Mkubwa nina kama Nyundo 2 hivi na misumali kadhaa sijakanyaga mitaa ya Pta. Vipi wale wamasai waliojazana mitaa ya Bosman karibu na park station bado wapo? Mara ya kwanza kuwaona wamasai hapa kaburu ilikuwa ni mitaa hiyo. Afu hawa jamaa ninachowapendea wao unga, bangi usiwatembezee, kazi au shughuli yao kubwa ni kusuka. Wakikamata kichwa mkongo mwenyew anangoja. Wanachoniuzi wakitembea wanakuwa wengi wengi kama mabata. Mkubwa ukimaliza stori zako karibu jozi kwa watoto wa "mbwa mwitu" uone tunavyowakalisha wazawa, na masela koko kutoka nchi Mbali mbali za East, South, North and West. Sisi ndo wabongo original kutoka Mburahati to Mabibo ilipoanzia komando yosso, Red Soldier. Wape hi watani zangu wote watoto wa kinondweni kina baba ubaya, marashi ya pwani, sefu kalawa nk, yu no wari am say!!