Hao mamanzi wanazinguaga kinyama yanWw ni mmoja ya watu mlioharb huu Uzi na Dada zako hao baada ya kuanza kuwasifia ujinga kwahy mnataka muharb Uzi tuwachekee kwa kuwaogopa au ukiweka mguu tunaweka shoka
[emoji23][emoji23] ani maisho shwashu se?..Mmeku[emoji23][emoji23] leka naave
[emoji23][emoji23] veikumba mbatu dhau?[emoji23][emoji23] ani maisho shwashu se?..
Ngasuva navi mshiki..
Nipo mamaangu, bado tunapambana.Mkuu upo?
Nimefurahi kukusoma
Ubarikiwe!
No,kuna wadada humu wanajielewa na wanaheshimu. na kama kutaniana inakuwa kidogo kila mtu anaendelea na ishu zake.
Kuna mmoja ni mjuaji sana kila thread yenye traffick kubwa yupo na anastori nyingi ambazo ukizisoma ni za kuunga tu ile awe relevant na kila uzi humu jf..Personally nimemgu-ignore/block.
Mimi nimewapiga block..yaani kila kitu wana experience nacho..maneno mengi,kila nyuzi za life based experience wapo na stori zao za kubumba.
Nimeharibu wapi,mbona kwenye huu uzi mimi ni msomaji zaidi? Nasoma zaidi kuliko kuandika.Ww ni mmoja ya watu mlioharb huu Uzi na Dada zako hao baada ya kuanza kuwasifia ujinga kwahy mnataka muharb Uzi tuwachekee kwa kuwaogopa au ukiweka mguu tunaweka shoka
Ha ha ha ha
TUTOE TU TAMKO:
MALAYA WA JF NI MARUFUKU KUVAMIA NYUZI SERIOUS KAMA HIZI.
UMALAYA WENU UISHIE HUKO HUKO MMU.
Pumba.fuuuu zenu!
Umesema wanawake lakini.nikajua Ni wanawake tunaochati humu including meNo,kuna wadada humu wanajielewa na wanaheshimu. na kama kutaniana inakuwa kidogo kila mtu anaendelea na ishu zake.
Kuna mmoja ni mjuaji sana kila thread yenye traffick kubwa yupo na anastori nyingi ambazo ukizisoma ni za kuunga tu ile awe relevant na kila uzi humu jf..Personally nimemgu-ignore/block.
No,nilikosea sio wanawake wote..sorry kwa hilo.Umesema wanawake lakini.nikajua Ni wanawake tunaochati humu including me
Kuna nyuzi Kama hizi ndefu niliwakataa waziwazi mzee wanamatusi hatari Mara wanakuja PM wanakushambulia kwa matusi eti Kama huna hela kaa kimya Yan Hawa Malaya n hatari Sana humu yupo mmoja anajidaigi kuwa anajua kutafuta kumbe ndo kubwa lao humu nasema PUMBAVU zake ajifunze
Mbona mnakwama kwama alie simulia kisa chake bila kukwama ni holy holm
We Jamaa Ndo Mwenye akili kuliko wote wanao comment huku.Endelea ku upadate hii comment
Mmeku[emoji23][emoji23] leka naave
[emoji23][emoji23] ani maisho shwashu se?..
Ngasuva navi mshiki..
[emoji23][emoji23] veikumba mbatu dhau?
Samahani mheshimiwa sanaMmeanza kutuongelesha kirombo sio...
Samahani mheshimiwa sana
Mi hata sijui kulink aisee ila mtafute huyu mkuu ndo utaukuta au ingia jukwaa la hoja mchanganyikoMkuu nipe list ya stori zilizowahi kukimbiza humu JF hata za zaman before ile ya KHUMBU maana zamani nilikuwa sifatili sasa huu wa PAUL naona speed yake ya kuandika imeanza kuwa na mashaka.
Pia uniambie nyuzi,hizo zinapatikana jukwa lini.
Asante