mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,840
- 2,381
Hahahaha hatar sanaNo,kuna wadada humu wanajielewa na wanaheshimu. na kama kutaniana inakuwa kidogo kila mtu anaendelea na ishu zake.
Kuna mmoja ni mjuaji sana kila thread yenye traffick kubwa yupo na anastori nyingi ambazo ukizisoma ni za kuunga tu ile awe relevant na kila uzi humu jf..Personally nimemgu-ignore/block.
Tofauti ya huyu jamaa na mabaharia wengine yeye alienda kusoma kihalali wakati wenzake wameenda kusaka maisha kibishi. Sasa analeta swaga za halali wakati watu walikua wanaishi kibishi...Mkuu wewe umesema umeishi South Africa miaka kibao (binafsi sina shaka na hilo kabisa) ila unayoandika hapa ni kama vile sio msafiri wa pande zile.
Kama unaelewa vizuri,wabongo siku hizi hawapewi siku nyingi wanapoingia South hata kama ni first time,yaani siku hizi unapewa one week mpaka two weeks basi tofauti na kitambo,
Ila mabaharia wakishaingia tu South,wanakaa mwanzo mwisho bila kwenda kugonga tena wala kuwa na document yoyote ya kuishi kule.
Hakuna sehemu hatari kuishi bila vibali ndani ya South kama Jozi,maana kuna jamaa wanaitwa SECTOR 2,daily wapo mitaani kukamata watu wasio na vibali lakini bado kuna mabaharia kibao wapo hapo hapo jozi bila kibali chochote miaka nenda rudi na wanapeta tu,sasa wewe unashangaa nini mtu wangu?
Kingine kama umepita boda za South,basi lazima utakuwa unajua kwamba pesa ndio mchawi pande zile,yaani ukiwa na mkwanja tu,unaingia bila hata hiyo passport,sembuse kuwa ime expire?
Halafu nimeshangaa zaidi uliposema polisi wanachana asylum permit (MPANGO),mpango original ambao umetolewa na Home Affairs police anaanzaje kuuchana?hiyo asylum permit inatumika mpaka na maboss wa kiEthopia/Wahindi wenye miduka mikubwa na biashara nyingine kubwa tu South,halafu unasema mpango hausebenzi kaburu?..watu mpaka mahakamani wanatoka na huo huo mpango,
waliokupigia story za police kuchana mpango walikuwa wanakuzingua tu mwana!!
Na wana kundi kubwa la watetezi sasa sijui ndio wateja wao mpaka huwa nashindwa kujua?Hao mamanzi wanazinguaga kinyama yan
ukiwachana wanakuporomoshea matusi
Aibu kweli, watu wameshajua tumekuja pm kuomba picha ya msambwanda.Hahahahahha
Wala sio.
Mbona hamna cha aibu wala nini jamani..
changieni bandoWe Jamaa Ndo Mwenye akili kuliko wote wanao comment huku.Endelea ku upadate hii comment
Mimi nimeenda hv karibuni tu. Niligongewa nikaambiwa miezi mitatu. Nilimkuta jamaa amechoka anataka kuondoka maana ilikuwa jioni. Akaniambia nenda kwa yule dada sio mimi maana ndo alikuwa ameigia. wakati naondoka akaniuliza umetoka Msumbiji au sehemu tofauti. Nikamjibu natoka Tanzania, akasema njoo hapa kama ni Tanzania. akanigongea miezi mitatuMkuu wewe umesema umeishi South Africa miaka kibao (binafsi sina shaka na hilo kabisa) ila unayoandika hapa ni kama vile sio msafiri wa pande zile.
Kama unaelewa vizuri,wabongo siku hizi hawapewi siku nyingi wanapoingia South hata kama ni first time,yaani siku hizi unapewa one week mpaka two weeks basi tofauti na kitambo,
Ila mabaharia wakishaingia tu South,wanakaa mwanzo mwisho bila kwenda kugonga tena wala kuwa na document yoyote ya kuishi kule.
Hakuna sehemu hatari kuishi bila vibali ndani ya South kama Jozi,maana kuna jamaa wanaitwa SECTOR 2,daily wapo mitaani kukamata watu wasio na vibali lakini bado kuna mabaharia kibao wapo hapo hapo jozi bila kibali chochote miaka nenda rudi na wanapeta tu,sasa wewe unashangaa nini mtu wangu?
Kingine kama umepita boda za South,basi lazima utakuwa unajua kwamba pesa ndio mchawi pande zile,yaani ukiwa na mkwanja tu,unaingia bila hata hiyo passport,sembuse kuwa ime expire?
Halafu nimeshangaa zaidi uliposema polisi wanachana asylum permit (MPANGO),mpango original ambao umetolewa na Home Affairs police anaanzaje kuuchana?hiyo asylum permit inatumika mpaka na maboss wa kiEthopia/Wahindi wenye miduka mikubwa na biashara nyingine kubwa tu South,halafu unasema mpango hausebenzi kaburu?..watu mpaka mahakamani wanatoka na huo huo mpango,
waliokupigia story za police kuchana mpango walikuwa wanakuzingua tu mwana!!
