Mkuu pole, najifunza sana habari hii. Japo nilisafiri majuu bila misukosuko kama hii yako lkn naona kweli bongo maisha ni kupambana. Ulaya ni mteremko sana. Nilikwenda mwenyewe kwa ramani tu.
Wakuu naanza kusoma michango yenu dada. Story tamu jamaa nitag, ukitaka nihagi..lkn usiniduuu
Nenda hata Zanzibar mkuu ni nje ya TanganyikaKesho ngoja namimi nikafungue account ya benki.....nianze safari sjui lakini naenda wap🤷♂️
Mkuu Keagan Paul nasinzia, kwa niaba yangu sitisha kwa leo kesho nayo ni siku!Mkuu nimeshakujibu kwenye Muendelezo
Tulifika Mkuu, ila hatukwenda mbali sana, tulikwenda sehemu kupata Chakula na kubadili fedha kupata RandMkuu niingilie story yako inamaana stand ya harare mliyoshukia inaitwa Roadpot haujutoka nje hata kidogo?
Mkuu muda si mrefu itaendeleaMkuu nimenunua popcorn ndoo 3 nakula huk nasoma story had muda wa daku uishe
Hapana Mkuu, siwezi kufanya hivyo, tena nitajitahidi mpaka kesho iwe imekwisha.Mleta mzi mjanja sana..uliishawahi kwenda kanisani. Unakuta mtu anauza dawa, anaaza na manenooooo mazuriii..then anagawa bure huduma anayotoa, baadae mnaanza kuchangia..
Huu itaishia ukitaka muendelezo wa stori utume elfu 3000
Ninyi mnatembea na atm kwenye viuno
Watu tunasoma kimya kimyaUzi una viewer huu
HatarWatu tunasoma kimya kimya