AccomplishedEntrepreneur
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 507
- 878
Remember me too, darling! I niid to be piemudii tooWeka akiba ya maneno.
Wenye uhitaji nishawawekea story Pm.
Ziite fix ila wapo wanaosoma huko inbox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Remember me too, darling! I niid to be piemudii tooWeka akiba ya maneno.
Wenye uhitaji nishawawekea story Pm.
Ziite fix ila wapo wanaosoma huko inbox
Saraha, Fundi Samwel, Mzungu Kichaa, Bongo zozo hiyo industry ya burudani tu, kwenye uwekezaji ndio usisemeWapo wengi tuu mfano hai Caristo wa Samaki samaki katoka Spain kaja kutafuta Maisha Bongo
Dah umenichekesha mkuuJiwe lingeendelea kuwepo, wengi mgekimbia nchi pamoja na kwamba lilikuwa linawapumbuza muonekane lina wajali kumbe ndio linapiga pini ya ukakika
Kabisa aisee, mimi niko vizuri saana kwenye imagination power, niko na ma script nyingi natafuta connection na Idrissa Elba tufanye jambo letu.wa bongo movie? 🤣 🤣 zile mnazoandika sio movie tafuteni nina lingine tu maana ni ujinga mtupu
haina kwereKabisa aisee, mimi niko vizuri saana kwenye imagination power, niko na ma script nyingi natafuta connection na Idrissa Elba tufanye jambo letu.
Daah!! Aiseee!!Huyu pia anaitwa KANYA na yupo south Africa kwa mujibu wa FACEBOOKView attachment 1758662
Mkuu usijal tamtafuta kwa muda wangu hawez kunitus mtoto mdogo huyu
Utacheka ufeInaitwaje mkuu? nipe link
Ila mamen mna kazi aiseHuyu pia anaitwa KANYA na yupo south Africa kwa mujibu wa FACEBOOKView attachment 1758662
Nature mkuuIla mamen mna kazi aise
Kumbe Tz tuko juu!!Jamaa yangu mmoja akiwa na miaka kumi na 9 from Nigeria Alijilipua Uk 1999 .kipindi Cha baridi(winter season) alienda Kama anaenda Coco Beach ...the journey was tough amejilupua Qatar ,Dubai ,south Africa ,Congo now yupo bongo .. Ila ametoboa nowadays maisha Safi.
PotezeaMkuu usijal tamtafuta kwa muda wangu hawez kunitus mtoto mdogo huyu
Njoo tulale dWhen will the next episode (17) drop?..ili tulale kabisa wengine kama sio leo.
Naaaaam anshaaaam!!Kifiro ni suna kwa mtoto wa kike kama mimi.
Yapo ya zaidi.....ngoja amalize
Duh aiseee. Kumbe kuna hadi video?Heheheheeee pele limepata mkunaji, Asante mpenzi kwa msisitizo nimescreeshot hii comment yako manake si mchezo hao watu kama usemavyo ushindani Ni mkubwa hudanganyi hebu nijisogeze piemuni rasmi😍😍
Ulipotelea wapi Belinda?? Nimejikuta nakumbuka siku za nyuma kidogo zenye wakongwe kongwe huuuh!!Nakubaliana na wewe Chief.
Keagan Paul fanya updates kwenye post yako ya kwanza, tafadhali mkuu.
Ongezea sehemu ya 10 kuendelea.