Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Kuna nyuzi Kama hizi ndefu niliwakataa waziwazi mzee wanamatusi hatari Mara wanakuja PM wanakushambulia kwa matusi eti Kama huna hela kaa kimya Yan Hawa Malaya n hatari Sana humu yupo mmoja anajidaigi kuwa anajua kutafuta kumbe ndo kubwa lao humu nasema PUMBAVU zake ajifunze
Tabia hii mbona inasitajabisha sana, umeongea vyema pia tungane kukemeaa mambo haya binafs yanakera sana
 
konda msafi katika pitapita zangu humu JF, nimegundua kuwa wewe ni miongoni mwa watu wenye utulivu, busara na huwa haupanic wala kujibu kwa lugha ya matusi regardless how many times watu wana kuharrass hasa kipindi kile cha story yako ya kumbu.
Bwana konda, binafsi naamini wewe upo sahihi kwa mtazamo wako na pia bwana keagan yupo sahihi kwa story yake....unapoanza kuweka question mark katika kila stage ya story ya jamaa unakuwa unakosea kwa namna moja ama nyingine..sio lazima aelezee kila kitu utakuta story inajaa..pengine huko kote alikopita na kwenye vizuizi alikutana na hawa askari na akawapa chochote kitu..

sasa akianza kuweka kila tukio itakuwa ni useless..story itajaa marudio yasiyo ya msingi..Basi kama ni hivyo, atuelezee pia aliwezaje kupewa sehemu ya kuishi na kupewa access ya vyombo vya kanisa kabla hawajajiridhisha na uraia wake wa halali...

kuna muda inabidi tufunike kombe mwanaharamu apite au tujiongeze tu..Ni kama vile unaoneshwa movie halafu staring anaumwa sana sana..badae part two unakuta ni mzima ameendelea na mishe zake..utasema amekufa na kufufuka? Hapana, jibu ni kuwa inabidi ujiongeze kuwa alipona, mambo ya kujua aliponaje huenda hayapo kwenye script ya director ili kuepusha kuirefusha movie unnecessarily..

Vivyo hivyo kwa Bwana keagan,,amesema amefika lesotho salama basi tuna assume kuwa kuna vikwazo alikutana navyo akavivuka...

mkuu..hebu kuwa mpole tusubilie story.​
 
Mwanaume hajibishani na mwanamke zaidi ya mara moja.piga kimya kama vipi.

Na wewe unachangia kuharibu uzi kama unavyolalamikia wengine kuharibu uzi.

Tu focus kwenye point za msingi ili wengine wajifunze.
Kama hakuna point tuwe wasomaji inatosha.
Kama kujazia nyama tufanye kama anavyofanya konda msafi inasaidia kujifunza kitu.
Ww ni mmoja ya watu mlioharb huu Uzi na Dada zako hao baada ya kuanza kuwasifia ujinga kwahy mnataka muharb Uzi tuwachekee kwa kuwaogopa au ukiweka mguu tunaweka shoka
 
Mkubwa fanya tuendelee tujue mlivyo rudi vipi ukaribu na huyo demu uliaffect mahusiano na KANYA?
 
Hizo permit za ukimbizi mbona mara kibao tu wazee wanazichana. Mfanye tukio halafu wawakute na hizo karatasi, mbona zitachanwa na kusindikizwa kwa buti la matakoni kuingia kwenye pira.


Permit ikiwa siyo fake (mpango kanjanja) police hawachani mkuu,ndio maana nimekwambia inakutoa mahakamani.

