Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

wa bongo movie? 🤣 🤣 zile mnazoandika sio movie tafuteni nina lingine tu maana ni ujinga mtupu
Kabisa aisee, mimi niko vizuri saana kwenye imagination power, niko na ma script nyingi natafuta connection na Idrissa Elba tufanye jambo letu.
 
Huyu pia anaitwa KANYA na yupo south Africa kwa mujibu wa FACEBOOKView attachment 1758662
Daah!! Aiseee!!
d5b50a69450a7070351be3977e3c083a.gif
 
Asante mkuu tulianza pamoja sema bando lilikata ila baada ya kuvuja jasho Leo nimerudi hewani... Naona Uzi unazidi kunoga sana.. Hongera mkuu tunajifunza mengi sana pia utabarikiwa sana kwa huu ushuhuda coz pamoja na weakness za hapa na pale lakini unantangaza Mungu... Tuko pamoja
 
Jamaa yangu mmoja akiwa na miaka kumi na 9 from Nigeria Alijilipua Uk 1999 .kipindi Cha baridi(winter season) alienda Kama anaenda Coco Beach ...the journey was tough amejilupua Qatar ,Dubai ,south Africa ,Congo now yupo bongo .. Ila ametoboa nowadays maisha Safi.
Kumbe Tz tuko juu!!
 
Heheheheeee pele limepata mkunaji, Asante mpenzi kwa msisitizo nimescreeshot hii comment yako manake si mchezo hao watu kama usemavyo ushindani Ni mkubwa hudanganyi hebu nijisogeze piemuni rasmi😍😍
Duh aiseee. Kumbe kuna hadi video?
 
Back
Top Bottom