Yaani kawaida ukiingia south wanakupia siku 90 hii nilienda 2019Mimi nimeenda hv karibuni tu. Niligongewa nikaambiwa miezi mitatu. Nilimkuta jamaa amechoka anataka kuondoka maana ilikuwa jioni. Akaniambia nenda kwa yule dada sio mimi maana ndo alikuwa ameigia. wakati naondoka akaniuliza umetoka Msumbiji au sehemu tofauti. Nikamjibu natoka Tanzania, akasema njoo hapa kama ni Tanzania. akanigongea miezi mitatu
Iko siku ntawashukia na Uzi ili wapungunguze umalaya Wai humu wanaharibu story Sana mfano hii ilkua na mafunzo mazuri tuu kwa ajili ya vijana na mtu yeyote anaetaka kurisk just for his/her life lakini Hawa wapuuz wameingia Uzi hauna maana Tena pia fuatulia nyuz zote maarafu humu utawakuta Ila ule wa kuliwa kimasihara hawaendi wakienda huko wanajidai n mabikra ili mtu ajikwae wamdake.Mkuu fungulia uzi kama hutojali,?!
Ni akina nani hao bandika majina tuwalipue!Iko siku ntawashukia na Uzi ili wapungunguze umalaya Wai humu wanaharibu story Sana mfano hii ilkua na mafunzo mazuri tuu kwa ajili ya vijana na mtu yeyote anaetaka kurisk just for his/her life lakini Hawa wapuuz wameingia Uzi hauna maana Tena pia fuatulia nyuz zote maarafu humu utawakuta Ila ule wa kuliwa kimasihara hawaendi wakienda huko wanajidai n mabikra ili mtu ajikwae wamdake.
Nasema Tena PUMBAVU zao
HahahahaIko siku ntawashukia na Uzi ili wapungunguze umalaya Wai humu wanaharibu story Sana mfano hii ilkua na mafunzo mazuri tuu kwa ajili ya vijana na mtu yeyote anaetaka kurisk just for his/her life lakini Hawa wapuuz wameingia Uzi hauna maana Tena pia fuatulia nyuz zote maarafu humu utawakuta Ila ule wa kuliwa kimasihara hawaendi wakienda huko wanajidai n mabikra ili mtu ajikwae wamdake.
Nasema Tena PUMBAVU zao
Nakazia kidogo hapo mkuu.konda msafi katika pitapita zangu humu JF, nimegundua kuwa wewe ni miongoni mwa watu wenye utulivu, busara na huwa haupanic wala kujibu kwa lugha ya matusi regardless how many times watu wana kuharrass hasa kipindi kile cha story yako ya kumbu.
Bwana konda, binafsi naamini wewe upo sahihi kwa mtazamo wako na pia bwana keagan yupo sahihi kwa story yake....unapoanza kuweka question mark katika kila stage ya story ya jamaa unakuwa unakosea kwa namna moja ama nyingine..sio lazima aelezee kila kitu utakuta story inajaa..pengine huko kote alikopita na kwenye vizuizi alikutana na hawa askari na akawapa chochote kitu..
sasa akianza kuweka kila tukio itakuwa ni useless..story itajaa marudio yasiyo ya msingi..Basi kama ni hivyo, atuelezee pia aliwezaje kupewa sehemu ya kuishi na kupewa access ya vyombo vya kanisa kabla hawajajiridhisha na uraia wake wa halali...
kuna muda inabidi tufunike kombe mwanaharamu apite au tujiongeze tu..Ni kama vile unaoneshwa movie halafu staring anaumwa sana sana..badae part two unakuta ni mzima ameendelea na mishe zake..utasema amekufa na kufufuka? Hapana, jibu ni kuwa inabidi ujiongeze kuwa alipona, mambo ya kujua aliponaje huenda hayapo kwenye script ya director ili kuepusha kuirefusha movie unnecessarily..
Vivyo hivyo kwa Bwana keagan,,amesema amefika lesotho salama basi tuna assume kuwa kuna vikwazo alikutana navyo akavivuka...
mkuu..hebu kuwa mpole tusubilie story.
Hilo ndio bogus kabisa nalifahamu[emoji23][emoji23]mambo meengi tukianza kufuatiliana hawana kituKuna nyuzi Kama hizi ndefu niliwakataa waziwazi mzee wanamatusi hatari Mara wanakuja PM wanakushambulia kwa matusi eti Kama huna hela kaa kimya Yan Hawa Malaya n hatari Sana humu yupo mmoja anajidaigi kuwa anajua kutafuta kumbe ndo kubwa lao humu nasema PUMBAVU zake ajifunze
Tumpe mda aweze kuandika vizuri zaidiKeagan Paul Nikajua nikija hapa jioni nitakuta episode kadhaa kumbe hakuna kitu daaa
Wasome kama wengine, wachangie kama wengine sio kujitanua tanua kama mabata hapaMimi nimewapiga block..yaani kila kitu wana experience nacho..maneno mengi,kila nyuzi za life based experience wapo na stori zao za kubumba.
Unafungua uzi unakuta post nyiiingi mara wajisifu misambwanda kuvuta vichwa mara watukane watu imenikera sana ni ushenziHa ha ha ha
TUTOE TU TAMKO:
MALAYA WA JF NI MARUFUKU KUVAMIA NYUZI SERIOUS KAMA HIZI.
UMALAYA WENU UISHIE HUKO HUKO MMU.
Pumba.fuuuu zenu!
Tutakula nao sahani mojaNa wana kundi kubwa la watetezi sasa sijui ndio wateja wao mpaka huwa nashindwa kujua?