Mfano umefanya kosa la kawaida ambalo lina dhamana mahakamani,moja ya masharti ya dhamana kwa foreigners ni lazima uwe na asylum permit au passport bila hivyo unaweza usitoke kwa dhamana hata kama umetimiza masharti mengine,umenisoma mkuu?
 
konda msafi katika pitapita zangu humu JF, nimegundua kuwa wewe ni miongoni mwa watu wenye utulivu, busara na huwa haupanic wala kujibu kwa lugha ya matusi regardless how many times watu wana kuharrass hasa kipindi kile cha story yako ya kumbu.
Bwana konda, binafsi naamini wewe upo sahihi kwa mtazamo wako na pia bwana keagan yupo sahihi kwa story yake....unapoanza kuweka question mark katika kila stage ya story ya jamaa unakuwa unakosea kwa namna moja ama nyingine..sio lazima aelezee kila kitu utakuta story inajaa..pengine huko kote alikopita na kwenye vizuizi alikutana na hawa askari na akawapa chochote kitu..

sasa akianza kuweka kila tukio itakuwa ni useless..story itajaa marudio yasiyo ya msingi..Basi kama ni hivyo, atuelezee pia aliwezaje kupewa sehemu ya kuishi na kupewa access ya vyombo vya kanisa kabla hawajajiridhisha na uraia wake wa halali...

kuna muda inabidi tufunike kombe mwanaharamu apite au tujiongeze tu..Ni kama vile unaoneshwa movie halafu staring anaumwa sana sana..badae part two unakuta ni mzima ameendelea na mishe zake..utasema amekufa na kufufuka? Hapana, jibu ni kuwa inabidi ujiongeze kuwa alipona, mambo ya kujua aliponaje huenda hayapo kwenye script ya director ili kuepusha kuirefusha movie unnecessarily..

Vivyo hivyo kwa Bwana keagan,,amesema amefika lesotho salama basi tuna assume kuwa kuna vikwazo alikutana navyo akavivuka...

mkuu..hebu kuwa mpole tusubilie story.​
Naomba Link ya story ya kumbu
 
konda msafi katika pitapita zangu humu JF, nimegundua kuwa wewe ni miongoni mwa watu wenye utulivu, busara na huwa haupanic wala kujibu kwa lugha ya matusi regardless how many times watu wana kuharrass hasa kipindi kile cha story yako ya kumbu.
Bwana konda, binafsi naamini wewe upo sahihi kwa mtazamo wako na pia bwana keagan yupo sahihi kwa story yake....unapoanza kuweka question mark katika kila stage ya story ya jamaa unakuwa unakosea kwa namna moja ama nyingine..sio lazima aelezee kila kitu utakuta story inajaa..pengine huko kote alikopita na kwenye vizuizi alikutana na hawa askari na akawapa chochote kitu..

sasa akianza kuweka kila tukio itakuwa ni useless..story itajaa marudio yasiyo ya msingi..Basi kama ni hivyo, atuelezee pia aliwezaje kupewa sehemu ya kuishi na kupewa access ya vyombo vya kanisa kabla hawajajiridhisha na uraia wake wa halali...

kuna muda inabidi tufunike kombe mwanaharamu apite au tujiongeze tu..Ni kama vile unaoneshwa movie halafu staring anaumwa sana sana..badae part two unakuta ni mzima ameendelea na mishe zake..utasema amekufa na kufufuka? Hapana, jibu ni kuwa inabidi ujiongeze kuwa alipona, mambo ya kujua aliponaje huenda hayapo kwenye script ya director ili kuepusha kuirefusha movie unnecessarily..

Vivyo hivyo kwa Bwana keagan,,amesema amefika lesotho salama basi tuna assume kuwa kuna vikwazo alikutana navyo akavivuka...

mkuu..hebu kuwa mpole tusubilie story.​
Sawa mkuu haina shida. Acha tupate utamu wa stori, kweli hayo mengine tukitaka kuyadadisi sana yanaweza kumtoa kwenye reli bwana Keagan. Ila kama itampendeza binafsi ningemuomba aelezee aliwezaje kutoka SA na kurudi tena wakati visa imeisha. Mzee Fohadi hiki ni kipengele muhimu sana. Kuwa na expired visa mbele ya immigration officer ni sawa na kulala chumba kimoja na chatu kama alivyosema mdau mmoja hapo juu.
 
