigs .relaxKwani mnazuiwa kumiliki?.
Ukipambana ukawin maisha unaweza kuwa na vyote uvitakavyo pasi kuhamasishwa.
Page ya 268 MkuuSehemu ya 10 iko page number ngap wadau wengine majukumu meng hatuna mda wa kupekua
Binafsi umiliki wa mali au aridhi najaribu kuweka kijana wa kike/kiume wote wamiliki pasipo kusahau mahusia ya maandiko Biblia ambayo ndiyo msingi wa maisha ya binadamu.Hatuzuiwi...zamani ilikua ninnadra sana mwanamke kumiliki ardhi...hapa niko kukumbushana na wanawake wenzangu mkuu tusiishie kununua wigs .relax
Ya Mungu apewe Mungu..na ya Kaisari.....Binafsi umiliki wa mali au aridhi najaribu kuweka kijana wa kike/kiume wote wamiliki pasipo kusahau mahusia ya maandiko Biblia ambayo ndiyo msingi wa maisha ya binadamu.
Mkuu nilikuomba uweke links za episodes pale juu inaturahisishia.Page ya 268 Mkuu
Kanyaga twende..Page ya 268 Mkuu
We jamaa vijiji vya nchi yote hii unaviju wewe,...wewe ndio kigogo nini?Unakuta mtu anawaza minada ya chita, Lupilo, mgeta, itete, idete, kikurukutu, mavimba, na namawala anarudi mjini ifakara akishaingia kampala akila nyama choma na bia maisha kwisha maisha haya balaa sana
Nakubaliana na wewe Chief.Sehemu ya 10 iko page number ngap wadau wengine majukumu meng hatuna mda wa kupekua
Inaitwaje mkuu? nipe linkmkuu upo?? daah story yako ya maisha..huwa naikumbuka saaana..kuna vitu vya kujifunza..kula tano mzee
Huyu pia anaitwa KANYA na yupo south Africa kwa mujibu wa FACEBOOKPage ya 268 Mkuu
Sorry mkuu, ni post namba 268 sio page!Page ya 268 Mkuu