Naomba Link ya story ya kumbu
Link sijui kuweka ila fungua hili jina konda msafi then click upande wa msg utaona posts zake kibao..tafuta post yenye komenti ya 'jinsi penzi la mtoto wa kizulu durban lilivyotaka kunitoa roho' (sina uhakika kama hiyo tittle nimeiandika vizuri ila inafanana na hiyo)..Ni bonge moja la story.
 
Permit ikiwa siyo fake (mpango kanjanja) police hawachani mkuu,ndio maana nimekwambia inakutoa mahakamani.

Mfano umefanya kosa la kawaida ambalo lina dhamana mahakamani,moja ya masharti ya dhamana kwa foreigners ni lazima uwe na asylum permit au passport bila hivyo unaweza usitoke kwa dhamana hata kama umetimiza masharti mengine,umenisoma mkuu?
Sawa mkuu, wala tusibishane sana. Acha tuenjoy stori ya Keagan.
 
𝗬𝗔𝗡𝗜 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗦𝗜𝗝𝗨𝗜 𝗪𝗔𝗣𝗢𝗝𝗘! 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗗𝗛𝗔𝗡𝗜 𝗠𝗧𝗨 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗘 𝗡𝗜 𝗞𝗨𝗔𝗡𝗗𝗜𝗞𝗔 𝗧𝗨 𝗔𝗦 𝗜𝗙 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗟𝗜𝗣𝗔...𝗛𝗔𝗧𝗔 𝗔𝗞𝗜𝗪𝗔 𝗔𝗡𝗔𝗔𝗡𝗗𝗜𝗞𝗔 𝗠𝗔𝗥𝗔 𝗠𝗢𝗝𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗜𝗞𝗨 𝗡𝗜 𝗣𝗢𝗔 𝗧𝗨...𝗛𝗔𝗧𝗔 𝗔𝗞𝗜𝗔𝗠𝗨𝗔 𝗞𝗨𝗧𝗢𝗞𝗨𝗔𝗡𝗗𝗜𝗞𝗔 𝗠𝗜 𝗡𝗔𝗢𝗡𝗔 𝗣𝗢𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗪𝗔𝗡𝗔𝗝𝗨𝗔 𝗞𝗨𝗞𝗘𝗥𝗔 𝗦𝗔𝗡𝗔...𝗠𝗔𝗥𝗔 𝗠𝗨𝗠𝗞𝗘𝗕𝗘𝗛𝗜 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗨𝗦𝗜 𝗝𝗨𝗨
@𝗞𝗲𝗮𝗴𝗮𝗻 𝗽𝗮𝘂𝗹
𝗞𝗮𝗺𝗮 𝘃𝗶𝗽𝗶 𝗸𝗮𝘂𝘀𝗵𝗮 𝘂𝘀𝗶𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗲 𝗸𝘂𝗮𝗻𝗱𝗶𝗸𝗮
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanazingua sana
 
Hzo road trip huwa nawaza itapendeza zaidi ukiwa na hii kitu toyota coaster camping,afu ndani iwe na chumba,choo,jiko na sebure,afu mtu nne,ke mbili,me mbili,baada ya kutulia geita mnaingia rubongo mnaenda kunasa samaki na kuchoma na kushangaa tembo baada ya siku mbili mnaingia rock city tena mnaingia mida ya saa 6 mnatulia kwenye kivuli cha paa la nyasi mnamalizia wine zenu mlizochukua domu mixer spiritView attachment 1759147
Ntu nne alaf dereva nani?
 
Kumbe jnadharau wanawake??
No,kuna wadada humu wanajielewa na wanaheshimu. na kama kutaniana inakuwa kidogo kila mtu anaendelea na ishu zake.

Kuna mmoja ni mjuaji sana kila thread yenye traffick kubwa yupo na anastori nyingi ambazo ukizisoma ni za kuunga tu ile awe relevant na kila uzi humu jf..Personally nimemgu-ignore/block.
 
Back
Top Bottom